Selection za vyuo vya afya, Joining Instruction na taarifa kuhusu kozi za afya

wadau wale wa second round nasikia selection zenu zishatoka kwa waliopply must
 
wale wote tunaolekea kuwa watumishi wa kada za afya tukutane hapa tujadili mambo muhimu kuhusu taaluma zetu za afya.
ile thread yetu ya post za vyuo vya afya imefungiwa nikaona tuendelee kwa kujuzana taarifa muhimu kuhusu kada hii muhimu ktk jamii

Hataaaa Mimi nimeona imefungwa cz niktka kuandikaaa inagoma.....afu plz nisaidie bax abt chuo cha PARADIGMS
 
institution detail
REG\BMG\033
institution name:pARADIGMS COLLEGE OF HEALTH SCIENCE-DAR ES-SALAAM
ownership:pRIVATE
Region:DAR ES SALAAM
District:ilala
Municipal council fixed phone:0784-263999
Phone:0715-263999
P.O.BOX 78703
DAR ES SALAAM
Email:director@paradigms.co.tz
PROGRAMME OFFERED BY THIS INSTITUTION
Technician certificate in pharmaceutical science (nta level 5)
Ordinary diploma in clinical medicine(nta level 6)
Technician certificate in clinical medicine(nta level 5)
Ordinary diploma in pharmaceutical science (nta level 6)
Basic technician in community health (nta level 4)
Technician certificate in medical laboratory (nta level 5)
Technician certificate in nursing(nta level 5)
 
institution detail
REG\BMG\033
institution name:pARADIGMS COLLEGE OF HEALTH SCIENCE-DAR ES-SALAAM
ownership:pRIVATE
Region:DAR ES SALAAM
District:ilala
Municipal council fixed phone:0784-263999
Phone:0715-263999
P.O.BOX 78703
DAR ES SALAAM
Email:director@paradigms.co.tz

Mkuu, bora umeleta humu, sasa me ki2 kinachonichanganya ni kwamba mbona hki chuo kimesajiliwa ilala na wakati kipo kinondoni? Au kuna kingine kipo huko ilala?
 
Aise safar ya matumaini ipo baada uzi ule kukatwa 2naingia upande wa pili big up thana ustadh umevunja rekod kama ya rowasa. afyaaa ni kitu bora, 2endeleze maininfor za kiafya afya.
 
Aise safar ya matumaini ipo baada uzi ule kukatwa 2naingia upande wa pili big up thana ustadh umevunja rekod kama ya rowasa. afyaaa ni kitu bora, 2endeleze maininfor za kiafya afya.

haaahahaa si tunafanya kazi ya kujitolea sisi but walimu eti wanalalamika kuwa sisi tunalipwa mshahara mkubwa hivyo wanataka tulipwe nao sawa.
daktari hana weekend wala likizo any time pakitokea majanga daktari anapigiwa simu aende kazini ila hata siku 1 mtoto nyumbani akashindwa kusoma vizuri hatumpigii simu mwl aje kumfundisha ....ktk maisha daktari ni mtu muhimu sana
 
Mkuu, bora umeleta humu, sasa me ki2 kinachonichanganya ni kwamba mbona hki chuo kimesajiliwa ilala na wakati kipo kinondoni? Au kuna kingine kipo huko ilala?

mkuu hiki chuo kina kozi nyingi sana ktk kada za afya. hiyo ilala isikupe presha hiyo ni anuani yakusajiria hicho chuo yaani kwa maana nyingine ofisi kuu za hiki chuo zipo ilala .... pia unaweza kuwapigia nacte 0658 444 557 wakakupa maelezo zaidi mkuu
 
haaahahaa si tunafanya kazi ya kujitolea sisi but walimu eti wanalalamika kuwa sisi tunalipwa mshahara mkubwa hivyo wanataka tukipwe nao sawa.
daktari hana weekend wala likizo any time pakitokea majanga daktar anapigiwa simu aende kazini ila hata siku 1 mtoto nyumbani akashindwa kusoma vizuri hatumpigii simu mwl aje kumfundisha ....ktk maisha daktari ni mtu muhimu sana

camahan mku vp kuhsu wages ya nursing ni sawa na ya ticha.
 
ahaa huyu certfcat j e

certificate mshahara wake sijajua but inasemekana mwenye certificate au diploma ya nursing anapiga pesa za kijanja sana ukiachana na mshahara wake pia watu wa kada za afya husema nurse hupiga pesa kuliko hata daktari coz daktari ye hudepend sana ktk mshahara ila nurse ye ukiachana na mshahara ana semina na ujanja ujanja mwingi tu wakujipatia pesa
 
certificate mshahara wake sijajua but inasemekana mwenye certificate au diploma ya nursing anapiga pesa za kijanja sana ukiachana na mshahara wake pia watu wa kada za afya husema nurse hupiga pesa kuliko hata daktari coz daktari ye hudepend sana ktk mshahara ila nurse ye ukiachana na mshahara ana semina na ujanja ujanja mwingi tu wakujipatia pesa

mhudumu wa afya ngazi ya jamii(community health officer) anakula bei gani kwa mwezi? kwa anae fahamu
 
certificate mshahara wake sijajua but inasemekana mwenye certificate au diploma ya nursing anapiga pesa za kijanja sana ukiachana na mshahara wake pia watu wa kada za afya husema nurse hupiga pesa kuliko hata daktari coz daktari ye hudepend sana ktk mshahara ila nurse ye ukiachana na mshahara ana semina na ujanja ujanja mwingi tu wakujipatia pesa

Thank u, lazma ktaeleweka 2 chezea afya hatok m2 apa.
 
mhudumu wa afya ngazi ya jamii(community health officer) anakula bei gani kwa mwezi? kwa anae fahamu

mi mshahara wake sifahamu but uzuri ni kwamba ukianza na community health then baadae ukajiendeleza na kuwa nesi
 
Thank u, lazma ktaeleweka 2 chezea afya hatok m2 apa.

mhudumu wa afya yoyote yule anafanya kazi ya msaada na hata pesa za kumuwezesha lzm serikali iliyopo madarakani iangalie mara mbili tofauti na IT au fani nyngne yoyote
 
Back
Top Bottom