mkuu, niliwahi kuwa na dell d630, niliweka line ya voda nikapata internet bila shaka na pia jaribu kuangalia kama hardware ya hiyo kitu ipo kwani nyingine utakuta sehemu ya kuweka card ipo lakini hardware yake hamna
mkuu, niliwahi kuwa na dell d630, niliweka line ya voda nikapata internet bila shaka na pia jaribu kuangalia kama hardware ya hiyo kitu ipo kwani nyingine utakuta sehemu ya kuweka card ipo lakini hardware yake hamna
nimeweka laini ila kwenye screen nimeshidwa kuiona sehemu inaposoma! Nifanyaje?
mkuu ulikuwa unamaanisha harddrive?
Wadau nna laptop aina ya Dell D630 nikitoa betri kuna sehemu ya kuweka lain naweza itumia vipi?
mkuu ulikuwa unamaanisha harddrive?
Nimefuatilia maelezo nimeelewa kuwa kuna driver inabid nidownload af bloototh iwe on ila bloototh pia inanisumbua hata nikisquiz hii button kushoto haitoi sign ya kuwaka hapa nifanye nini?
alikuwa anamaanisha hardware. yupo sahihi sometimes inajulikana kama Mobile Broadband card