Sekretarieti ya ajira tupeni ufafanuzi kw hizo ajira za PURA wasipewe watu waliosomea Petroleum Geology, Petroleum Engineering na Petroleum Chemistry?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,333
8,252
Sekretarieti ya ajira tupeni ufafanuzi kwanini hizo ajira za PURA wasipewe watu waliosomea Petroleum Geology, Petroleum Engineering na Petroleum Chemistry?

Serikali ilipokua inaanzisha hizi kozi ililenga watu hawa waajiriwe kwenye taasisi zilizojikita zaidi kwenye mambo ya mafuta na gesi.

Sasa kuna haja gani nafasi waliozosomea hawa watu wa petroleum tena kwa miaka mingi mnawaita hadi watu ambao kozi zao hazijajikita kwenye mambo ya mafuta na gesi?

Kikawaida nafasi walizotangaza PURA mbona kama zimejikita sana kwenye mambo ya mafuta na gesi?

Ushauri: Taifa letu linaingia kwenye uchumi wa gesi hivyo linahitaji wataalamu waliobobea kwenye mafuta na gesi.
Serikali inabidi iliangalie hili ili iweze kupata matokeo chanya kwenye sekta hii.

Mimi naona taasisi zinazohusika na mafuta na gesi zichukue wataalamu waliosomea mafuta na gesi pekee waendelee kujijenga na kupata uzoefu ili wasaidie taifa letu.

Mafuta na gesi yanahitaji kutumia sayansi ya kweli ukikosea kidogo tu mnapoteana wote mnakwama kuendelea mbele.
 
Sekretarieti ya ajira tupeni ufafanuzi kwanini hizo ajira za PURA wasipewe watu waliosomea Petroleum Geology, Petroleum Engineering na Petroleum Chemistry?

Serikali ilipokua inaanzisha hizi kozi ililenga watu hawa waajiriwe kwenye taasisi zilizojikita zaidi kwenye mambo ya mafuta na gesi.

Sasa kuna haja gani nafasi waliozosomea hawa watu wa petroleum tena kwa miaka mingi mnawaita hadi watu ambao kozi zao hazijajikita kwenye mambo ya mafuta na gesi?

Kikawaida nafasi walizotangaza PURA mbona kama zimejikita sana kwenye mambo ya mafuta na gesi?

Ushauri: Taifa letu linaingia kwenye uchumi wa gesi hivyo linahitaji wataalamu waliobobea kwenye mafuta na gesi.
Serikali inabidi iliangalie hili ili iweze kupata matokeo chanya kwenye sekta hii.

Mimi naona taasisi zinazohusika na mafuta na gesi zichukue wataalamu waliosomea mafuta na gesi pekee waendelee kujijenga na kupata uzoefu ili wasaidie taifa letu.

Mafuta na gesi yanahitaji kutumia sayansi ya kweli ukikosea kidogo tu mnapoteana wote mnakwama kuendelea mbele.
Inaonyesha wazi una personal interest na Petroleum courses, so kuna vitu unaweza usielewe.

Nikupe mfano, TANESCO ni shirika la umeme, kwahiyo kipaumbele kiwe kwa waliosomea umeme sio?

Wrong, kinachoangaliwa ni ROLES zipi huyo mtu ataenda kufanya kwenye hiyo post, utagundua kuna roles zinaingia kwa course hata nne, ndio hapo wanapowapa chance wote.

Na sio PURA tu, angalia post zingine, taasisi zote hufanya hivyo.
Hata Mashirika ya kimataifa hufanya hivyo kwa Roles ambazo ni Cross cutting, utaona wanasema "and related courses are encouraged to apply"

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Inaonyesha wazi una personal interest na Petroleum courses, so kuna vitu unaweza usielewe.

Nikupe mfano, TANESCO ni shirika la umeme, kwahiyo kipaumbele kiwe kwa waliosomea umeme sio?

Wrong, kinachoangaliwa ni ROLES zipi huyo mtu ataenda kufanya kwenye hiyo post, utagundua kuna roles zinaingia kwa course hata nne, ndio hapo wanapowapa chance wote.

Na sio PURA tu, angalia post zingine, taasisi zote hufanya hivyo.
Hata Mashirika ya kimataifa hufanya hivyo kwa Roles ambazo ni Cross cutting, utaona wanasema "and related courses are encouraged to apply"

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Ngoja tusubiri serikali itasema nini ndugu? Ila kilicho andikwa pale kikizingatiwa ndipo taifa litaweza kwenda mbele zaidi. Na ukumbuke moja ya challenge inayosababisha kuchelewa kwa miradi ya gesi Tanzania ni ukosefu wa wawatu wenye ubobezi kwenye hayo mambo. Rejea kukodi wataalamu wa kujadili mikataba ya gesi kutoka nje ya nchi. Kwanini hao wa kada zingine wanashindwa kujadiliana?, mpaka sasa miradi inachelewa? Nijibu hili swali. Na ukumbuke wakati miradi inaanza imeajiri watu wa kada zingine.
 
Ngoja tusubiri serikali itasema nini ndugu? Ila kilicho andikwa pale kikizingatiwa ndipo taifa litaweza kwenda mbele zaidi. Na ukumbuke moja ya challenge inayosababisha kuchelewa kwa miradi ya gesi Tanzania ni ukosefu wa wawatu wenye ubobezi kwenye hayo mambo. Rejea kukodi wataalamu wa kujadili mikataba ya gesi kutoka nje ya nchi. Kwanini hao wa kada zingine wanashindwa kujadiliana?, mpaka sasa miradi inachelewa? Nijibu hili swali. Na ukumbuke wakati miradi inaanza imeajiri watu wa kada zingine.
Najua unachomaanisha ndugu, ingawa hapa umeanzisha hoja tofauti.
Point ni kwamba, kama roles za post ni cross cutting, wataitwa watu wote wa related courses.
Kuchelewa kwa miradi haimaanishi watalamu ni wachache, inategemea na sera za nchi, vipaumbele, budget, usimamizi, nk
Iko miradi watalamu ni wengi ila inachelwa pia.

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Najua unachomaanisha ndugu, ingawa hapa umeanzisha hoja tofauti.
Point ni kwamba, kama roles za post ni cross cutting, wataitwa watu wote wa related courses.
Kuchelewa kwa miradi haimaanishi watalamu ni wachache, inategemea na sera za nchi, vipaumbele, budget, usimamizi, nk
Iko miradi watalamu ni wengi ila inachelwa pia.

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu kukodi wataalamu kutoka nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom