Huu ndiyo mwisho wa kufikiria wa Kikwete na Pinda, kwamba watu wakiandamana kudai haki yao suluhisho ni mabomu ya machozi na risasi za polisi. Lakini na hao wananchi wana sababu gani ya kuwapora wenzao? Mgomvi wao ni serikali au wavuja jasho wenzao? Waandamanaji nao ni wendawazimu kama ndiyo hivyo!
hawa dawa yao ni kuwaletea vijana wa mwamnyange ndiyo watafungu njia kwani wa mwema wamechemka,hapa nina taarifa kijana mmoja wa said wamebonda na saä amelazwa hospitali ya wilaya
Nachelea risasi za moto kutumika maana waandamanaji hao sasa wanaelekea Kituo cha Polisi cha Wilaya..
Duh!nashindwa kutabiri Tanzania ya kesho itakuwaje!Mwalimu Nyerere alisema CCCCCCM ikiyumba na nchi iatayumba,yakitokea haya iondoeni CCCCCCM madarakani kabla hajaleta madhara zaidi!
Ndiyo hivyo yaani...
Kuna fujo zisizopimika huku..
mkuu, watu wa mtwara hawaeleweki kabisaa! Ukitaka ku-prove peleka tshirt za njano na kijani na cape za ccm, halafu kile kizee chenye mamvi kiende kuwatembelea wataacha maandamano na kucheza ngoma kukitumbuza kile kizee kwa shangwe isiyo na kifani!!!
Lkini kwa bahati mbaya CUF haijajiandaa kutumia vizuri hii fursa ya kisasa iliyopo!Kusini huku Chama tawala ni kama kimechokwa hivi.. Na huku CUF ndiyo yenye umaarufu zaidi..(LINDI NA MTWARA)..
Waache wakome kwa kukaliwa kohoni na magamba
Utaona uchaguzi ujao wanawachagua magamba kwa kishindo tena
Ngoja wateseke kidogo kisha tunaenda kuwapa ukombozi
Huko ni kwenda nje ya utaratibu; jana bungeni waziri mkuu katoa tamko, serikali ipo katika hatua za mwisho kulipa deni kwa wakulima; Ikumbukwe 80% thamani ya mazao walishalipwa bado 20% wakulima wawe makini wasije kutumiwa kisiasa na CUF
Tatizo ni soko la korosho kushikiliwa na kAgogo fulani
Hakuna haja ya kuwakejeli cha msingi hapa ni kutoa elimu ya uraia ya kutosha!ni imani yangu kuwa watabadilika tu!
Saa ya ukombozi imewadia.
Dalili ya mvua ni mawingu na mjinga akielevuka mjanja yuko mashakani.
Watanzania wa leo wameelevuka na watawala wasome alama za nyakati ukutani kama ilivokuwa kwa Roma empire na CCM .........
kama nakuelewa vizuri ni kuwa hayo mabomu na risasi zikipigwa waandamanaji wanasema "maajii" na kuendelea kusonga mbele, au hali ikoje?
CDM .... Mko wapi? Sauti zackika zikiwahitaji huko Kusini inakuaje mkae kimya? Peleka jembe Lema kule awasilimishe....
Eh hayo ni matokeo ya wao wenyewe kukumbatia magamba, acha wakione.