John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
Heshima Mbele wana Bodi,
Kwa tarifa ambazo nilizipa tangu last week na jana zilitoka katika Gazeti la MWanahalisi,ni kwamba yule Kijana Mtoto wa Rais ,Ndugu Ridhwani amekuwa akiendesha kampeni za kichini chini ili rafiki yake amabye anaitwa Benno Malisa achukue Uenyekiti wa UVCCM taifa,na vikao vya kampeni zao vimekuwa vikifanyika pale Rose Garden,
Suala la Benno ambaye ni Mjumbe wa NEC kupitia Vijana kugombea uenyekiti wa UVCCM sio jambo baya na ni jema kwa sababu ni haki ytake,ila tatizo hili la kuhusika na mtoto wa Rais Kugombea ndio linaanazx akuleta picha mbaya.Kwanini wameeza kampeni mapema sana,Je wanatoa wapi pesa za Kampeni??sababu Benoo ni mwajiliwa wa Chama cha Mapinduzi.Tukilfumbia mamcho sula hili ndio mambo ya kagoda yanapoanzia,
Naomba wanabodi kuanzia hivi sasa tuanze kufuatilia vikao vyao na kujua wapi wanatoa pesa na wametumwa na nani.
Pia naomba tuwajadili kwa kina wale wote ambao wameonesha nia ya kugombea uongozi wa Uenyekiti UVCCM,nimeanisha majina hapa sabbu nimepewa majina hayo ndio wanaojipanga kwuania uongozi huo
1.Benno Malisa
2.Jerry Slaa
3.Nape Mnauye
4.Zamaradi Kawawa
5.Mussa Mnyeti
haya wazee , naona Nnape ndio ashapewa kkiti kikubwa zaidi yake, je atakiweza?