Zitto ndio mwenye gazeti ni biashara yake na si Charity. anafanya biashara na analipwa kwa matangazo kama amekwama kibiashara aende benki kukopa sio kuja kupiga bakuli hapa.Heeee huyu jamaa vipi?
Zitto anawafanya mnaweweseka enhh? I can see!
mbona magazeti mengine yakipata mtihani wa kikazi wanalipa wenyewe.
basi na MBOWE tumchangie humu akalipe deni lake NSSF.