Hukumu ya wauaji wa CDM ni wao pia kuuwawa, kwani CDM wameishafanya mauaji mengi sana , sasa uvumilivu basiiii
Mkutano umeandaliwa na Chadema laikini wasikilizaji ni wananchi wote. CUF,CCM,TLP,NCCR Na wasio na vyama lazima waende kwenye mkutano wa chama chochote kinachotaka kutwaa madaraka. hivyo siyo sahihi kuhoji CCM wamefuata nini kwenye mkutano wa CHADEMA. ingekuwa chadema wanajihutubia wenyewe tu then hakuna haja hata ya kuzunguka kufanya mikutano. maana lengo mojawapo la mikutano ya siasa ni kushawishi watu wa vyama vingine na wasio na vyama waunge mkono chama husika katika kusaka madaraka. so wanapopata wasikilizaji wengi toka vyama vingine ndiyo mafanikio ya mkutano.
Umeona hukumu ya viongozi wa CHADEMA tu,Wahusika wa EPA,KAGODA,RICHMONDULI,TWIGA,MEREMETA,RADA NA DEEP GREEN waendelee kuwaibia watanzania dhaifu mkubwa weweHukumu ya wauaji wa CDM ni wao pia kuuwawa, kwani CDM wameishafanya mauaji mengi sana , sasa uvumilivu basiiii
Mkuu mimi najaribu kuwa fair kwa nafsi yangu katika mambo yote humu JF, na si mnazi bila kuyapima mambo.
Suala la Ndago huko Singida pamoja na utata wa mazingira yake , ni la kulaaniwa na Mtanzania yeyote kutokana na mauaji ambayo sasa yanaonekan dhahiri kuwa ya kisiasa.
Kitu cha kunote hapa ni kuwa kuna vijana(wa UVCCM inavyoonekana, sina uhakika) walikodiwa kuelekea uwanja wa mkutano wa CHADEMA kwa nia ya kufanya fujo.
Hili si suala la kistaarabu katika miaka hii ya vyama vingi.
Na bado tutabaki tukijiuliza kuwa wauaji haswa walikuwa nani, ni wale waliowapeleka hao vijana wakdhurike? au wale waliowadhuru kwa kuwaua?
Polisi wachunguze na wote watiwe hatiani kwa mauaji.
Mmeua badala ya kutubu kwa muumba wenu mnaendesha kampeni ya umbeya. Damu ya Ndago haitafutika kwa kuongeza dhambi.
Aliyeuawa kajiua kwa kukusudia kwani nini hasa kilimpeleka kwenye mkutano wa CHADEMA na isitoshe wao pia walikuwa na dhumuni la kutoa uhai wa viongozi wa CHADEMA waliokuwepo hasa MH. Mnyika.Mmeua badala ya kutubu kwa muumba wenu mnaendesha kampeni ya umbeya. Damu ya Ndago haitafutika kwa kuongeza dhambi.
kiufupi wafuasi wa chadema wakiongozwa na mnyika wameuwa na kujeruhi.tuilaani tabia hii mbaya.
ok, kumbe ndio maana viongozi wa cdm mliamuru kuua na washabiki wenu wakatekeleza hvy kwa ushahidi wako2 ninyi cdm ndy wauwaji.
u