Hivi Sabodo anafanya biashara gani?
CHADEMA kuweni makini na michango kama hii japokuwa najua CHADEMA ni chama cha wafanyabiashara lakini michango ya namna hii mwisho wake ni kitanzi kwa chama. Kumbukeni michango kama hii ilianza taratibu kwa CCM na kisha wachangiaji wakaingia kwa nguvu na sasa ni mkakati wa kuvuana gamba!
Mustafa Jaffer Sabodo alizaliwa katika mkoa wa Lindi, Tanzania kwa Waislamu wahamiajiGujarati India wa dhehebu Khoja. Yeye ni mchumi, consultant katika madeni ya fedha za kimataifa, philanthropist na mfanyabiashara.Yeye ana maslahi ya biashara nchini India, Ufaransa, Kenya, Sudanna Zimbabwe.
Katika mwaka wa 2003, kutolewa kwa fedha ya kuongezeka kwapapo kwa ajili ya mauzo kwa tune ya shilingi milioni 100.
Mwalimu Nyerere Foundation National Lottery ilikuwa brainchild ya Sabodo, ambapo alichangia Shilingi milioni 800 kwa ajili ya mradi huo wa bahati na sibu kuwa Imara
Ni kada wa CCM na Mfandili wa Chama Hicho.
Mwaka 2009-2010 alikichangia CHADEMA zaidi ya Milion 200 kwa awamu tofauti
Chadema achaneni na misaada ya hawa wafanyabiashara, yatawakuta kama ya ccm.
Hizi pesa zunaenda kwa wananchi moja kwa moja na sio za matumizi binafsi Kama wafanyavyo viongozi wa ccm.
jambo zuri kabisa ila nivema yakaangaliwa maeneo mengine yenye matatizo zaidi kuliko kuangalia chama. Kwani maeneo ya wabunge wa Cdm kama kilimanjaro moshi hayana matatizo
Ndie huyu mwenye kutetea Watanzania wenye asili ya Kiasia wa NHC au mwingine?,hakika mbele ya safari CDM mkiendelea na tabia ya kupokea Pesa za aina hiii,zile sifa zenu zote kama CHAMA MAKINI zitapotea huko mbele ya safari na ndio itakuwa mwanzo wa kununuliwa kusimamia haki.Tafuteni vyanzo vya umma kukusanya pesa ya kuendeshea chama ili mje kupata dhamana ya kukabidhiwa Nchi.
Watoa pesa nyingi kiasi hicho jueni zitaitajika kulipwa,mtaziludishaje hizo pesa,kwaa njia hipi,au ndio muwape nafasi wapinzain wenu kuwa mtalazimisha kwenda ikulu ili mlipe pesa za matajiri wa kiasia walio ingiza [Inject] kwenye chama chenu.Ninategemea chadema kuwa chama chenye mvuto na style ya aina yake na sio kucopy na kupaste namna ya kujitengenezea pesa.Chama kizuri ni kile chenye watu waliozamilia [Commited] na kujituma kwa hiali na moyo kufanya kazi ya kutumika chama kwa moyo wa hiali na sio kwa kununua mbinu za kuwapata wananchi wa kukiunga mkono chama.
Kwa kusudio kuwa Taifa linaitaji vyama viwili makini vya kupambanishwa katika kufukuzia nafasi ya kupewa madaraka ya kuchukua nafasi ya Urais na kutawala Taifa hili,basi CDM kama wao pia wako katika list hiyo basi hawana budi kujiandaa namna ya kumilki chama chenye mkakati wa kisayansi na sio chenye kucopy na kupaste hivyo kwa watu makini hakuna tofauti na kwingine hivyo basi wataona ni bora na kuendelea na chama kilichoko madarakani kulikoni kuwa na chama ambacho hakina tofauti na hawajui uwezo wake kama kweli kinaweza.Hivyo wataona ni heri ya nusu shari kuliko shari kamili au heri ya zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Kama chadema ni makini Watch Out.
Ndie huyu mwenye kutetea Watanzania wenye asili ya Kiasia wa NHC au mwingine?,hakika mbele ya safari CDM mkiendelea na tabia ya kupokea Pesa za aina hiii,zile sifa zenu zote kama CHAMA MAKINI zitapotea huko mbele ya safari na ndio itakuwa mwanzo wa kununuliwa kusimamia haki.Tafuteni vyanzo vya umma kukusanya pesa ya kuendeshea chama ili mje kupata dhamana ya kukabidhiwa Nchi.
Watoa pesa nyingi kiasi hicho jueni zitaitajika kulipwa,mtaziludishaje hizo pesa,kwaa njia hipi,au ndio muwape nafasi wapinzain wenu kuwa mtalazimisha kwenda ikulu ili mlipe pesa za matajiri wa kiasia walio ingiza [Inject] kwenye chama chenu.Ninategemea chadema kuwa chama chenye mvuto na style ya aina yake na sio kucopy na kupaste namna ya kujitengenezea pesa.Chama kizuri ni kile chenye watu waliozamilia [Commited] na kujituma kwa hiali na moyo kufanya kazi ya kutumika chama kwa moyo wa hiali na sio kwa kununua mbinu za kuwapata wananchi wa kukiunga mkono chama.
Kwa kusudio kuwa Taifa linaitaji vyama viwili makini vya kupambanishwa katika kufukuzia nafasi ya kupewa madaraka ya kuchukua nafasi ya Urais na kutawala Taifa hili,basi CDM kama wao pia wako katika list hiyo basi hawana budi kujiandaa namna ya kumilki chama chenye mkakati wa kisayansi na sio chenye kucopy na kupaste hivyo kwa watu makini hakuna tofauti na kwingine hivyo basi wataona ni bora na kuendelea na chama kilichoko madarakani kulikoni kuwa na chama ambacho hakina tofauti na hawajui uwezo wake kama kweli kinaweza.Hivyo wataona ni heri ya nusu shari kuliko shari kamili au heri ya zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Kama chadema ni makini Watch Out.
Sabodo amethubutu na anaendelea kuthubutu!
Naona serikali imeshindwa kumfix kama wafanyabiashara wengine wanavyowafix
Keep it up sabodo