Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,622
- 3,518
Inahuzunisha sana pale mmoja wa wachache waliodhaniwa wanajali wananchi anapoonyesha rangi zake za kweli, mwananchi wa kawaida ana wakati mgumu sana Tanzania....Halafu anachukizwa na kuzomewa,amezoea sifa sasa anapokosea anatarajia wazidi tu kumsifia. Dr Faustine tetea wananchi wako hadi kieleweke!