jogoo mtata
Senior Member
- Sep 3, 2016
- 159
- 160
Amen
Pokea maombi dada mana hii hali ni mbaya xnasala zenu zishasikilizwa
Twakuomba usikie sala zetu, ee baba.
nishayapokea ahaha Mungu ni mwemaPokea maombi dada mana hii hali ni mbaya xna
Wanachana nywele kabla ya kulala? Aisee mume wangu ajiandae kisaikolojia kwa kweli! Mi nywele hata sinaga habari nazo nikilala. Ni mwenye wa kuvaa hair net tu.Huwa wananunua Hand bag Kwa bei kubwa Lakini Sisi wanaume Huwa hatuna hata stori na handbag zao, wanazobeba,
.
huwa wanachana nywele na kujiangalia kwenye kioo kabla ya kwenda kulala,
Eeh Mungu Uwaokoe
We jipe moyo wakati mnachokwa hivyooAny way... uzi huu na nyinginezo kuhusu wanawake zilizoanzishwa na wanaume ni kiashiria tosha WANAUME WANAWAPENDA SANA WANAWAKE KIASI MAWAZO, MAONGEZI NA MAANDISHI YAO NI KUHUSU WANAWAKE.
Wanawake oyeee!
Any way... uzi huu na nyinginezo kuhusu wanawake zilizoanzishwa na wanaume ni kiashiria tosha WANAUME WANAWAPENDA SANA WANAWAKE KIASI MAWAZO, MAONGEZI NA MAANDISHI YAO NI KUHUSU WANAWAKE.
Wanawake oyeee!
stress free zoneJf bila vituko, mh!
We jipe moyo wakati mnachokwa hivyoo
Mwanaume anaweza kuishi bila mwanamke.Ni uamuzi tu just like mtume PauloBasi sawa, ukisema wa nini mwenzio anajiuliza utamwacha lini.
Wanaume hawawezi kuishi bila wanawake. Opportunity cost hiyo.
Eeh Baba kutana nao uwajaze roho ya upendo maana hakuna mwanamke asiyejiona bora zaidi ya mwenzake..Hao wanawake wenu villazza mnaozoa huko msituchafue.
kwikwi kwi kwi kwiiiiiii mbavu zangu mtuvumilie tunafanya hayo yote kuwafurahisha.Eh baba wambinguni, ninakuomba uzipokee na kuzibariki sala zilizoletwa kwako na wanaume wote. Ninakuomba baba hawa viumbe wenye ukubwa wa miili, misuri mikubwa lakini wadhaivu na wanyonge wa nafsi uwainulie mkono wako wa nguvu ili waimarike ktk kuchunguza udhaifu wetu unaoonekana. Amina