Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
mkuu mtu wa pwani.........
moja kati ya mahujaji ambao walishushwa juzi,leo alfajiri amenitumia sms kunambia tayarti kuwa wapo makka na yumo ndani ya basi kuelekea mADINA.
sijui kundi la pili litaondoka lini.
hapa kuna mchezo mchafu sana umechezwa,naamini JK akirudi hizo hasira zake sijui zitakuwaje.hii itampa speed kuvunja baraz alote la MAWAZIRI na kutuletea DAMU MPYA ZA VIJANA GRADUATES.
i guess hata zile BODI za serikali nazo hivi sasa mguu ndani mguu nje,naamini JK atatupa zawadi safi sana YA MWAKA MPYA mola akipenda.
hili igizo lmebeba mambo mengi na nnaamini kama tutakaa na kuyachambua tutaweza kupata picha vipi nchi yetu inavoendeshwa.
na rais anaweza kupata picha vipi anavyodanganywa na wajanja.
kazi sio ndogo kwa keli kunahitajika kulitumia vyema hili igizo ili tuweze kupata big picture