Napenda kutoa rai yangu kwa SECRETARIAT KUU ya CCM ichukue hatua juu ya maazimio ya kujivua gamba yaliyoafikiwa mwezi wa sita!
Nyinyi ni watendaji wakuu ndani ya chama ambao mnatakiwa muwe wabunifu katika kuendesha chama, acheni kupambana na CHADEMA,tafuteni sera nzuri zinazoweza kutekelezwa ili wananchi wawe na imani na serikali ya CCM.
Acheni woga wakuwafukuza wanachama wezi na ambao si waaminifu kwa CHAMA.
MAFISADI wanapata kiburi kwa vile mnaweka maazimio ambayo hamuwezi kuyatekeleza.Kama ROSTAM alitii, kwa nini mnaacha mtandao wake?
Fukuzeni wakaanzishe CHAMA chao cha KIFIDI waone uchungu wakutunyonya badala yakulindana !
Nyinyi ni watendaji wakuu ndani ya chama ambao mnatakiwa muwe wabunifu katika kuendesha chama, acheni kupambana na CHADEMA,tafuteni sera nzuri zinazoweza kutekelezwa ili wananchi wawe na imani na serikali ya CCM.
Acheni woga wakuwafukuza wanachama wezi na ambao si waaminifu kwa CHAMA.
MAFISADI wanapata kiburi kwa vile mnaweka maazimio ambayo hamuwezi kuyatekeleza.Kama ROSTAM alitii, kwa nini mnaacha mtandao wake?
Fukuzeni wakaanzishe CHAMA chao cha KIFIDI waone uchungu wakutunyonya badala yakulindana !