Nafsi huru
Senior Member
- Sep 25, 2015
- 132
- 133
MJ Records wazungumzia ukweli kuhusu wimbo Freedom ulioleta mgogoro kati ya Sugu na Mr Blue – Bongo5.comSugu ni kibaka,
Swagga za kuibiana nyimbo ni za kizamani sana,
Nadhani angejiangalia upya.
MJ Records wazungumzia ukweli kuhusu wimbo Freedom ulioleta mgogoro kati ya Sugu na Mr Blue – Bongo5.comSugu ni kibaka,
Swagga za kuibiana nyimbo ni za kizamani sana,
Nadhani angejiangalia upya.
Siasa ipi wakati kila kitu kipo wazi. Sugu hakuwahi kuwa na wimbo unaoitwa freedom katika maisha yake wala hiyo idea mpaka pale alipoitwa na Blue kushirikishwa ndio akachukua wimbo alioitwa kushiriki hivi kuna ugumu gani hapo kuona Sugu huo wimbo haujawai kuwa wake mpaka aipousikia na kuuiba!?Kama unataka kuzungumzia muziki sawa ila ujinga wa siasa za UKAWA na CCM mimi uko sipo maana naona hii ishu wengi imewapeleka kwenye utumwa wa siasa.
Siasa ipi wakati kila kitu kipo wazi. Sugu hakuwahi kuwa na wimbo unaoitwa freedom katika maisha yake wala hiyo idea mpaka pale alipoitwa na Blue kushirikishwa ndio akachukua wimbo alioitwa kushiriki hivi kuna ugumu gani hapo kuona Sugu huo wimbo haujawai kuwa wake mpaka aipousikia na kuuiba!?
Sugu kaiba wimbo na kwenye original version kafunikwa mbaya.
Filosofi ya Sugu tangu yupo kwenye game anasema piga hela ujiko utakuja wenyewe.... Nakumbuka waliwahi kumpambanisha Sugu na Dudu Baya kwenye "Nani Zaidi", kipindi hicho Radio One ndio ilikuwa redio ya town. Dudu Baya akashinda kwa kura nyingi. Wapambe wakapiga Sana kelele. Sugu alipoulizwa akajibu simple tu. Sifa bila hela haisaidii kitu.
Alafu anajiita muwakilishi wa Wanainchi, huku anaonea Wanainchi.Najikuta namuamini Mr blue. Hakuna cha natural justice hapa. Sugu hajamtendea haki kabisa huyo mdogoake
Itakuwa video ya mwakaDuh...bonge la idea....Faiza ndio awe video queen.
Gari la kuazimwa sio lako.. Blue karuhusiwa kuimba kwenye mdundo ukiwa na kiitikio na idea nzima ya wimbo, ILA HAKUMILIKISHWA WIMBO...
Haya ndio matatizo ya kupenda vya bure, unapewa lifti unataka kupiga na honi, sasa apewe recognition ya nini wakati idea ya wimbo, beat, na chorus si vyake???
Ney tena..........Teh teh teh upele umepata mkunaji!
Gari la kuazimwa sio lako.. Blue karuhusiwa kuimba kwenye mdundo ukiwa na kiitikio na idea nzima ya wimbo, ILA HAKUMILIKISHWA WIMBO...
Haya ndio matatizo ya kupenda vya bure, unapewa lifti unataka kupiga na honi, sasa apewe recognition ya nini wakati idea ya wimbo, beat, na chorus si vyake???
hujui unachoongea nay atatoa wimbo mwezi ujao JIPANGEney ana matatizo,,,hana hit song kwa sasa naona anatafuta kick kwa nguvu
Imbombo Ngafu!! Hii ngoma bado mbichi.. Afe kipa, afe beki!
Leo kupitia 255 ya Clouds FM, Nay wa Mitego amenukuliwa akitoa yake ya moyoni kuhusiana na ngoma ya 'Freedom' inayogombaniwa kati ya Mr. Blue na 'Sugu' ambae ameshaifanyia video na kunyofoa vocals za Mr Blue.
Nay anasema;
''Blue angekuwa ni mshikaji wangu ningemshauri na yeye amtoe Sugu halafu kama inawezekana aniweke mimi kwenye chorus halafu tuharibu hali ya hewa tutajuana huko mbele ya safari, halafu kama ni hela ya kuifanyia Video ngoma hii mimi nitalipa hata kwa GodFather au Hanscana‘:- Nay wa Mitego.
Tuwepo!