Bado najiuliza ana maana gani.................Au kwa sababu sijavaa pete ya ndoa kama wengine...........!?
Mtambuzi unajua baadhi ya wanawake wanapenda wanaume wenye umri kidogo ambao wanamaisha ili nao walapo kupitia mgongo wako mkuu.
Kwa hiyo ulikuwa tageti hapo bila kujijua, na hata kama ungesema umeoa bado penati isingepanguliwa.
Ana lake jambo huyu sio bure!Kwanini upate kigugumizi?
Kwani hujui kama umeoa au la?
Mwambie ukweli aisee kuwa umeoa na una watoto 8.5
Sasa hiyo maana utaijuaje wakati hutaki kumjibu?Namvutia muda nijue ana maana gani?
Jamani nimesema nitamjibu baadae kidogo...........Nikimaliza kula namtolea Lap Top namuonyesha picha zetu za Harusi.........Kuna ubaya gani kuonyesha ushahidi?Kwanini upate kigugumizi?
Kwani hujui kama umeoa au la?
Mwambie ukweli aisee kuwa umeoa na una watoto 8.5
Hehehe, vile mama Ngina yupo kibaha unaruhusiwa kumvutia kasi lol.Sina langu jambo swetie bali namvutia kasi huyu.......................