Proffesor
JF-Expert Member
- Aug 13, 2014
- 2,136
- 2,873
Mkuu hiyo number 1 next year lazm niipige trip hiyo.. me huwa nasema utalii wa ndani sio lazm kwenda kuangalia wanyama Serengeti au Ngorongoro hata road trip ni utalii mzur mnooooHongera kutalii.
Siku nyingine jaribu route hizi
1. Dar - Lindi - Mtwara - Masasi - Songea - Mbinga hadi Nkata bay Nyasa ziwani, kisha rudu Dar kupitia Njombe - Iringa - Moro.
2. Dar - Moro - Iringa - Makambako - Mbeya - Tunduma - Sumbawanga hadi Katavi (Mpanda) Kisha rudi Dar kupitia Stalike - Majimoto - Muze - Mtowisa hadi utokee Mlowo ili uende Mbeya kisha Chunya - Makongolosi hadi Tabora ndio uende Dar kupitia Itigi - Manyoni - Dom - Moro.
Amini nakuambia, ukimaliza route hizo, utakuwa umejifunza mengi sana.
Tembea kwa saa kumi au kumi na moja kwa siku. Kisha pumzika kwenye mji, furahia maisha kisha siku ya pili uendelee. Usitembee usiku kwa safari za kitalii.