muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,511
- 3,477
Jamaa alikuwa anaendesha punda, siku 1 alimuuliza rafiki yake, kwnn! gari zinaenda mbio sana? Akamjibu zinatumia Petrol siku ya pili akaenda sheli na punda wake,Alipofika akamnyanyua mkia,akasema atiwe lita 5!. Petrol ikamuwasha Punda akatoka mbio nyingi sana! Jamaa akamfukuza wapi hakumpata! akarudi sheli Akavua suruali!, akainama!, akamwambia muuza mafuta niwekee lita 10! lazima nimpate tu!, Unajua kilichotokea hapo? subiri part 2.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums