Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Tangu nimefika Same ni miaka sita sasa kunatatizo sugu la maji, lakini mbunge wao sijawahi kumsikia hata sikumoja ni jitihada gani atakazo au alizo zichukua kutatua tatizo hili. pia tangu uchaguzi mkuu uliopita hakjaonekana jimboni, Mheshimiwa kama unapita hapa janvini, tunaomba uwe na huruma hata kidogo, watu wa masandare, majengo, same mjini, stesheni, majevu, kiwanja tunateseka saaana
kwani wewe ni Tume ya Uchaguzi ya Tanzania. kama hajakunufaisha wewe au kijiji chako basi wananufaika wengine. Wewe subiri zamu yako.