Utaratibu wa Semina za Walimu kwa Sasa, Rais Samia Naomba uingilie Kati...

Gai da seboga

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
482
969
Wasalam mabibi na mababu...

Bila kupoteza muda, zama hizi za Mama samia kumezuka utaratibu ambao sasa washaufanya ni tabia endelevu katika suala Zima la semina za walimu nchini.

Utaratibu huo ni kuwa semina yoyote labda inayohusu maadili, inayohusu mitaala, inayohusu mahiri childhood education yaani anachukuliwa Mwalimu mmoja tu katika kata ndie anaenda kushiriki hayo mafunzo then akirudi huyo Mwalimu anakuja kuwafundisha walimu wenzake katika mashule jambo linalokera sana yani mwenzenu ameenda na kulipwa lakini nyie walimu wengine mlobaki kwenye kata hakuna cha posho yoyote, tena mnachangishwa buku mbili za chakula, mbebe marker pen, Manila kwaajili ya mafunzo hivi Hawa watu wako serious kabisa na Elimu ya Tanzania??

Na huyo aloenda kwenye mafunzo mkimbana kisawasawa kwenye maswali anakwambia sisi hatujafundishwa ya maana tumetumiwa vitini tuje tuwape msome.... Hv Mwalimu kwenye hii nchi wamemuweka fungu gani? Huo ufanisi wa elimu utatoka wapi kwa kupelekwa mtu mmoja katika kata??

Jambo lingine ni semina za mitihani kidato cha pili kuunganishwa na kidato cha nne, yan mnapigwa ilimradi iende katika mitihan miwili mikubwa ya taifa kufanya yote hv n nn kwamba mnabana matumizi au? Ufanisi unatoka wapi hapo?

Mheshimiwa Rais Mama Samia, ingilia kati utaratibu huu wa kijinga kama ni semina za walimu wanufaike wote kimaslahi na kimafunzo sio jambo la kupelekwa mtu mmoja afu anakuja kufundsha kata nzima! Mwalimu hana posho yoyote zaidi ya mshahara, ata hvo visemina uchwara vikipatikana bado Mwalimu anabanwa anapelekwa mmoja tu, hivi kuwa Mwalimu katika hii nchi ni laana ama? Mheshimiwa Rais libebe hili kwa mikono miwili hapo zamani hakukuwa na ujinga huu.
 
Wasalam mabibi na mababu...

Bila kupoteza muda, zama hizi za Mama samia kumezuka utaratibu ambao sasa washaufanya ni tabia endelevu katika suala Zima la semina za walimu nchini.

Utaratibu huo ni kuwa semina yoyote labda inayohusu maadili, inayohusu mitaala, inayohusu mahiri childhood education yaani anachukuliwa Mwalimu mmoja tu katika kata ndie anaenda kushiriki hayo mafunzo then akirudi huyo Mwalimu anakuja kuwafundisha walimu wenzake katika mashule jambo linalokera sana yani mwenzenu ameenda na kulipwa lakini nyie walimu wengine mlobaki kwenye kata hakuna cha posho yoyote, tena mnachangishwa buku mbili za chakula, mbebe marker pen, Manila kwaajili ya mafunzo hivi Hawa watu wako serious kabisa na Elimu ya Tanzania??

Na huyo aloenda kwenye mafunzo mkimbana kisawasawa kwenye maswali anakwambia sisi hatujafundishwa ya maana tumetumiwa vitini tuje tuwape msome.... Hv Mwalimu kwenye hii nchi wamemuweka fungu gani? Huo ufanisi wa elimu utatoka wapi kwa kupelekwa mtu mmoja katika kata??

Jambo lingine ni semina za mitihani kidato cha pili kuunganishwa na kidato cha nne, yan mnapigwa ilimradi iende katika mitihan miwili mikubwa ya taifa kufanya yote hv n nn kwamba mnabana matumizi au? Ufanisi unatoka wapi hapo?

Mheshimiwa Rais Mama Samia, ingilia kati utaratibu huu wa kijinga kama ni semina za walimu wanufaike wote kimaslahi na kimafunzo sio jambo la kupelekwa mtu mmoja afu anakuja kufundsha kata nzima! Mwalimu hana posho yoyote zaidi ya mshahara, ata hvo visemina uchwara vikipatikana bado Mwalimu anabanwa anapelekwa mmoja tu, hivi kuwa Mwalimu katika hii nchi ni laana ama? Mheshimiwa Rais libebe hili kwa mikono miwili hapo zamani hakukuwa na ujinga huu.
Kwenye semina za mitihani hapo;
Tumepigishwa semina bna,tukala kiapo.Barua zinatoka,wengi hayupo!Cha kushangaza zaidi Sasa;Aliyepata barua ya kituo Cha kusimamia hakuhudhuria semina!Na ni wengi
 
Wasalam mabibi na mababu...

Bila kupoteza muda, zama hizi za Mama samia kumezuka utaratibu ambao sasa washaufanya ni tabia endelevu katika suala Zima la semina za walimu nchini.

Utaratibu huo ni kuwa semina yoyote labda inayohusu maadili, inayohusu mitaala, inayohusu mahiri childhood education yaani anachukuliwa Mwalimu mmoja tu katika kata ndie anaenda kushiriki hayo mafunzo then akirudi huyo Mwalimu anakuja kuwafundisha walimu wenzake katika mashule jambo linalokera sana yani mwenzenu ameenda na kulipwa lakini nyie walimu wengine mlobaki kwenye kata hakuna cha posho yoyote, tena mnachangishwa buku mbili za chakula, mbebe marker pen, Manila kwaajili ya mafunzo hivi Hawa watu wako serious kabisa na Elimu ya Tanzania??

Na huyo aloenda kwenye mafunzo mkimbana kisawasawa kwenye maswali anakwambia sisi hatujafundishwa ya maana tumetumiwa vitini tuje tuwape msome.... Hv Mwalimu kwenye hii nchi wamemuweka fungu gani? Huo ufanisi wa elimu utatoka wapi kwa kupelekwa mtu mmoja katika kata??

Jambo lingine ni semina za mitihani kidato cha pili kuunganishwa na kidato cha nne, yan mnapigwa ilimradi iende katika mitihan miwili mikubwa ya taifa kufanya yote hv n nn kwamba mnabana matumizi au? Ufanisi unatoka wapi hapo?

Mheshimiwa Rais Mama Samia, ingilia kati utaratibu huu wa kijinga kama ni semina za walimu wanufaike wote kimaslahi na kimafunzo sio jambo la kupelekwa mtu mmoja afu anakuja kufundsha kata nzima! Mwalimu hana posho yoyote zaidi ya mshahara, ata hvo visemina uchwara vikipatikana bado Mwalimu anabanwa anapelekwa mmoja tu, hivi kuwa Mwalimu katika hii nchi ni laana ama? Mheshimiwa Rais libebe hili kwa mikono miwili hapo zamani hakukuwa na ujinga huu.
Aisee Mh Rais nalo hili ashughulikie kweli urais kazi
 
Japo una hoja ila nadhani ni muhimu kutotilia maanani hizi seminar na kazi maalumu maana zitakufanya uwe mtumwa sana wa mkuu au WEO ili uwe unapata hako kanafasi
Endelea kujitafuta lazima utapata namna nzuri ya kuishi
NB:usiache kuwafundisha watoto kwa bidii na ubunifu
 
Mwl,fungua miradi yako ambayo una uhakika wa kukuingizia kipato cha ziada.Mwl.mwenye miradi yake haangaiki na huu upuuuzi,sijui simamia mitihani,kwenda Marking n.k.
Hii ndio akili kubwa ,watu wamekwenda marking kuumwa viuno mimi nipo home napunga upepo akaunti yangu inapumua! Nikitoka nje kwenda bandani nachagua tu nichinje yupi
 
Mwalimu mwenzangu achana na masuala ya semina mara sijui poshoo havitakukwamua katika lindi la umaskini!
GO TO WORK,GET PAID,GO BACK HOME
Buni njia nyingine ya kukuongezea kipato otherwise utalalama mpaka unazeeka
Exactly, tumia advantage alizonazo mwalimu:Muda! Tumia muda wako wa ziada kuanzisha miradi. Walimu hawapaswi kuwa masikini Wala walalamishi juu ya maisha magumu. Wana muda mwingi mno wa baada ya kazi. Wanaweza kuugeuza muda huo kuwa fedha. Waliogundua hii Siri Wala huwezi kuwapa kazi zingine wakakubali maana wanapiga pesa mtaani kama kawaida
 
Umeongea ukweli kabisa,Muundo wa utoaji semina za walimu sio zuri kabisa mfano semina za mewaka(mafunzo ya walimu kazini)
Mwl alipelekwa semina kwa siku 4 asome/apate mafunzo ya moduli 8 aje afundishe wenzake.



Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Wasalam mabibi na mababu...

Bila kupoteza muda, zama hizi za Mama samia kumezuka utaratibu ambao sasa washaufanya ni tabia endelevu katika suala Zima la semina za walimu nchini.

Utaratibu huo ni kuwa semina yoyote labda inayohusu maadili, inayohusu mitaala, inayohusu mahiri childhood education yaani anachukuliwa Mwalimu mmoja tu katika kata ndie anaenda kushiriki hayo mafunzo then akirudi huyo Mwalimu anakuja kuwafundisha walimu wenzake katika mashule jambo linalokera sana yani mwenzenu ameenda na kulipwa lakini nyie walimu wengine mlobaki kwenye kata hakuna cha posho yoyote, tena mnachangishwa buku mbili za chakula, mbebe marker pen, Manila kwaajili ya mafunzo hivi Hawa watu wako serious kabisa na Elimu ya Tanzania??

Na huyo aloenda kwenye mafunzo mkimbana kisawasawa kwenye maswali anakwambia sisi hatujafundishwa ya maana tumetumiwa vitini tuje tuwape msome.... Hv Mwalimu kwenye hii nchi wamemuweka fungu gani? Huo ufanisi wa elimu utatoka wapi kwa kupelekwa mtu mmoja katika kata??

Jambo lingine ni semina za mitihani kidato cha pili kuunganishwa na kidato cha nne, yan mnapigwa ilimradi iende katika mitihan miwili mikubwa ya taifa kufanya yote hv n nn kwamba mnabana matumizi au? Ufanisi unatoka wapi hapo?

Mheshimiwa Rais Mama Samia, ingilia kati utaratibu huu wa kijinga kama ni semina za walimu wanufaike wote kimaslahi na kimafunzo sio jambo la kupelekwa mtu mmoja afu anakuja kufundsha kata nzima! Mwalimu hana posho yoyote zaidi ya mshahara, ata hvo visemina uchwara vikipatikana bado Mwalimu anabanwa anapelekwa mmoja tu, hivi kuwa Mwalimu katika hii nchi ni laana ama? Mheshimiwa Rais libebe hili kwa mikono miwili hapo zamani hakukuwa na ujinga huu.
Umekosa perdiem.
Mwalimu anafundisha wanafunzi wangapi shuleni kwake? Tena kuna kusahihisha, kuandaa matokeo n.k. Sasa huyo mwl anashindwaje kufundisha watu wazima vitu vidogo kama hivyo vya semina? Hatuna hela za kuchezea aisee. Perdiem hakuna 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom