Siasa za dunia yetu ni ngumu sana wanasiasa huwa mara zote wanataka kupinda taratibu walizowaka hili waongoze.Museven anabadili mkatiba awe rais wa uganda tena na tena.Huyo Nape naye amezaliwa 26 november 1977.Hivi inabidi kuwa na degree ya hesabu kujua kuwa wakati wa uchaguzi ujao mwezi dec 2008 atakuwa amevuka umri uliowekwa kwa kanuni ya uvccm?yani mgombea awe na miaka chini ya 30.Hio ni dalili ya kuwa ata yeye Napeana kaugonjwa ka tamaa ya madaraka.
Mkuu heshima kwako!! nadhani nikushauri ufuatilie vizuri taratibu za uchujaji majina UVCCM na CCM kwenyewe ili tujadili vizuri swala hili,wanalodhani ndio kizingiti pekee cha kumfanya Nape asiwe mwenyekiti wa UVCCM (T).Isije mwisho wa safari mkaanza kukanyagana ka vile kapendelewa.Kwanza Nape inasemekana kazaliwa tarehe 07/11/1977 na sio 26/11/1977 ka usemavyo!! Pili nijuavyo umri unatazamwa pale anapochukua fomu na si uchaguzi unapofanyika so si hoja hiyo!!Bahati yenu tu kwamba mpaka sasa anaonekana kutoitaka nafasi hiyo,pamoja na mashinikizo mengi ya wapambe wake!!!