MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Tena kule Ukraine kulikuwa na baridi balaa. DSM unaweza kulala nje hakuna baridi, yaani derava na utingo wake wote wanarusha changa la macho kwa wabongo.
Dua,
Ndugu yangu umeongea sana point nzito!