Sakata la Walimu kufukuzwa kule Tunduma kisa wimbo wa Zuchu "Honey" ni Kipimo cha Mawaziri Vilaza wa Nyakati za Sasa

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,479
11,233
Kuna wakati na nyakati, msanii wa mziki haishi mbinguni na hawakilishi malaika, Waziri Mkenda ni mshamba sana narudia ni mshamba sana.

Wimbo wa Zuchu content yake ni ya kitanzania na huu wimbo una kiswahili cha kificho ama tafsida.

Ni aibu sana kuwa na Waziri mkurupuko na mshamba kama Mkenda, he fell short of the recent world.

Watanzania endapo mtashindwa kuelewa kuwa huyu Waziri ni kilaza na kakurupuka na ana mihemko ya kishamba ipo siku mtaumbuka.

Ni akili finyu isiyojua nchi hii kwa mapana na mambo yanayojiri kila sehemu kila siku.

Huyu Waziri anaingia kwenye orodha ya mawaziri wenye mkurupuko na washamba kuwahi kutokea katika nchi hii.

Wazira kilaza hajui kitu katika tasnia ya mziki na sanaa.

Nimekwazika na ufala, ushamba unaongezeka kila kukicha. Hatuwezi kusimama wakati Dunia inakimbia things are changing, zama hazigandi zinabadirika daily.

Tuna viongozi baadhi washamba hadi kero.

Soma:
- Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Wadiz
 
Je, ni kwa sababu huenda hatujafikia malengo yetu ya kimaisha na hivyo kufanya maisha kuwa na ukakasi?

Imagine katika umri huu:

● Huna mke/familia(very optional)

□ Watoto wadogo hawajaanza hata chekechea(kina sie).

● Hujawa na sehemu ya kujibanza(kijumba).

○ Hujawa stable career wise, bado unajitafuta.

Ni lazima kichwa kiwake moto, lazima stress levels ziwe juu na usipoangalia unaweza kupata sonona.
 
Je, ni kwa sababu huenda hatujafikia malengo yetu ya kimaisha na hivyo kufanya maisha kuwa na ukakasi?

Imagine katika umri huu:

● Huna mke/familia(very optional)

□ Watoto wadogo hawajaanza hata chekechea(kina sie).

● Hujawa na sehemu ya kujibanza(kijumba).

○ Hujawa stable career wise, bado unajitafuta.

Ni lazima kichwa kiwake moto, lazima stress levels ziwe juu na usipoangalia unaweza kupata sonona.
Unajisema pole sana mwana maokoto 🤣🤣🤣
 
Tuache kuhalalisha ujinga mkuu wewe hiyo nyimbo mutaruhusu mtoto wako aimbe nyumbani?

Ni wimbo wenye maadili?

Maneno ya "namkatia uno hani wangu".

Mnataka watoto wayaimbe hayo halafu baadaye mje mseme kizazi hiki kimeharibika?

Wengi mnasema et kama wimbo ulikuwa mbaya kwanini Basata wasifungie yaani kwahiyo Basata wakiruhusu mbaya wewe utaruhusu wanao wasikilize kwa sababu Basata wameruhusu?

Tukubaliane kuwa wimbo hauna maadili kwa watoto, na walimu tumewapa dhamana ya kusimamia maadili ya watoto wawapo shuleni wakiwa nje ya shule ni jukumu la wazazi.
 
Waziri hakutambua kwamba hizo nyimbo watoto wanazisikiliza majumbani mwao na mitaani kila siku.
Huyo Waziri has demonstrated the possession of stereotype and fragile mindset, very primitive, if he had multidisciplinary transferable skills asingelifanya huo mkurupuko.
 
Tuache kuhalalisha ujinga mkuu wewe hiyo nyimbo mutaruhusu mtoto wako aimbe nyumbani?

Ni wimbo wenye maadili?

Maneno ya "namkatia uno hani wangu".

Mnataka watoto wayaimbe hayo halafu baadaye mje mseme kizazi hiki kimeharibika?

Wengi mnasema et kama wimbo ulikuwa mbaya kwanini Basata wasifungie yaani kwahiyo Basata wakiruhusu mbaya wewe utaruhusu wanao wasikilize kwa sababu Basata wameruhusu?

Tukubaliane kuwa wimbo hauna maadili kwa watoto, na walimu tumewapa dhamana ya kusimamia maadili ya watoto wawapo shuleni wakiwa nje ya shule ni jukumu la wazazi.
Huo wimbo hauna tatizo lolote lile, inahitaji akili kubwa sana kuelewa mantiki, huo wimbo uko sawa na hauna kasoro yoyote, dancing and shaking, whining ipo enzi na enzi, I attended vipindi vya mziki na sanaa hata primary school, na kwa taarifa Yako Tanzania haijawahi kuwa uniform culture of whatsoever we are coming different ethnic cultural backgrounds, hata sensitivity ya kimaudhui haiko uniform.

Basata sio wajinga wa wakati kwa kila kitu,
 
Huo wimbo hauna tatizo lolote lile, inahitaji akili kubwa sana kuelewa mantiki, huo wimbo uko sawa na hauna kasoro yoyote, dancing and shaking, whining ipo enzi na enzi, I attended vipindi vya mziki na sanaa hata primary school, na kwa taarifa Yako Tanzania haijawahi kuwa uniform culture of whatsoever we are coming different ethnic cultural backgrounds, hata sensitivity ya kimaudhui haiko uniform.

Basata sio wajinga wa wakati kwa kila kitu,
Kuna nyimbo nyingi sana za kusikiliza na kuwaimbisha watoto ila sio hizi za Wasafi nyimbo zilizojawa na kila aina ya mapepo ya uchafu wa kingono.

Halafu tunashangaa kwann siku hizi umalaya, mimba za utotoni, kuingiliwa kinyume na maumbile, ubakaji, utomvu wa nidhamu, kukosa adabu, kushuka kwa uwezo wa kufaulu na takataka zingine kushamiri katika jamii chanzo ni nini.
 
Wee mtoa mada ndio kiazi kweli hebu nenda kausikilize ule wimbo Kwa makini alafu uludi hapa uendelee kuongea huo ujinga.

Et ''mpenzi akinuna namkatia miuno'' hiyo ndio tafsida Kwa akili yako.

Mistari kama mfano aimbe mtoto wko mbele ya mgeni wako inaleta picha gan.

Vijana wa hovyo wanaaza kutengenezewa hko chini, end the day tunazalisha vinzaz vya hovyo na mishoga humohumo.

Et mkenda kuchukua hatua mshamba duuu!
 
Wee mtoa mada ndio kiazi kweli hebu nenda kausikilize ule wimbo Kwa makini alafu uludi hapa uendelee kuongea huo ujinga.

Et ''mpenzi akinuna namkatia miuno'' hiyo ndio tafsida Kwa akili yako.

Mistari kama mfano aimbe mtoto wko mbele ya mgeni wako inaleta picha gan.

Vijana wa hovyo wanaaza kutengenezewa hko chini, end the day tunazalisha vinzaz vya hovyo na mishoga humohumo.

Et mkenda kuchukua hatua mshamba duuu!
Ndo hawa ilibidi wachukue hii ID yangu maana wanaongea poor kabisa 🤓
 
Wee mtoa mada ndio kiazi kweli hebu nenda kausikilize ule wimbo Kwa makini alafu uludi hapa uendelee kuongea huo ujinga.

Et ''mpenzi akinuna namkatia miuno'' hiyo ndio tafsida Kwa akili yako.

Mistari kama mfano aimbe mtoto wko mbele ya mgeni wako inaleta picha gan.

Vijana wa hovyo wanaaza kutengenezewa hko chini, end the day tunazalisha vinzaz vya hovyo na mishoga humohumo.

