Jamani habari zenu wajuvi wa mambo. Nina mjomba wangu amehitimu 2022 form 6 PCB alipata CCD.
Sasa anaforce mambo ya course za afya na anaomba ushauri wa kozi gani ina soko la uhakika kati ya md na pharmacy.
Kuhusu vyuo nimemwambia apply private ndo atatoboa na sio public kwa sababu za ushindani kuwa juu.
MSAADA WENU TAFADHALI
Sasa anaforce mambo ya course za afya na anaomba ushauri wa kozi gani ina soko la uhakika kati ya md na pharmacy.
Kuhusu vyuo nimemwambia apply private ndo atatoboa na sio public kwa sababu za ushindani kuwa juu.
MSAADA WENU TAFADHALI