Katiba Mpya ndiyo kaburi la CCM................................akilikwepa atakumbana na maandamano yasiyo na kikomo..........................Mtaongea sana mwaka huu hadi 2015 tuwapige chini tena...lol
Huu siyo upole wa JK kama Sabodo anavyodai bali JK ameukumbatia ufisadi ....sote tukilitambua hilo safari imeanza ya kuuthibiti ufisadi....
Sabodo ni mzalendo halisi wa Tanzania, amechangia ukuaje wa demokrasia kwa kusapoti upinzani wakati wa uchaguzi, pia anatoa mchango mzuri wa mawazo kuhusu utendaji mbovu wa JK. Tumuenzi kwa kuendeleza mapambano dhidi ya JK na kundi lake wanaofuja mali za taifa.. heko sabodo utaingia kwenye vitabu vya historia ya Tanganyika, ahsante