Kwa mtu anayepost mada yake ni vizuri akapitapita kwenye thread zilizopita kuhakikisha hakuna post kama yake. Msomaji hawajibiki kufanya hivyo. La sivyo Jaluo Nyeupe tutafika mahali kati ya post 10 saba ni marudio.mimi sikuwahi kuisoma na nilipoisoma imenichekesha. Unataka kusema nini? Tuwe na utaratibu wa kupekua thread za kuanzia 2006 ili tusirudie? Halleluuuya!
Kwa mtu anayepost mada yake ni vizuri akapitapita kwenye thread zilizopita kuhakikisha hakuna post kama yake. Msomaji hawajibiki kufanya hivyo. La sivyo Jaluo Nyeupe tutafika mahali kati ya post 10 saba ni marudio.
Heeeeeeeeeeeeeeeee cc Maxence Melo
Kwa mtu anayepost mada yake ni vizuri akapitapita kwenye thread zilizopita kuhakikisha hakuna post kama yake. Msomaji hawajibiki kufanya hivyo. La sivyo Jaluo Nyeupe tutafika mahali kati ya post 10 saba ni marudio.