Sakata la Sugu na Blue: Nay wa Mitego amuomba Mr. Blue 'amuuzie kesi'

Kama unataka kuzungumzia muziki sawa ila ujinga wa siasa za UKAWA na CCM mimi uko sipo maana naona hii ishu wengi imewapeleka kwenye utumwa wa siasa.
Siasa ipi wakati kila kitu kipo wazi. Sugu hakuwahi kuwa na wimbo unaoitwa freedom katika maisha yake wala hiyo idea mpaka pale alipoitwa na Blue kushirikishwa ndio akachukua wimbo alioitwa kushiriki hivi kuna ugumu gani hapo kuona Sugu huo wimbo haujawai kuwa wake mpaka aipousikia na kuuiba!?

Sugu kaiba wimbo na kwenye original version kafunikwa mbaya.
 
Siasa ipi wakati kila kitu kipo wazi. Sugu hakuwahi kuwa na wimbo unaoitwa freedom katika maisha yake wala hiyo idea mpaka pale alipoitwa na Blue kushirikishwa ndio akachukua wimbo alioitwa kushiriki hivi kuna ugumu gani hapo kuona Sugu huo wimbo haujawai kuwa wake mpaka aipousikia na kuuiba!?

Sugu kaiba wimbo na kwenye original version kafunikwa mbaya.

Uyo Blue kaibiwa nini idea,mashairi,beat?kama Sugu kafunikwa kwenye original version shida iko wapi kwenu mwambieni Blue afanye official realese kuliko kulia kama watoto wa kambo.
"If u dont know me,just dont talk about me"-Sugu(Freedom) alafu nenda kasikilize maelezo ya wenye studio na beat yao kisha uniambie uyo Blue alikua anamiliki nini.
 
Filosofi ya Sugu tangu yupo kwenye game anasema piga hela ujiko utakuja wenyewe.... Nakumbuka waliwahi kumpambanisha Sugu na Dudu Baya kwenye "Nani Zaidi", kipindi hicho Radio One ndio ilikuwa redio ya town. Dudu Baya akashinda kwa kura nyingi. Wapambe wakapiga Sana kelele. Sugu alipoulizwa akajibu simple tu. Sifa bila hela haisaidii kitu.

kweli kabisa. Masifa kibao, sent 5 mfukoni huna, zinakusaidia nini. Ana point Sugu
 
Najikuta namuamini Mr blue. Hakuna cha natural justice hapa. Sugu hajamtendea haki kabisa huyo mdogoake
 
Gari la kuazimwa sio lako.. Blue karuhusiwa kuimba kwenye mdundo ukiwa na kiitikio na idea nzima ya wimbo, ILA HAKUMILIKISHWA WIMBO...

Haya ndio matatizo ya kupenda vya bure, unapewa lifti unataka kupiga na honi, sasa apewe recognition ya nini wakati idea ya wimbo, beat, na chorus si vyake???
 
Kama Sugu asingekua mwanamuziki wa tangu kitambo ningesema jamaa hajui kuimba ila kwa alivyoimba kiukweli kaimba vibaya...video ya kawaida sana...kwa kifupi jamaa nni old timer achane tu na muziki.....
 
Gari la kuazimwa sio lako.. Blue karuhusiwa kuimba kwenye mdundo ukiwa na kiitikio na idea nzima ya wimbo, ILA HAKUMILIKISHWA WIMBO...

Haya ndio matatizo ya kupenda vya bure, unapewa lifti unataka kupiga na honi, sasa apewe recognition ya nini wakati idea ya wimbo, beat, na chorus si vyake???

Kwa hiyo mtu akikupa lifti ndio aanze kukudhalilisha ukiwa garini kwake....akwambie uvue viatu usichafue...usiegemee kiti....usifunge mkanda.....aingize Gari sheli alafu akulazimishe ununue mafuta........Kuliko huo ushetani ni bora angekupita tu.
 
Kwani hawa wasanii hawana uwezo wa kutunga nyimbo nyingine?au kwakuwa imekuwa sugu,huyo sugu hiyo nyimbo imempa kiasi gani hadi waigombanie,waache uvivu wasitafute umaarufu wa rahisi wachape kazi waandike,marco chali na producer wa hiyo nyimbo wameshasema nyimbo sio ya blue sasa nini shida
 
Gari la kuazimwa sio lako.. Blue karuhusiwa kuimba kwenye mdundo ukiwa na kiitikio na idea nzima ya wimbo, ILA HAKUMILIKISHWA WIMBO...

Haya ndio matatizo ya kupenda vya bure, unapewa lifti unataka kupiga na honi, sasa apewe recognition ya nini wakati idea ya wimbo, beat, na chorus si vyake???

Unamaanisha Kesho sio wimbo wa Diamond maana alipewa bure hakulipia?
 
Tatzo Blue aliupotezea ule wimbo huku Sugu akimpigia na kumwambia mbona hana time na hyo ngoma haisukumi Blue akadai anamipango yke, na ngoma ilitoka kipindi kile cha uchaguzi nachohisi mm ni Blue aliona ataharibu mipango maana anaweza pata tenda za CCM alaf akaonekana Ukawa kutokana na kushirikiana na Sugu"
Kwaio akaona akaushe Sugu alichofanya ni poa 2 ngoma kali imesimama chupa ya maana mziki mzr..
Blue avunge tu kwanza alipewa nyimbo bure kwa heshima ye akachukulia easy 2
 
NA KAMA HILI SAKATA LIPO KWELI ,BASI KWA SUGU HIYO KIKI ATAIPATA MBONA TENA YA UKWEE...!
 
Imbombo Ngafu!! Hii ngoma bado mbichi.. Afe kipa, afe beki!

Leo kupitia 255 ya Clouds FM, Nay wa Mitego amenukuliwa akitoa yake ya moyoni kuhusiana na ngoma ya 'Freedom' inayogombaniwa kati ya Mr. Blue na 'Sugu' ambae ameshaifanyia video na kunyofoa vocals za Mr Blue.

Nay anasema;

''Blue angekuwa ni mshikaji wangu ningemshauri na yeye amtoe Sugu halafu kama inawezekana aniweke mimi kwenye chorus halafu tuharibu hali ya hewa tutajuana huko mbele ya safari, halafu kama ni hela ya kuifanyia Video ngoma hii mimi nitalipa hata kwa GodFather au Hanscana‘:- Nay wa Mitego.

Tuwepo!

Huyu ney anauweza mziki wa sugu..?
Level zake kina dimpo na dai labda!
 
sugu ni next level hawezi kuhangaika na utoto wa clouds fm na swags za bongomovie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom