ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,020
- 1,968
- Thread starter
- #501
wale wa muhas,diploma,fee structure tayari?
pitia kwenye website ya chuo mkuu
wale wa muhas,diploma,fee structure tayari?
weka namba yako nikutumie joining instruction. au email
kiko wilayani sengerema km 35 kutoka mwanza mjini ukipitia njia ya kamanga, kimesajiliwa na nacte hivyo kimekidhi vigezo.
Wadau, naombeni msaada kwa wale waliochaguliwa Sengerema Health Training Institute- Mwanza. Kuhusu ada na michango mingne yote kwa ujumla inafikia milion ngap? na masomo yanaanza lin?
pia mazingira ya chuo yapoje
asanteni
SENGEREMA HEALTH TRAINING INSTITUTE
REG\HAS\056
Ownership:FBO
Region:MWANZA
District Council Fixed Phone 028 2590008
Phone 028 2590008
P.O.BOX 3 MWANZA
Email Adress: Cotcsengerema@yahoo.Com
PROGRAMME OFFERED BY THIS INSTITUTION
Technician Certificate In Clinical Medicine (Nta Level 5)
Ordinary Diploma In Clinical Medicine (Nta Level 6)...Chuo Ni FBO
F-FAITH
B-BASED
O-ORGANIZATION..Then Chuo Kina Mazingira Mazuri Kwa Mwanafunzi Katie Msuri Mkuu Kwa Maelezo Zaidi Hapo Juu Kuna Namba Pamoja Na Email Ya Chuo
Mkuu Nimeku pm email ntumie hiyo JI
mhudumu wa afya yoyote yule anafanya kazi ya msaada na hata pesa za kumuwezesha lzm serikali iliyopo madarakani iangalie mara mbili tofauti na IT au fani nyngne yoyote
jaman vp kwa wanaoomba uhamisho ukikosa chuo kingine nafac yako itabaki pale ? au ndo ukisha click sehem ya uhamisho na nafasi inachukuliwa