Ushauri wa course za afya

DISLIKER

Member
Jul 29, 2023
43
42
Jamani habari zenu wajuvi wa mambo. Nina mjomba wangu amehitimu 2022 form 6 PCB alipata CCD.

Sasa anaforce mambo ya course za afya na anaomba ushauri wa kozi gani ina soko la uhakika kati ya md na pharmacy.

Kuhusu vyuo nimemwambia apply private ndo atatoboa na sio public kwa sababu za ushindani kuwa juu.

MSAADA WENU TAFADHALI
 
Alooooooooooo.

wabongo tunakariri maisha.

tunaamini kwamba maisha ni kusoma kozi za afya na ndo maana hata advanxe wanafunzi wanaosoma pcb ni wengi but matokeo yakitoka wengi ni chali plus ma competition kibao unajikuta kama wewe akili yako ni tiamajitia maji.

sema kuingilia maamuzi ya mtu nayo si vizuri sana ila mshauri akasome pharmacy md hawezi pata kwa marks hizo labda asome diploma ya clinical medicine.
 
Alooooooooooo.
wabongo tunakariri maisha.
tunaamini kwamba maisha ni kusoma kozi za afya na ndo maana hata advanxe wanafunzi wanaosoma pcb ni wengi but matokeo yakitoka wengi ni chali plus ma competition kibao unajikuta kama wewe akili yako ni tiamajitia maji.

sema kuingilia maamuzi ya mtu nayo si vizuri sana ila mshauri akasome pharmacy md hawezi pata kwa marks hizo labda asome diploma ya clinical medicine.
Japo ningeshauri asonge mbele kwa kuangalua upande mwingine ambao ni tofauti na afya. Kuna cozi zina soko kuliko hata hizo za afya na unapiga hela kichiz kuliko hata hizo za afya.
 
Jamani habari zenu wajuvi wa mambo. Nina mjomba wangu amehitimu 2022 form 6 Pcb alipata CCD.

Sasa anaforce mambo ya course za afya na anaomba ushauri wa kozi gani ina soko la uhakika kati ya md na pharmacy.

Kuhusu vyuo nimemwambia apply private ndo atatoboa na sio public kwa sababu za ushindani kuwa juu.

MSAADA WENU TAFADHALI
Pharmacy
 
Japo ningeshauri asonge mbele kwa kuangalua upande mwingine ambao ni tofauti na afya.
kuna cozi zina soko kuliko hata hizo za afya na unapiga hela kichiz kuliko hata hizo za afya
Embu mkuu kwa faida ya wengi dadavua hizo cozi kidogo
 
Aende kusoma Ardhi university pale coz zake zipo vzur hata usipoajiliwa utajiajir tu miji inapanuka kila sehem tz hii au ka vp akasomee hata uvuvi udsm au sua au udom iyo coz atakuja jiajiri badae fresh yaan we huon mzee pinda ana mabwawa ya samaki na anapiga hela hatari na mtu alikuwa waziri mkuu
 
Back
Top Bottom