Sehemu Ya Siri Inakuwa Inawasha Sana Je Ni Ugonjwa Au ?

He he he! Jamani kama nanihii wake anapenda hilo pori kucheza nalo, mara kalisuka mara kalifumua mara kalichana afro ali mradi nanihii wake anafurahia hilo pori badala ya kipara...:) Watu tuna choice tofauti ati!....:)

Lol Tehe tehe
 
aaah! nini tena unauliza mate mdomoni tena, hio ndani ya nyumba tayari,hiyo apeleke tu kwa hospitali eeeh,halafu umesema rafiki yako eeh, vp wewe mwenyewe hauwashwi au rafiki yako wa kiume 'JUST FRIEND MNACHIL TU EEH HAMDO' ,KAMA NDIO MPIGA GOZI HUYO,EEH WALAKINI
 
  • Yahusisha mabadiko yaliyofanywa na Dk. Rashid
WARAKA unaoonyesha siri ya matukio ya ufisadi ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) umepatikana ukionyesha kwamba, sehemu kubwa ya watuhumiwa waliofikishwa mahakamani walitokana na mabadiliko yaliyofanywa na aliyekuwa Gavana, Dk. Idris Rashidi.

Kwa mujibu wa waraka huo na maelezo kutoka kwa baadhi ya watumishi wa BoT, mabadiliko hayo yaliingiza timu mpya ambayo sehemu kubwa ni wale ambao wamehusishwa katika matukio ya ufisadi.

Baadhi ya watumishi wa BoT waliozungumza na Raia Mwema kwa nyakati tofauti wiki hii, wamesema matukio mengi ya kifisadi yalianza kufanyika mara baada ya mwaka 1994, kipindi ambacho timu mpya ya Dk. Rashidi ilianza kazi.

“Kwa muda wote tuliokuwa kazini tulikuwa tukisumbuliwa sana na wafanyabiashara na wanasiasa ambao sasa ndio tunawasikia wakiitwa mafisadi na ukiangalia utaona mahusiano yao na timu mpya yalikuwa makubwa sana na hata utajiri na umaarufu wao ulianza kipindi hicho,” anaeleza mstaafu mmoja wa BoT aliyekuwa kitengo nyeti.

Miongoni mwa walioingizwa katika timu mpya ya Dk. Rashidi iliyotangazwa rasmi Desemba 22, 1993 ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Gray Mgonja, ambaye kabla ya kuazimwa Hazina, alikuwa BoT kama Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha.

Mgonja na waliokuwa mawaziri wake wawili, Basil Mramba na Daniel Yona, wameshitakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi wakidaiwa kutumia vibaya nafasi zao kuhujumu serikali kwa kuisamehe kodi kampuni ya uhakiki wa hesabu za madini ya Alex Stewarts.

Wengine ambao walikuwamo katika timu mpya ya Dk. Rashidi ni Bosco Kimela ambaye pamoja na wenzake ameshitakiwa katika kesi ya wizi wa fedha kutoka katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA).

Katika orodha hiyo ya timu ambayo Dk. Rashidi aliingia nayo BoT yumo Amatus Liyumba, ambaye baadaye alibadilishwa kitengo na kwa sasa ni mmoja wa watuhumiwa katika kesi ya uhujumu uchumi inayohusishwa na ujenzi wa majengo pacha ya benki hiyo.

Kesi nyingine ambayo inamuingiza ofisa aliyekuwa katika timu mpya ya Dk. Rashidi ni inayohusu zabuni ya uchapishwaji wa noti iliyoiingizia BoT hasara ya Sh bilioni 104, ikimhusisha Simon Jengo, aliyekuwamo katika timu mpya pamoja na mtuhumiwa mwingine Bosco Kimela.

Mbali ya walioshitakiwa, wamo baadhi ya watu ambao kwa sasa wametajwa kuwa mashahidi katika kesi ya EPA na inaelezwa kwamba orodha inaweza kuongezeka ama hata mashahidi wakaingizwa na kuwa washitakiwa kulingana na muendelezo wa ushahidi na uchunguzi.

Mashahidi hao ambao wametokana na timu mpya ya Dk. Rashidi ni pamoja na Athumani Mtengeti, Peter Noni, Emmanuel Boazi na Stela Chaula, ambao baadhi wanaelezwa kwamba ni watendaji waaminifu na baadhi wanatajwa tajwa kuwa na mahusiano na watuhumiwa wa ufisadi.

Maofisa waliozungumza na Raia Mwema kwa sharti la kutotajwa majina kutokana na sababu za kiusalama, walisema pamoja na kuwapo kwa watendaji safi waliongia katika timu mpya ya Dk. Rashidi, kulikuwa na mikakati maalumu ya wafanyabiashara na wanasiasa waliokuwa na malengo maalumu ndani ya BoT.

Dk. Rashidi aliingia BoT akichukua nafasi iliyoachwa wazi na marehemu Gilman Rutihinda aliyekuwa Gavana kati ya mwaka 1989 hadi 1993, alipoaga dunia.


Chanzo: http://www.raiamwema.co.tz/news.php?d=1773
 
Maofisa waliozungumza na Raia Mwema kwa sharti la kutotajwa majina kutokana na sababu za kiusalama, walisema pamoja na kuwapo kwa watendaji safi waliongia katika timu mpya ya Dk. Rashidi, kulikuwa na mikakati maalumu ya wafanyabiashara na wanasiasa waliokuwa na malengo maalumu ndani ya BoT.
Time will tell ingawa nikiyaona haya ya Tanesco, siwezi kukataa moja kwa moja hoja iliyopo hapo juu
 
Recently naona wanaume wengi sana wanajikuna sehemu za siri. what kind o desease can this be? please assist
 
ni vile ulikuwa hujachunguza hii iko tangu enzi za adamu na eva mwanaume lazima ujikune sehemu za siri
 
Harara na mwasho wa kuaibisha tumia protex hahaaaa na kuna wale hasa wanasiasa hata Mwalimu alikuwa na tabia ya KUSHIKA SHIKA PUA sijui nayo ni ishara ya nini ile
 
Tena unajikuna huku unapanuapanua miguu na kuinama kidogo! wakati mwingine siyo miwasho ila unabandua kachupi sehemu ilipobana
 
jamani excuse me but nimecheka all the way kama chizi when reading this thred lol
 
sasa mbona hamsemi kama anaka ugonjwa gani mnamwambie tu akimbie hospital mala aipige picha :)
 
huyo mwenzio takuwa na ugonjwa, ama fangus, au magonjwa ya zinaa. wakati mwingine ni uchafu wa chupi, kuna watu hawafui chupi zao kila mara na hivyo kufanya miwasho sehemu za siri.
jamaa kama hajatahiriwa nalo ni tatizo lingine, kama hafanyi usafi wa kutosha kule ndani basi ni tatizo.
mwambie aende hospitali.
 
Huyo jamaa ametahiriwa, kama bado basi ajaribu kufanya hivyo huenda itampunguzia muwasho utokanao na taka zinazobakia kwenye ngozi ya mbele.

Pia mwone dakitari kwa uchunguzi na tiba.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom