TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,898
- 11,292
Matatizo gani?
ushaonyeshwa mkia wa mbwa bado unauliza tundu liko wapi aisee??
Matatizo gani?
kuwa rafiki ktk jamii unapoulizwa kutoa ufafanuzi sioni tatizo la kukwepa.ushaonyeshwa mkia wa mbwa bado unauliza tundu liko wapi aisee??
kuwa rafiki ktk jamii unapoulizwa kutoa ufafanuzi sioni tatizo la kukwepa.
Mkuu wale wa kusini ni rookies hata wale wa karibu na Uganda hawawafikii hawa wairaque...Ni kama wa kule kusini??
Kumbe hao ni balaa....Mkuu wale wa kusini ni rookies hata wale wa karibu na Uganda hawawafikii hawa wairaque...
He he he he Aidomaaaaa
Kazana kazana mkuuu...ila uwe na moyo kuoa hilo kabila mi naishi kwao huku nawafahamu bana..
Kwao hapana kataa toa ile kitu Yao..Kazi kwako
Aidori ama bar geer Dena Amsi!!!
Mmmhhh FB wewe mtundu sana aisee
Ni hulka ya mtu siyo kabila, so usiendeshwe na eventsSikukatishi tamaa ila nasikia hilo kabila huwa hawajui kusema no...
Kazi kwako...