Misingi ya CCM ni imara kuliko CCM ilivyo sasa

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
3,564
3,472
Chama Cha Mapinduzi ( CCM) ni chama kilichopitia changamoto nyingi nyingi na zinazoweza kuhatarisha uwepo wake kama chama tawala lakini licha ya changamoto hizo kimeweza kustahimili kutokana na sababu kadhaa nje ya ukongwe wake au uzoefu.

Moja ya sababu kubwa ni Misingi ya ujamaa ambayo CCM iliirithi kutoka kwenye Katiba ya TANU. Misingi hiyo ni:

(a) Usawa-Binadamu wote ni sawa.
(b)Heshima-Kila mtu anahitaji heshima.
(c) Ushiriki-Kila raia ni sehemu ya Taifa na anayo haki ya kushiriki sawa na wengine katika Serikali tangu ya Mitaa, Mikoa hadi Serikali Kuu.
(d) Uhuru wa kutoa mawazo-Kila mtu anayo haki ya uhuru wa kutoa mawazo yake, kwenda anakotaka na kuamini dini anayotaka, kukutana na watu ili mradi havunji sharia.
(e) Kupata hifadhi ya maisha na mali kwa mujibu wa sheria.
(f) Malipo ya haki-Kila mtu anastahili malipo ya haki kutokana na kazi yake.

(g) Kumiliki utajiri wa asili wa nchi kama dhamana kwa vizazi vijavyo.
(h) Kuhakikisha uchumi wa nchi unakwenda sawa- Serikali lazima iwe na mamlaka na mamlaka kamili juu ya njia muhimu za kukuza uchumi; na
(i) Kwamba ni wajibu wa Serikali ambayo ni watu wenyewe, kuingilia kazi kwa vitendo maisha ya uchumi wa Taifa ili kuhakikisha usitawi wa raia wote na kuzuia mtu kumnyonya mtu mwingine au kikundi kimoja kunyonya kikundi kingine na kuzuia limbikizo la utajiri kusikia kiasi ambacho hakipatikani na sasa ya watu wote kuwa sawa.

Misingi hiyo ndiyo misingi ya Utu na Utangamano wa Kitaifa pia ni raslimali muhimu kwenye Umajumui wa Afrika chini ya falsafa ya Kiafrika yaani UBUNTU.

Misingi hiyo ndiyo kigezo mkubwa cha ufanisi wa Chama na ndiyo inayotumiwa na wakosoaji kuonesha udhaifu.
 

Attachments

  • Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png
    Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png
    11.5 KB · Views: 1
Chama Cha Mapinduzi ( CCM) ni chama kilichopitia changamoto nyingi nyingi na zinazoweza kuhatarisha uwepo wake kama chama tawala lakini licha ya changamoto hizo kimeweza kustahimili kutokana na sababu kadhaa nje ya ukongwe wake au uzoefu.

Moja ya sababu kubwa ni Misingi ya ujamaa ambayo CCM iliirithi kutoka kwenye Katiba ya TANU. Misingi hiyo ni:

(a) Usawa-Binadamu wote ni sawa.
(b)Heshima-Kila mtu anahitaji heshima.
(c) Ushiriki-Kila raia ni sehemu ya Taifa na anayo haki ya kushiriki sawa na wengine katika Serikali tangu ya Mitaa, Mikoa hadi Serikali Kuu.
(d) Uhuru wa kutoa mawazo-Kila mtu anayo haki ya uhuru wa kutoa mawazo yake, kwenda anakotaka na kuamini dini anakotaka, kukutana na watu ili mradi havunji sharia.
(e) Kupata hifadhi ya maisha na mali kwa mujibu wa sheria.
(f) Malipo ya haki-Kila mtu anastahili malipo ya haki kutokana na kazi yake.

(g) Kumiliki utajiri wa asili wa nchi kama dhamana kwa vizazi vijavyo.
(h) Kuhakikisha uchumi wa nchi unakwenda sawa- Serikali lazima iwe na mamlaka na mamlaka kamili juu ya njia muhimu za kukuza uchumi; na
(i) Kwamba ni wajibu wa Serikali ambayo ni watu wenyewe, kuingilia kazi kwa vitendo maisha ya uchumi wa Taifa ili kuhakikisha usitawi wa raia wote na kuzuia mtu kumnyonya mtu mwingine au kikundi kimoja kunyonya kikundi kingine na kuzuia limbikizo la utajiri kusikia kiasi ambacho hakipatikani na sasa ya watu wote kuwa sawa.

