Warrior
JF-Expert Member
- Oct 2, 2015
- 733
- 752
ashike adabu yake hata kuandika hajui*Kaka Mzuli= Kaka Mzuri,
*Unauakika= Una Uhakika,
*Projo= Porojo.
ashike adabu yake hata kuandika hajui*Kaka Mzuli= Kaka Mzuri,
*Unauakika= Una Uhakika,
*Projo= Porojo.
CHEZEA TEAM UKIWA! wamechanganyikiwa kweli... hapakazi kawachanganya kila kitu chao kichwa chini miguu juu!That's real gangster!
Sugu aache kuiba nyimbo za watu muziki wenyewe anamuimbia nani anatia aibu tu.
Haa haa haa mkuuuTeh teh teh! Watamkondesha Sugu kwa mawazo.
Matatizo anayopewa na mzazi mwenzake yanatosha.
Teh teh teh! Watamkondesha Sugu kwa mawazo.
Matatizo anayopewa na mzazi mwenzake yanatosha.
Sugu ni Jeshi la Mtu Mmoko wee Ndaza,kawaulize Wafu fm pamoja na Ruge wao.
Sasa Sugu kama yeye ni mtabe atunge nyimbo zake sio kuibia madogo. Aiitaji degree ata moja kuona ukweli kwamba Sugu kuchukua wimbo wa blue kila kitu kipo mitandaoni kuanzia original version mpaka iliyoibwa.. Hao mj records awajaanza kutoa nyimbo bure kwa blue sasa sijui nao watanyang'anya siku moja kisa awajalipia. Sugu kaishiwa aendelee kudanganya kwenye siasa huko muziki hauna uongo.Naona watoto wa jana na wacheza viduku wanapiga kelele sanaaa kwa kua hawamuelewi mhuni Sugu haaa haaaa hilo nunda ndio limewafanya wazazi wa blue and the like pamoja na hawa wabana pua wenu wakaruhusiwa kuimba leo vitoto vina cruize kweny vits vinajikuta navyo vikongwe,kama unaujua huu muziki hauwezi kuamini upuuzi wa Sugu aibe wimbo tena wa blue.
Sasa Sugu kama yeye ni mtabe atunge nyimbo zake sio kuibia madogo. Aiitaji degree ata moja kuona ukweli kwamba Sugu kuchukua wimbo wa blue kila kitu kipo mitandaoni kuanzia original version mpaka iliyoibwa.. Hao mj records awajaanza kutoa nyimbo bure kwa blue sasa sijui nao watanyang'anya siku moja kisa awajalipia. Sugu kaishiwa aendelee kudanganya kwenye siasa huko muziki hauna uongo.