kilasanioni
Senior Member
- Apr 19, 2013
- 111
- 28
Najuta kufungua hii web nikiwa kwenye kikao. Yaani nimecheka ghafla bahati nzuri nilikuwa karibu na mlango nikatoka nje mwenyewe. Duh! hii ni kali mno. Ndugu yangu Pastor itabidi umsamehe na umwombee asahau kabisa ku-haleluya. After all if she was srewed, she can't be unsrewed!!!