Sala, dua na maombezi ya kimya

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,845
Kwa waamini na waaminio,

Maisha yetu ni sawa na utando wa buibui cobweb! Yakiwa yana nguvu asili ya Kimungu (kwa waamimio)kutoka katikati, siku zote timeshikliliwa na nguvu hiyo na ndio inayotusaidia kuweza kusonga mbele.

Kuna hili la sala na dua kufuatana na imani zetu, hili jambo lina nguvu kubwa mno ya kutuokoa toka kwenye majanga mengi. Hapa sizungumzii utaratibu wa kawaida wa ibada zetu bali maombi na dua za kimya za mtu binafsi popote alipo na lolote alifanyalo ukipanda gari ukiingia mahali popote ukila chochote ukiongea chochote, piga dua yako ya kimya kisha fanya utakalo(lisiwe baya tu lakini).

Sala yako na dua yako kwako binafsi na kwa wengine ni tiba kwako na kwa wengine ni msaada mkubwa kwa ulimwengu wa roho.

Tunakutana na kesi nyingi za ajabu matukio ya kushangaza mno, inatokea ajali mbaya unasalimika au hata kama umepata majeraha unasaidika kwa haraka na vitu vyako vya thamani havipotei hata kimoja.....matukio ni mengi mifano ni mingi.

Inatosha tu kusema dua na sala yako ya kimya ni tiba na uhai wa dunia. Kwa kila neno moja utakaloomba kwa sala ama kwa dunia unaleta matokeo chanya katika ulimwengu wa roho.

Basi hapo ulipo sasa na unapofungua uzi huu fanya sala/dua ya kimya ukiomba amani ya ulimwengu na ustawi wa dunia...bila kuisahau familia yako, ndugu zako jamaa na rafiki, taifa lako na wale wote wanaopitia nyakati ngumu sasa.

Kwakuwa wakati uki JF ukiperuzi na kugombana na watu kuna watu wako hospital katika hali mbaya magonjwa ya ajabu yasiyotibika, wengine mahabusu wengine gerezani kwa kesi za chuki visasi na kusingiziwa, wengine wako kwenye mtanziko mkubwa wa madeni na mambo magumu mno.

Omba sasa fanya dua sasa ikimbuke na JF.
 
Asante sana.

Kuna jamaa mmoja kijijini kwetu kipindi hichooo
Niko mdogo na kimbiza tairi ya baiskali na kijijiti
Bila viatu. Hahahhahahahhaah. -:).

Huyu jamaa anajulikana ni mwizi pale kijijini.
Sijui amepotelea wapi siku hizi .

Niliwahi kumuuliza hivi we mbona unaiba sana
Na haukamatwi? ??

Nakumbuka akacheka nakusema hakuna alie wahi kumuuliza hivyo.

Anyway aliniambia kabla hajaenda kuiba huwa anasali sana kimoyo moyo asikamatwe.

Nami nika muamini. -: )
 
Umenifungua mkuu ninaamini sala kwenye maisha ni muhimu sana, ngoja niwape ushuhuda kidogo jana usiku sijasali kwani ni kawaida yangu kusali kila siku na nilikuwa nimejipanga kutuliza akili kwa mda huku nikijitenga na uovu wote, ila kutokana na kutokusali jana leo nimeamka nikiwa na uchovu sana, shetani akaniingia nikampigia mchepuko wangu nikaugegenda na nipo nao hapa bado natafakari kilichotokea kwani na shetani alivyowaajabu nimeupigia tu simu ukaniambia npo maeneo yako nakuja.
 
Asante sana.

Kuna jamaa mmoja kijijini kwetu kipindi hichooo
Niko mdogo na kimbiza tairi ya baiskali na kijijiti
Bila viatu. Hahahhahahahhaah. -:).

Huyu jamaa anajulikana ni mwizi pale kijijini.
Sijui amepotelea wapi siku hizi .

Niliwahi kumuuliza hivi we mbona unaiba sana
Na haukamatwi? ??

Nakumbuka akacheka nakusema hakuna alie wahi kumuuliza hivyo.

Anyway aliniambia kabla hajaenda kuiba huwa anasali sana kimoyo moyo asikamatwe.

