Itabidi Mtatiro aje hapa atueleze kama mpinzani wa CUF ni CDM ambayo bado haijakamata dola na sio CCM iliyokamata dola. Kumpinga mpinzani mwenzio na kumuacha aliyekamata dola, hata kama ni mumeo, ni uendawazimu wa hali ya juu. Sidhani kama kuna mwananchi atajiunga na chama kisicho na malengo ya kuchukua dola bali lengo ni kulinda ndoa akina Maalim Seif waendelee kula bata SUK huku wana Tandahimba wamedhulumiwa fedha za korosho na serikali ya mume wa chama chao
Hahahaha unajua kuna vitu vingine ni vichekecho sana! Yan hata wananchi walio udhuria mkutano wa Cuf hawafiki 3000
Kwakweli hivi ni vichekesho kutoka kwa gazeti hilo!
yaani waarusha/wachaga wahamie uamsho...haiwezekani labda ni wale wa ccm wameingia cuf wanatudanganya
Ukiangalia kichwa cha habari hapo juu utagundua kuwa unachoenda kukipata si cha kweli na kimejaa uongo ndani yake. Heading hiyo iko kwenye gazeti la sauti huru.
Sauti huru nila kada wa ccm lakini hapa linatumika kujenga uongo wa mchana kweupe! Labda mlioko Arusha mumsaidie muandishi kumuambia ukweli.
Ukiangalia kichwa cha habari hapo juu utagundua kuwa unachoenda kukipata si cha kweli na kimejaa uongo ndani yake. Heading hiyo iko kwenye gazeti la sauti huru.
Sauti huru nila kada wa ccm lakini hapa linatumika kujenga uongo wa mchana kweupe! Labda mlioko Arusha mumsaidie muandishi kumuambia ukweli.
Hukuwaona tu. Kulikuwa na maruhani zaidi ya 3000. Kumbuka hiki ni chama maarufu kupiga kura za maruhani na kuchagua maruhani.jamani mkutano wenyewe ukitoa watu walioletwa na mabasi kutoka Dar na Morogoro hawakuzidi 100 Na hata ukijumlisha waliotoka Dar na Moro na watu wa Arusha kwa pamoja hawakuzidi 700 sasa hao 3000 wanatoka wapi? au waliimanisha watatu kama ni watatu ni kweli na majina nawafahamu..
hivi nikuulize wewe mwenye akili uliyeko huko cdm, umebahatika na jambo gani la kujivunia ukawona wenzako wehu, au wenda wazimu ? Rekebisha ulimi wako huenda ukawa wewe ni bora huyo ktika upotevu kulikoni, kwani hao cdm muna tamaa ya kuchukua nchi? Sahau chama cha kikabila na kidini, mikakati imetimia kuwasafisha cdm popote pale ilipo! Acha dhihaka kichogo nongohao wanaohamia cuf wana akili timamu kweli? Wanategemea kuchukua nchi ya nani? Kwa lipi hasa jipya ambalo cuf wamefanya? Weka picha zao basi au mlisahau kamera zenu visiwani
WAISLAMU HAWA WAMEBATIZWA? Wapi? Lini? Kanisa gani? Majina yao ya kikristo ni kina nani? Je, wewe ni mwislamu mzuri kuliko hawa?. Jakaya Mrisho Kikwete, Yusufu Makamba, Abdulahman Kinana, Abdallah Kigoda, Mohamedi Gharib Bilal, Saidi Mwema, Suleyman Kova, mohamedi shein, Sheikh sharif hamad - cuf n.k.Ni Mwislamu maamuma tu anayeweza kulipuka na kuja na udini wa kipuuzi namna hii? Tatizo ulikimbia shule, ndiyo maana ukiambiwa mambo ya kipuuzi unayabeba kama yalivyo - huwezi kufikiri bali unakurupuka tu na kubeba na kutapika pumba jamvini! Wewe ni sawa na WAKRISTO wanaojiona ni WAKATOLIKI KULIKO PAPA!Chadema hamna lolote nyinyi na CCM ni wamoja tu nyote mupo kwa ajili ya kuimarisha Kanisa tu na si jengine ni backups Ya CCM tu Kanisa siku ikiona CCM haina maslahi na kanisa ndio mutakabidhiwa nyinyi. Nchi hii inatawaliwa na Kanisa kwa nyuma ya pazia. si mulisema humumtambuwi kikwete ilikuwa ni geresha ya Kanisa tu. kama kweli nyinyi sio Kanisa basi tuwelezeni vipi mutashinda uchaguzi wakati.. 1. Tume ya Uchaguzi ni CCM (kanisa)2.Polisi Ni CCM (Kanisa) 3. Jeshi Ni CCM (Kanisa) 4.Mahkama Ni CCM (kanisa) 5.JKT ni CCM (Kanisa) Kila Kitu Muhimu kinatawaliwa na CCM kanisa na nyinyi hatuwasikieni kufanya chochote cha kubadilisha hali kwasabau masilahi yenu ni kwa kanisa ivi kweli kama nyinyi sio CCM (kanisa) yule muhindi wa CCM anayewapa mamilioni ya shilingi ccm wangemuacha kweli kama si kwa ridhaa ya CCM?
Kumbe CUF ina majukumu MAZITO mno! KAZI YENU CDM iondoke ILI NDOA YENU IDUMU!hivi nikuulize wewe mwenye akili uliyeko huko cdm, umebahatika na jambo gani la kujivunia ukawona wenzako wehu, au wenda wazimu ? Rekebisha ulimi wako huenda ukawa wewe ni bora huyo ktika upotevu kulikoni, kwani hao cdm muna tamaa ya kuchukua nchi? Sahau chama cha kikabila na kidini, mikakati imetimia kuwasafisha cdm popote pale ilipo! Acha dhihaka kichogo nongo