Chris Kamlenga
Member
- Oct 17, 2017
- 26
- 32
Habari wadau,Naomba msaada kwa anayejua dawa ya kutibu ugonjwa wa vipele mwilini hadi sehemu za siri maana imekuwa ngumu mwanangu wa kiume kupona tatizo hilo,ametumia dawa nyingi sana za hospitali lakini imeshindikana,kwa sasa ugonjwa una zaidi ya miezi mitatu ila imekuwa ngumu,yaani anawashwa sana tumboni,matakoni,mapajani,mgongoni hadi kwenye uume,baadhi wanadai ni ugonjwa wa PESEE lakini wengine wanasema sio,lakini hata huo ugonjwa wa pesee siujui,kiukweli imekuwa changamoto kubwa sana,kwa mwenye kujua naomba msaada wenu tafadhari