Taarifa hii inatia shaka hasa pale unaposema ulikuwepo mgodini. Huu mgodi uko mbali sana na Misigiri......wewe ulijuaje kama gari ilisismama Misigiri na hao vijana kunywa konyagi? inawezekana wewe ni mmoja wa wale walioshiriki tukio hili maana ni vigumu kwa mtu aliye kilometa karibu 40 kujua details za safari hiyo.. Wewe lazima ni mmoja wa waleAsubuhi naamka na kwenda kazini na kukuta Hiace inayomilikiwa na mtu anayeitwa California ikiwa imepaki.
Mara naona vijana wanaofanya kazi katika shimo la dhahabu la mtu aitwaye Omary wakielekea kwenye Hiace hiyo na kupanda.
Niliposogea, niliona vijana hao wakiwa wanavuta Bangi huku wakiwa wamewasha udi.
Mara gari liliondoka na lilipofika Misigiri likapaki kwenye Bar/Grocery moja iitwayo Manka. Hapa vijana walianza kunywa pombe aina ya Konyagi. Na baada ya muda gari liliondoka na kuelekea Ndago.
Punde nitawaletea picha za gari, eneo lao la kazi, vijana na Bar waliyokuwa wanakunywa Konyagi.
Source: nilikuwepo eneo la mgodini.
Asubuhi naamka na kwenda kazini na kukuta Hiace inayomilikiwa na mtu anayeitwa California ikiwa imepaki.
Mara naona vijana wanaofanya kazi katika shimo la dhahabu la mtu aitwaye Omary wakielekea kwenye Hiace hiyo na kupanda.
Niliposogea, niliona vijana hao wakiwa wanavuta Bangi huku wakiwa wamewasha udi.
Mara gari liliondoka na lilipofika Misigiri likapaki kwenye Bar/Grocery moja iitwayo Manka. Hapa vijana walianza kunywa pombe aina ya Konyagi. Na baada ya muda gari liliondoka na kuelekea Ndago.
MAHUSIANO YA WACHIMBAJI HAO NA MH. MWIGULU.
Itakumbukwa kuwa eneo la Mgodi wa Mgongo/Sekenke lilikuwa na mgogoro kati ya wachimbaji hao na mtu mmoja anayeitwa John Binna. Huu mgogoro ulirushwa kwenye Media mbalimbali ikiwemo TBC kama mtakumbuka.
Mgogoro huu uliingiliwa Mh. Mwigulu na kuamuru Mgodi hao wa dhahabu uchimbwe na WAPIGA KURA WAKE.
Hivyo hata leo Mh. Mwigulu akija na kuwaambia twendeni Ndago mkafanye fujo, sidhani kama wachimbaji watakataa.
Punde nitawaletea picha za gari, eneo lao la kazi, vijana na Bar waliyokuwa wanakunywa Konyagi.
Source: nilikuwepo eneo la mgodini.
Mhhh! itakuwa ngumu kuwaaminisha akina Burn Karudi, Ritz, masopakyindi, Tume ya Katiba, MAFILILI, Mwigulu LM Nchemba.
hebu iweke hii taarifa yako kama ushahidi
Mhhh! itakuwa ngumu kuwaaminisha akina Burn Karudi, Ritz, masopakyindi, Tume ya Katiba, MAFILILI, Mwigulu LM Nchemba.
hebu iweke hii taarifa yako kama ushahidi
tunasubiri picha mkuu!Asubuhi naamka na kwenda kazini na kukuta Hiace inayomilikiwa na mtu anayeitwa California ikiwa imepaki.
Mara naona vijana wanaofanya kazi katika shimo la dhahabu la mtu aitwaye Omary wakielekea kwenye Hiace hiyo na kupanda.
Niliposogea, niliona vijana hao wakiwa wanavuta Bangi huku wakiwa wamewasha udi.
Mara gari liliondoka na lilipofika Misigiri likapaki kwenye Bar/Grocery moja iitwayo Manka. Hapa vijana walianza kunywa pombe aina ya Konyagi. Na baada ya muda gari liliondoka na kuelekea Ndago.
MAHUSIANO YA WACHIMBAJI HAO NA MH. MWIGULU.
Itakumbukwa kuwa eneo la Mgodi wa Mgongo/Sekenke lilikuwa na mgogoro kati ya wachimbaji hao na mtu mmoja anayeitwa John Binna. Huu mgogoro ulirushwa kwenye Media mbalimbali ikiwemo TBC kama mtakumbuka.
Mgogoro huu uliingiliwa Mh. Mwigulu na kuamuru Mgodi hao wa dhahabu uchimbwe na WAPIGA KURA WAKE.
Hivyo hata leo Mh. Mwigulu akija na kuwaambia twendeni Ndago mkafanye fujo, sidhani kama wachimbaji watakataa.
Punde nitawaletea picha za gari, eneo lao la kazi, vijana na Bar waliyokuwa wanakunywa Konyagi.
Source: nilikuwepo eneo la mgodini.
Mkutano umeandaliwa na Chadema laikini wasikilizaji ni wananchi wote. CUF,CCM,TLP,NCCR Na wasio na vyama lazima waende kwenye mkutano wa chama chochote kinachotaka kutwaa madaraka. hivyo siyo sahihi kuhoji CCM wamefuata nini kwenye mkutano wa CHADEMA. ingekuwa chadema wanajihutubia wenyewe tu then hakuna haja hata ya kuzunguka kufanya mikutano. maana lengo mojawapo la mikutano ya siasa ni kushawishi watu wa vyama vingine na wasio na vyama waunge mkono chama husika katika kusaka madaraka. so wanapopata wasikilizaji wengi toka vyama vingine ndiyo mafanikio ya mkutano.
How come Chadema ilete fujo kwenye mkutano wao wenyewe?