Are you sureUle usiku nilipitia Bambalaga Mkuu, ulikua offline
Fuel consumption ni the best. Nilijitahidi sana isipungue nusu tank. Nilijitahidi pia RPM isivuke 3-4 kwahio nilikua nakimbia kwa tahadhari hio.Kwa hiyo mkuu ulitembelea hiyo IST kwa safari yote, yaani kwenye barabara nzuri (lami) na mbovu (vumbi)?
Tupe uzoefu wako katika hilo la kutumia IST, kuanzia kwenye mafanikio, matatizo, changamoto, tahadhari, mbinu nk.
Maisha ni safari...
Maisha ni mafunzo...
Safari ni mafunzo....
Mafunzo ni safari.....
Maisha ni safari ya mafunzo....
Safari ya mafunzo ni maisha...
Mafunzo ni safari ya maisha...
SAFARI NI MAFUNZO YA MAISHA.
usirudie kufanya makosa haya kama hujasoma PGOI don't think
Hii niliwahi kwenda, natamani sana Ile ya Mbeya-Itigi....1. Dar - Lindi - Mtwara - Masasi - Songea - Mbinga hadi Nkata bay Nyasa ziwani, kisha rudu Dar kupitia Njombe - Iringa - Moro.
Dah, usisahau kufika msimbati kuna bonge la beach hatari, ukitaka kusafisha macho nenda shuttazTanzania ni kubwa jamani..unaweza kuta kuna mtu kazaliwa sehemu kasoma shule za kata hapo hapo na kama alipo kuna chuo pia kasoma hapo hapo mtu kama huyo hana exposure yoyoye..View attachment 2050140
Niko Mtwara mikindani nabarizi kidogo..wa pande hizi mje basi.
Mpwa Nisamehe, kesho nitakua na safari ya Dar to Dodoma then nitageuza Dodoma-Tanga. Naahidi kukutafuta kesho au keshokutwa asubuhi. Tutaenda kugonga breakfast pale Mwambao Restaurant kwa Wale Wapembausirudie kufanya makosa haya kama hujasoma POG
Fanya hivyo maana nina hasira hapa balaa unaachaje kuja WASWANU kula makange ya samaki?Mpwa Nisamehe, kesho nitakua na safari ya Dar to Dodoma then nitageuza Dodoma-Tanga. Naahidi kukutafuta kesho au keshokutwa asubuhi. Tutaenda kugonga breakfast pale Mwambao Restaurant kwa Wale Wapemba
Hongera sana. Nami pia nilikuwa likizo, almost njia hiyo hiyo, ingawa mimi nilipitia mbeya, Rukwa, Katavi, kuingilia uvinza.Habari za wakati huu, nimeona niwashirikishe kidogo Wazee wenzangu wa Road trip haka kamsafara kangu kadogo.
Nilipanga kuwa mwaka huu nizunguke kwa gari baadhi ya mikoa, LENGO ikiwa ni kupunzisha ubongo tu na kujionea huko kwingine...LENGO ilikua nianzie Dar-Lindi-Songea-Njombe- Mbeya-Rukwa-Katavi-Kigoma-Bukoba-Mwanza-Mara-Simiyu-Shinyanga-Singida-Dodoma-Moro-Dar ila baada ya kuwaza sana nikaona kwa mwaka huu nijaribu route fupi kidogo.
Safari yangu ilianza tarehe 5/12/2021 kutoka Dar mchana kwenda Njombe, niliondoka Dar saa kumi jioni, nikapumzike Moro kidogo then nikapumzika Mafinga Kisha nikamalizia safari Hadi Njombe, nikifika muda wa saa tisa usiku, nikaenda giraffe pale nikamalizia usiku hapo.
Siku iliyofuata nikatembea hapa na pale kidogo ila kesho yake Ikawa nataka kwenda Kitulo kupitia Makete nikalale Kitulo Kisha nidondokee Mbeya, kwa bahati mbaya sana baada ya kufika Makete almost two or three kilometers kutoka Makete nikapotea njia... nilikuta junction sasa baada ya kwenda kulia nikapita kushoto. Nikatembea mwendo mrefu tu huku Barabara ikiwa mbaya, ikafika mahali mlimani na msituni nikakwama, nikaamua kurudi, ndio nikauliza wenyeji wakasema nimepotea sana. Nikaghadhibika nikarudi Njombe Mjini. Siku Ikawa imeisha.
Siku iliyofuata mchana nikaamua kuondoka Njombe, kuanza safari ya Kigoma. Saa nane mchana baada ya kupata lunch pale Glory Hotel nikaondoka taratibu sana.
