Sema aleluya kwa kila uliyezini naye

Mbimbinho

JF-Expert Member
Aug 1, 2009
8,316
7,734
Jamaa alienda kwa mchungaji kuungama...
"Nihurumie Mungu wangu, nimetenda dhambi nyingi saana..."
Mchungaji: "Mwanangu, usihofu... Mungu ni mwenye huruma saana...
Atakusamehe tu..."
Jamaa: "Mchungaji nimezini na wanawake wengi sana hapa kanisani...."
Mchungaji: "Usihofu kabisa mwanangu, utasamehewa tu... Ila ili usamehewe vyema inabidi uwataje na useme umezini nao mara ngapi ili nao pia tuwaombee..."
Jamaa: "Daaah, hapana mchungaji... Naona aibu saana, siwezi ongea..."
Mchungaji: "Owky, sawa basi.. Baada tu ya ibada kuisha tutatoka lango kuu wote na ukimuona yoyote uliyewahi zini naye we sema 'ALELUYA'... Kama umezini naye mara moja, utasema 'ALELUYA' mara moja... Kama ni mara tatu hivyo hivyo..."
Wakakubaliana na ibada ilipokwisha wote wakawa lango kuu la kutokea...
Waumini walipoanza kutoka, akapita mke wajirani yake mmoja...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA....
Mchungaji: "Mungu akusafishe na kukusamehe kabisa mara saba zote mlizozini..."
Punde kidogo akatoka mke wa kiongozi wa kwaya taratiibu...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA!!!!"
Mchungaji: "Mungu awasamehe saana mara tatu zote mlizozini..."
Mke wa mzee wa kanisa akapita huku kashika biblia...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,ALELUYA.....
Mchungaji: "Bwana akusamehe na kuwasafisha kabisa wote mara 5 zote ulizozini naye..."
Mara akapita mke wa mchungaji...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA...
Kabla jamaa hajamaliza Mchungaji akamzibuaKOFI na kumwambia...
"PUMBAVUUUUU... . Tena SHENZI kabisa!!! Na ulaaniwe kabisa SHETWANI mkubwa we!!! NaMUNGU asikusamehe milele na moto wa JEHANAMU ukufanye kuni kabisa mbwaaah weeeeh... Tena TOKAAAAA =$@€*%# na nisikuone tena unakanyaga kanisani kwangu!
 
hAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAH
HAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAH
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHHA
HA
HA
HAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAH!!!!
mkuki kwa nguruwe!!!
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!
 
mbavu zangu jamani nipo kwenye daladala dah lakini nimeshidwa kujizuia kucheka......jamaaa noma.
 
Mmmh ha ha ha mchungaji alipaswa kumsamehe hata kama kazini na mkewe. Coz ni kosa lake hakumrizisha mkewe ndo maana jamaa anamrisisha he!he!he
 
tehe tehe tehe....huyo nae ndo nini kumharibu mke wa mchungaji hivyo,mara zote hizo?????!!!!!!!
 
Jamaa alienda kwa mchungaji kuungama...
"Nihurumie Mungu wangu, nimetenda dhambi nyingi saana..."
Mchungaji: "Mwanangu, usihofu... Mungu ni mwenye huruma saana...
Atakusamehe tu..."
Jamaa: "Mchungaji nimezini na wanawake wengi sana hapa kanisani...."
Mchungaji: "Usihofu kabisa mwanangu, utasamehewa tu... Ila ili usamehewe vyema inabidi uwataje na useme umezini nao mara ngapi ili nao pia tuwaombee..."
Jamaa: "Daaah, hapana mchungaji... Naona aibu saana, siwezi ongea..."
Mchungaji: "Owky, sawa basi.. Baada tu ya ibada kuisha tutatoka lango kuu wote na ukimuona yoyote uliyewahi zini naye we sema 'ALELUYA'... Kama umezini naye mara moja, utasema 'ALELUYA' mara moja... Kama ni mara tatu hivyo hivyo..."
Wakakubaliana na ibada ilipokwisha wote wakawa lango kuu la kutokea...
Waumini walipoanza kutoka, akapita mke wajirani yake mmoja...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA....
Mchungaji: "Mungu akusafishe na kukusamehe kabisa mara saba zote mlizozini..."
Punde kidogo akatoka mke wa kiongozi wa kwaya taratiibu...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA!!!!"
Mchungaji: "Mungu awasamehe saana mara tatu zote mlizozini..."
Mke wa mzee wa kanisa akapita huku kashika biblia...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,ALELUYA.....
Mchungaji: "Bwana akusamehe na kuwasafisha kabisa wote mara 5 zote ulizozini naye..."
Mara akapita mke wa mchungaji...
Jamaa: "ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA,ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA, ALELUYA...
Kabla jamaa hajamaliza Mchungaji akamzibuaKOFI na kumwambia...
"PUMBAVUUUUU... . Tena SHENZI kabisa!!! Na ulaaniwe kabisa SHETWANI mkubwa we!!! NaMUNGU asikusamehe milele na moto wa JEHANAMU ukufanye kuni kabisa mbwaaah weeeeh... Tena TOKAAAAA =$@€*%# na nisikuone tena unakanyaga kanisani kwangu!

teh teh teh teh teh teh......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom