https://www.jamiiforums.com/imgres?...enTZ402&biw=1366&bih=576&tbm=isch&um=1&itbs=1HUO UTEPE NI CHADEMA JAMANI...ili ni tusi kwa CCM...Hongera Bakhresa....
aisee.
Mi ndo namuona leo, huwa hajionyeshi hata kidogo,
Pia ifike wakati serikali inapotaka kuingia mikataba na wawekezaji hasa wa nje wawaalike wafanyabiashara wa aina ya S.S.B in negotiations kuliko hawa maofisa wa serikali pekee ambao hata biashara ya kiosk hajawahi wala hawezi kuiendesha
Nadra sana kumuona Tajiri huyu.
Mi ndo namuona leo, huwa hajionyeshi hata kidogo,
Unamaanisha nini hapo kwenye bold mkuu?