Sala, dua na maombezi ya kimya

Tumefundishwa jinsi ya kuomba. ..maneno ya Mungu yanasema hivi. ...basi usalipo fanya hivi funga mlango wako sali na baba yako aliye sirini atakujazi. ...nisingependa leo niende huko hiyo ni mada nyingine lakini
Mungu wetu sio kiziwi hata tumpigie kelele


kabisa SEMA WENGINE WANAFANYA BINADAMU TUWAONE
 
Leo umekuja vzr mshana jr hapo naunga mkono 100%. Kabla cjafungua uzi huu nlikuwa nasali kumya sababu ndo nimeanza safar kutoka mkoan kwenda dar. Kwa iman tutafika salama. Naamini sana sala za kimya na zimefanya kazi sana kwangu na nnaowaombea..
 
Leo umekuja vzr mshana jr hapo naunga mkono 100%. Kabla cjafungua uzi huu nlikuwa nasali kumya sababu ndo nimeanza safar kutoka mkoan kwenda dar. Kwa iman tutafika salama. Naamini sana sala za kimya na zimefanya kazi sana kwangu na nnaowaombea..
Asante nafanya sala maalum pia kwa ajili yako na wasafiri wengine hapa nilipo
 
Back
Top Bottom