Nikafika Dodoma usiku wa saa Tano, nikaamua nisogee Hadi Manyoni. Nikapumzika Manyoni pale Pretoria Hadi saa Moja asubuhi nikaondoka zangu.
Saa nne nikafika Tabora, nikapumzika one hour nikapata supu. Muda wa saa Tano nikaondoka sasa kuitafuta Kigoma, Barabara ilikua mbaya baadhi ya maeneo, kuna maeneo kuna lami na kwingine hakuna lami Hadi uvinza. Nikafika Uvinza saa 11 jioni.
Nikatembea sasa kwenye lami Hadi Kigoma, Nikalala Mwitongo Hotel, asubuhi nikazunguka mjini nikaenda kuonana na wadau wangu siku Ikawa imeisha.
Asubuhi nikaondoka kwenda Kasulu, nikafika Kasulu nikatafuta kifungua kinywa nikaendelea na safari, kuanzia Kasulu Hadi Kibondo mjini ni rough road Moja matata sana, lami Iko Pale mjini tu, nikaonana na Wadau wangu hio ni saa tisa mchana sasa nimeshapunzika. Jamaa wakanishauri nisiondoke, tukabadilishana mawazo pale na networking.....
Asubuhi nikaondoka kutoka Kibondo na penyewe ni rough road ya maana tu sema Kuna Ujenzi inaendelea kwa MKOPO kutoka AfDB. Lami nikaikuta Kakonko sasa, nikasimama nikapiga picha kuagana na rough road.
Nikatembea Hadi Nyakanazi, Runzewe, Masumbwe to Kahama. Kahama nikapumzika kidogo maeneo ya kule kwenye maegesho ya serikali, Kahama Pana starehe aiseeee.
Nikatembea zangu saa tisa mchana Shelui, nikapata Company nikajivuta Hadi Singida. Nikalala sikutaka kuendelea na ligi na yule kijana, alinikuta kule mizani namwaga Maji kidogo, akasimama tukaagana nikamwambia sitaweza kuendelea na safari.
Asubuhi nikaanza safari Hadi Dodoma nikapumzika, mchana nikaanza safari Tena Hadi nafika Dar ilikua saa sita usiku.
Hivi ndivyo nilivyoitumia Likizo yangu ya December 2021 kwa kutembelea maeneo hayo kujenga network na kubadilisha mazingira kidogo.
View attachment 2050099
View attachment 2050102
View attachment 2050103
View attachment 2050106
View attachment 2050107
View attachment 2050109
View attachment 2050110
View attachment 2050112
View attachment 2050113
View attachment 2050114
View attachment 2050115
View attachment 2050116
View attachment 2050118
View attachment 2050121
Hii kesi imeisha Mpwa, niombee nifike salama!
Kote huko nimepita Wakandarasi wako kazini, wale wa Kasulu-Kibondo-kakonko na Buhigwe hawatachelewa maana ni mkopo kutoka AfDBHongera sana. Nami pia nilikuwa likizo, almost njia hiyo hiyo, ingawa mimi nilipitia mbeya, Rukwa, Katavi, kuingilia uvinza.
Niseme ukweli, Mkoa wa Kigoma umesahauliwa sana, na hasa kwenye Miundombinu! Kile kipande cha Kaliua-Nguruka na Malagarasi-Uvinza kina zaidi ya miaka 5 kiko vile vile,
Kiukweli kabisa inauma mnoo, kwakuwa haikupaswa mpaka muda huu kiwe vile, sababu imekuwa muda sana na kiasi kwamba mtu unajiuliza je, Sirikali ina agenda ya siri juu ya watu wa Kigoma juu ya maendelo yao??
Lakin pia wakati narudi nilipitia njia ulosema kwa maana ya kasulu-Nyakanazi! hali ya barabara inatisha mnoo!
Serikali iwakumbuke wakazi hawa, maana nadhan umebaki mkoa pekee ambao haujaunganishwa kwa lami hapa Tanganyika.
Nimependa Tripu,Mimi ni mdau wa Road Trip,Naona IST imefanya KAZI nzuri hadi inaona RAHA.Hongera.Habari za wakati huu, nimeona niwashirikishe kidogo Wazee wenzangu wa Road trip haka kamsafara kangu kadogo.