Misingi hiyo ndiyo misingi ya Utu na Utangamano wa Kitaifa pia ni raslimali muhimu kwenye Umajumui wa Afrika chini ya falsafa ya Kiafrika yaani UBUNTU.

Misingi hiyo ndiyo kigezo mkubwa cha ufanisi wa Chama na ndiyo inayotumiwa na wakosoaji kuonesha udhaifu.
jaribu, verified member, unaweza kuteuliwa
 
As long as umiliki wa chama uko kwa wananchi, CCM itabakia kuwa taasisi imara.

Wanamtandao walijaribu kuharibu misingi hiyo na kutaka kujimilikisha chama lakini wakapigwa na kitu kizito. Wamerudi tena kujaribu lakini hawatoweza.

Ikiwa watafanikiwa basi ndio kifo cha chama chetu.
 
As long as umiliki wa chama uko kwa wananchi, CCM itabakia kuwa taasisi imara.

Wanamtandao walijaribu kuharibu misingi hiyo na kutaka kujimilikisha chama lakini wakapigwa na kitu kizito. Wamerudi tena kujaribu lakini hawatoweza.

Ikiwa watafanikiwa basi ndio kifo cha chama chetu.
Hakika!..
 
Chama Cha Mapinduzi ( CCM) ni chama kilichopitia changamoto nyingi nyingi na zinazoweza kuhatarisha uwepo wake kama chama tawala lakini licha ya changamoto hizo kimeweza kustahimili kutokana na sababu kadhaa nje ya ukongwe wake au uzoefu.

Moja ya sababu kubwa ni Misingi ya ujamaa ambayo CCM iliirithi kutoka kwenye Katiba ya TANU. Misingi hiyo ni:

(a) Usawa-Binadamu wote ni sawa.
(b)Heshima-Kila mtu anahitaji heshima.
(c) Ushiriki-Kila raia ni sehemu ya Taifa na anayo haki ya kushiriki sawa na wengine katika Serikali tangu ya Mitaa, Mikoa hadi Serikali Kuu.
(d) Uhuru wa kutoa mawazo-Kila mtu anayo haki ya uhuru wa kutoa mawazo yake, kwenda anakotaka na kuamini dini anayotaka, kukutana na watu ili mradi havunji sharia.
(e) Kupata hifadhi ya maisha na mali kwa mujibu wa sheria.
(f) Malipo ya haki-Kila mtu anastahili malipo ya haki kutokana na kazi yake.

(g) Kumiliki utajiri wa asili wa nchi kama dhamana kwa vizazi vijavyo.
(h) Kuhakikisha uchumi wa nchi unakwenda sawa- Serikali lazima iwe na mamlaka na mamlaka kamili juu ya njia muhimu za kukuza uchumi; na
(i) Kwamba ni wajibu wa Serikali ambayo ni watu wenyewe, kuingilia kazi kwa vitendo maisha ya uchumi wa Taifa ili kuhakikisha usitawi wa raia wote na kuzuia mtu kumnyonya mtu mwingine au kikundi kimoja kunyonya kikundi kingine na kuzuia limbikizo la utajiri kusikia kiasi ambacho hakipatikani na sasa ya watu wote kuwa sawa.

Misingi hiyo ndiyo misingi ya Utu na Utangamano wa Kitaifa pia ni raslimali muhimu kwenye Umajumui wa Afrika chini ya falsafa ya Kiafrika yaani UBUNTU.

Misingi hiyo ndiyo kigezo mkubwa cha ufanisi wa Chama na ndiyo inayotumiwa na wakosoaji kuonesha udhaifu.
Chama kinachotumia vyombo vya dola kuiba kura kina misingi gani imara?Kilishajifia mda mrefu
 
Hata mimi nakuunga mkono kuwa hauna interest za kichawa ingawa dalili na symptoms zote zinaonesha wewe ni chawa pro max.
Ndipo tulipofikia vijana wa kibongo. Hoja haijibiwi kwa hoja anashambuliwa mleta mada.......
Kujenga hoja ni elimu nyingine inayohitajika nchini
 
Chama kinachotumia vyombo vya dola kuiba kura kina misingi gani imara?Kilishajifia mda mrefu
Ndiyo maana nimeandika misingi yake ni imara kuliko ilivyo sasa. Misingi yake ukiiangalia inawapa nguvu wananchi.
 
Back
Top Bottom