Secretary

Hilipendo

Senior Member
Sep 13, 2011
188
97
Natafuta kazi ya usekretari jijini Arusha. Nimesoma na sekondary na kumaliza form 4, na nimesoma stage one ya secretarial na computer veta na kufaulu vizuri. Ninauzoefu wa miaka miwili kwenye kampuni mbili tofauti na nimekuwa secretary, cashier na assistance sales representative kwa nyakati tofauti. Naombeni msaada wenu.
 
Back
Top Bottom