Nilipanga kuwa mwaka huu nizunguke kwa gari baadhi ya mikoa, LENGO ikiwa ni kupunzisha ubongo tu na kujionea huko kwingine...LENGO ilikua nianzie Dar-Lindi-Songea-Njombe- Mbeya-Rukwa-Katavi-Kigoma-Bukoba-Mwanza-Mara-Simiyu-Shinyanga-Singida-Dodoma-Moro-Dar ila baada ya kuwaza sana nikaona kwa mwaka huu nijaribu route fupi kidogo.
Safari yangu ilianza tarehe 5/12/2021 kutoka Dar mchana kwenda Njombe, niliondoka Dar saa kumi jioni, nikapumzike Moro kidogo then nikapumzika Mafinga Kisha nikamalizia safari Hadi Njombe, nikifika muda wa saa tisa usiku, nikaenda giraffe pale nikamalizia usiku hapo.
Siku iliyofuata nikatembea hapa na pale kidogo ila kesho yake Ikawa nataka kwenda Kitulo kupitia Makete nikalale Kitulo Kisha nidondokee Mbeya, kwa bahati mbaya sana baada ya kufika Makete almost two or three kilometers kutoka Makete nikapotea njia... nilikuta junction sasa baada ya kwenda kulia nikapita kushoto. Nikatembea mwendo mrefu tu huku Barabara ikiwa mbaya, ikafika mahali mlimani na msituni nikakwama, nikaamua kurudi, ndio nikauliza wenyeji wakasema nimepotea sana. Nikaghadhibika nikarudi Njombe Mjini. Siku Ikawa imeisha.
Siku iliyofuata mchana nikaamua kuondoka Njombe, kuanza safari ya Kigoma. Saa nane mchana baada ya kupata lunch pale Glory Hotel nikaondoka taratibu sana.
Nikafika Dodoma usiku wa saa Tano, nikaamua nisogee Hadi Manyoni. Nikapumzika Manyoni pale Pretoria Hadi saa Moja asubuhi nikaondoka zangu.
Saa nne nikafika Tabora, nikapumzika one hour nikapata supu. Muda wa saa Tano nikaondoka sasa kuitafuta Kigoma, Barabara ilikua mbaya baadhi ya maeneo, kuna maeneo kuna lami na kwingine hakuna lami Hadi uvinza. Nikafika Uvinza saa 11 jioni.
Nikatembea sasa kwenye lami Hadi Kigoma, Nikalala Mwitongo Hotel, asubuhi nikazunguka mjini nikaenda kuonana na wadau wangu siku Ikawa imeisha.
Asubuhi nikaondoka kwenda Kasulu, nikafika Kasulu nikatafuta kifungua kinywa nikaendelea na safari, kuanzia Kasulu Hadi Kibondo mjini ni rough road Moja matata sana, lami Iko Pale mjini tu, nikaonana na Wadau wangu hio ni saa tisa mchana sasa nimeshapunzika. Jamaa wakanishauri nisiondoke, tukabadilishana mawazo pale na networking.....
Asubuhi nikaondoka kutoka Kibondo na penyewe ni rough road ya maana tu sema Kuna Ujenzi inaendelea kwa MKOPO kutoka AfDB. Lami nikaikuta Kakonko sasa, nikasimama nikapiga picha kuagana na rough road.
Nikatembea Hadi Nyakanazi, Runzewe, Masumbwe to Kahama. Kahama nikapumzika kidogo maeneo ya kule kwenye maegesho ya serikali, Kahama Pana starehe aiseeee.
Nikatembea zangu saa tisa mchana Shelui, nikapata Company nikajivuta Hadi Singida. Nikalala sikutaka kuendelea na ligi na yule kijana, alinikuta kule mizani namwaga Maji kidogo, akasimama tukaagana nikamwambia sitaweza kuendelea na safari.
Asubuhi nikaanza safari Hadi Dodoma nikapumzika, mchana nikaanza safari Tena Hadi nafika Dar ilikua saa sita usiku.
Hivi ndivyo nilivyoitumia Likizo yangu ya December 2021 kwa kutembelea maeneo hayo kujenga network na kubadilisha mazingira kidogo.
View attachment 2050099
View attachment 2050102
View attachment 2050103
View attachment 2050106
View attachment 2050107
View attachment 2050109
View attachment 2050110
View attachment 2050112
View attachment 2050113
View attachment 2050114
View attachment 2050115
View attachment 2050116
View attachment 2050118
View attachment 2050121
Kipande cha Malagarasi-Uvinza hakina mkandarasiKote huko nimepita Wakandarasi wako kazini, wale wa Kasulu-Kibondo-kakonko na Buhigwe hawatachelewa maana ni mkopo kutoka AfDB