Nami nika muamini. -: )
Hahhahahaa hawa watu wanapofanikiwa kwenye uovu wao wanafikiri ni yale maombi yao kumbe ni maombi na dua za wengine kwakuwa tunapoomba na kufanya dua hatubagui bali hufanya hivyo kwa uumbaji wote
...MUNGU HANA SHIRIKA na waovu
 
Kwa waamini na waaminio
Maisha yetu ni sawa na utando wa buibui cobweb! Yakiwa yana nguvu asili ya Kimungu(kwa waamimio)kutoka katikati, siku zote timeshikliliwa na nguvu hiyo na ndio inayotusaidia kuweza kusonga mbele
Kuna hili la sala na dua kufuatana na imani zetu, hili jambo lina nguvu kubwa mno ya kutuokoa toka kwenye majanga mengi.hapa sizungumzii utaratibu wa kawaida wa ibada zetu bali maombi na dua za kimya za mtu binafsi popote alipo na lolote alifanyalo ukipanda gari ukiingia mahali popote ukila chochote ukiongea chochote, piga dua yako ya kimya kisha fanya utakalo(lisiwe baya tu lakini)
Sala yako na dua yako kwako binafsi na kwa wengine ni tiba kwako na kwa wengine ni msaada mkubwa kwa ulimwengu wa roho
Tunakutana na kesi nyingi za ajabu matukio ya kushangaza mno, inatokea ajali mbaya unasalimika au hata kama umepata majeraha unasaidika kwa haraka na vitu vyako vya thamani havipotei hata kimoja.....matukio ni mengi mifano ni mingi
Inatosha tu kusema dua na sala yako ya kimya ni tiba na uhai wa dunia. Kwa kila neno moja utakaloomba kwa sala ama kwa dunia unaleta matokeo chanya katika ulimwengu wa roho
Basi hapo ulipo sasa na unapofungua uzi huu fanya sala/dua ya kimya ukiomba amani ya ulimwengu na ustawi wa dunia...bila kuisahau familia yako, ndugu zako jamaa na rafiki, taifa lako na wale wote wanaopitia nyakati ngumu sasa
Kwakuwa wakati uki JF ukiperuzi na kugombana na watu kuna watu wako hospital katika hali mbaya magonjwa ya ajabu yasiyotibika, wengine mahabusu wengine gerezani kwa kesi za chuki visasi na kusingiziwa, wengine wako kwenye mtanziko mkubwa wa madeni na mambo magumu mno
Omba sasa fanya dua sasa ikimbuke na JF
Hapa leo nimezidi kukuaminia mkuu,kiukweli nimekua nikipita majaribu kadhaa mpaka najishangaa lakini kupitia maombi ya kimoyo moyo na mambo yanakwenda kama nilivyoomba
 
halafu kuna maza hapa street nafikiria nimpeleke kwa mjumbe, maana anaimba tenzi kwa sauti kubwa kinoma, akimaliza hapo anaanza kuomba sasa dah ni shida aisee, ila ngoja nitamfuata kwanza face to face asipoelewa nitajua cha kufanya, na wote tuseme ameen!
 
Umenifungua mkuu ninaamini sala kwenye maisha ni muhimu sana, ngoja niwape ushuhuda kidogo jana usiku sijasali kwani ni kawaida yangu kusali kila siku na nilikuwa nimejipanga kutuliza akili kwa mda huku nikijitenga na uovu wote, ila kutokana na kutokusali jana leo nimeamka nikiwa na uchovu sana, shetani akaniingia nikampigia mchepuko wangu nikaugegenda na nipo nao hapa bado natafakari kilichotokea kwani na shetani alivyowaajabu nimeupigia tu simu ukaniambia npo maeneo yako nakuja.
Kuna nguvu zinafanya kazi beyond our knowledge...ukiishi maisha ya ibada siku ukijisahau tuu jamaa anatia timu..kuna ukuta mkubwa wa ulinzi kwenye maombi hujengwa lakini kuna nyundo kubwa ya ibilisi husubiri ujisahau tu mara moja afanye yake
Ni sawa na fensi ya umeme na mwizi, kila siku utakumbuka kuwasha swichi na kila siku mwizi atakuja na testa yake kucheki kama umewasha, hasahau! ! ! Siku unayojisahau ndio siku anayofanya yake
 
halafu kuna maza hapa street nafikiria nimpeleke kwa mjumbe, maana anaimba tenzi kwa sauti kubwa kinoma, akimaliza hapo anaanza kuomba sasa dah ni shida aisee, ila ngoja nitamfuata kwanza face to face asipoelewa nitajua cha kufanya, na wote tuseme ameen!
Mmh Tenzi za rohoni?
 
Hapa leo nimezidi kukuaminia mkuu,kiukweli nimekua nikipita majaribu kadhaa mpaka najishangaa lakini kupitia maombi ya kimoyo moyo na mambo yanakwenda kama nilivyoomba
Kuna nguvu ya ajabu kwenye hizi dua na maombi ikifika mahali akili imegoma ita jina lake yeye alie juu yeye mweza wa yote
 
Natamani nipgie dua Taifa la Israel lifutike katika ramani ya dunia kwa madhira watendayo kwa wazawa palestina...
 
Natamani nipgie dua Taifa la Israel lifutike katika ramani ya dunia kwa madhira watendayo kwa wazawa palestina...
Una haki kimtazamo kusema hivyo lakini nahofia hili litageuzwa la kidini na kuanza mtifuano usiojenga...BTW ishu ya Israel na Palestine ni zaidi ya sisi tuijuavyo
 
Back
Top Bottom