Et mkenda kuchukua hatua mshamba duuu!
Miuno shida nini acheni uzuzu nyie mnaoishi kizamani huyo hajielewi ni mshamba tu
 
Miuno shida nini acheni uzuzu nyie mnaoishi kizamani huyo hajielewi ni mshamba tu
Siyo kosa lako kijana huwenda ndyo manzingira uliyokuzwa.

maana Kuna jamii hpahpa Tz mama anavua Dela anaaza kukata mauno akiwa uchi mbele ya umati wakiwemo watoto Sasa kama umekuzwa kwenye hayo mazingira lazima utamwona wanziri mkenda ni mshamba.

So kimtazamo wako unaweza kuwa sahihi kutokana na manzingira uliyokuzwa na mkenda yupo sahihi kutokana na mazingira aliyokuzwa
 
Tuache kuhalalisha ujinga mkuu wewe hiyo nyimbo mutaruhusu mtoto wako aimbe nyumbani?

Ni wimbo wenye maadili?

Maneno ya "namkatia uno hani wangu".

Mnataka watoto wayaimbe hayo halafu baadaye mje mseme kizazi hiki kimeharibika?

Wengi mnasema et kama wimbo ulikuwa mbaya kwanini Basata wasifungie yaani kwahiyo Basata wakiruhusu mbaya wewe utaruhusu wanao wasikilize kwa sababu Basata wameruhusu?

Tukubaliane kuwa wimbo hauna maadili kwa watoto, na walimu tumewapa dhamana ya kusimamia maadili ya watoto wawapo shuleni wakiwa nje ya shule ni jukumu la wazazi.
Kwa hiyo unataka kusema wale wanafunzi walijifunza/waliufahamu huo wimbo shuleni, na siyo majumbani kwao! Wewe kweli ni Poor Brain.
 
Tuache kuhalalisha ujinga mkuu wewe hiyo nyimbo mutaruhusu mtoto wako aimbe nyumbani?

Ni wimbo wenye maadili?

Maneno ya "namkatia uno hani wangu".

Mnataka watoto wayaimbe hayo halafu baadaye mje mseme kizazi hiki kimeharibika?

Wengi mnasema et kama wimbo ulikuwa mbaya kwanini Basata wasifungie yaani kwahiyo Basata wakiruhusu mbaya wewe utaruhusu wanao wasikilize kwa sababu Basata wameruhusu?

Tukubaliane kuwa wimbo hauna maadili kwa watoto, na walimu tumewapa dhamana ya kusimamia maadili ya watoto wawapo shuleni wakiwa nje ya shule ni jukumu la wazazi.
The fact kuwa mwanao hataiimba nyumbani kwako haimaanishi kuwa haijui , kama maadili atakuwa hana japo wewe hutajua kama mwanao hana maadili.
Kama waziri kawawajibisha walimu iwe wake up call kwa basata na mamlaka zilizoruhusu wimbo huo uwe aired .
Adhabu ya walimu ilitakiwa iende sambamba na mamlaka zinazodhibiti ubora na maadili ya muziki
 
The fact kuwa mwanao hataiimba nyumbani kwako haimaanishi kuwa haijui , kama maadili atakuwa hana japo wewe hutajua kama mwanao hana maadili.
Kama waziri kawawajibisha walimu iwe wake up call kwa basata na mamlaka zilizoruhusu wimbo huo uwe aired .
Adhabu ya walimu ilitakiwa iende sambamba na mamlaka zinazodhibiti ubora na maadili ya muziki
Unatetea ujinga
 
Hata wapumbavu wanazeeka hii kauli nimeiamini.Mtu anatetea nyimbo za matusi .Mbaya zaidi ukute huyu mleta mada nae ni baba wa familia ...hiyo familia naionea huruma maana ina kiongozi kiazi mbatata
Familia nyingi mitoto yao ishaharibika

Ila kisu wamekushikilia basata

Wakae na hao wasanii wao,maana wasanii sahv bongo zao zimejaa ngono,na ushnz mwingine..
Alafu eti msani anajiita kioo cha jamii
Upuz mtupu

Ova
 
Back
Top Bottom