Sababu za mke kumdharau Mume nyumbani

i am a man and married to a cutie. Naweza kudhibitisha pasipo shaka yeyote kuwa mambo matatu ni muhimu sana kwa mwanamke 1. Pesa 2. Mawasiliano 3. Sex (tendo)

maelezo mafupi ni kama ifuatavyo

1. Pesa: Simshauri mtu aoe tu kwa sababu kapenda. Hajui mkewe atapata wapi mahitaji muhimu. Ukiamua kufanya hivi, omba uwe umeoa malaika. Kama ni mwanamke wa kawaida vishawishi vitamshinda tu na atagawa kwa ma pedeshee!

2. mawasiliano: Wale wanao "telekeza" familia zao bila kupiga simu kwa mkewe kwa muda mrefu wanajenga ukuta fulani ambao unakuwa rahisi kwa mwana mke yeyote kugawa kwa mtaa wa pili.

3. Sex: Hapa hakuna ubishi. Kama huja jaliwa ku fwanya mambozz yakaeleweka jiandae kulea watoto wa jirani.

alamsiki!


hiyo ni tabia yake mkuu wala hasisingizie hakupigiwa simu muda mrefu kwanini yeye asipige?
 
matendo ya baadhi ya akina baba ni matokeo tu ya hayo uliyotangulia kutaja................. so kuyaweka kando hutapata sababu husika kwa usahihi...........

siku hizi akina mama wamegeusa nyumbani kuwa mahali pa ligi, yaani mashindano na kujitetea kila siku...... wanamini wasipofanya hiyo watatwaliwa na hawataki tena ktawaliwa au kuonozwa na mwanaume.......... ndoa zimekuwa ubia wa kushindania interest kila siku............ mfano mara sijafika kilele cha mawezi, umeniacha kibo tu..... mara mbona umefika mawezi mara ngapi sijui, mimi ndio unataa nipande mara moja tu............ kweli kuna wakati unakuta kero inaazia old traford na mtu anaanza kukereka kuanzi huko na huku nje zinazoshuhudiwa ni matokeo tu ya zile kero zilizochimbiwa ndani............. tuepuke mashindano.............

tukiacha mashindan na kuvunja hizo ligi, tutapata amani.................
Ligi, ligi, ligi!!!!

sawa kabisa, na sio za Old Trafford tu, hata kwenye mambo mengine...........kila mtu anataka yeye ndo awe juu!! hakuna anayeweza kuwa kwenye ground state.
unashindwa kujua baba ni nani, na mama ni nani......wote wanaume ndani.
 
I am a man and married to a cutie. Naweza kudhibitisha pasipo shaka yeyote kuwa mambo matatu ni muhimu sana kwa mwanamke 1. Pesa 2. Mawasiliano 3. Sex (tendo)





2. Mawasiliano: wale wanao "telekeza" familia zao bila kupiga simu kwa mkewe kwa muda mrefu wanajenga ukuta fulani ambao unakuwa rahisi kwa mwana mke yeyote kugawa kwa mtaa wa pili.
Naunga mkono hoja yako isipokuwa hapo kwenye red.

Kabla sijaacha tabia mbaya niliwahi kummega binti huku akiongea na boyfriend wake kwa simu. Naomba Mungu Charity asisome hapa, naweza pewa talaka.:D:D
 
Naunga mkono hoja yako isipokuwa hapo kwenye red.

Kabla sijaacha tabia mbaya niliwahi kummega binti huku akiongea na boyfriend wake kwa simu. Naomba Mungu Charity asisome hapa, naweza pewa talaka.:D:D

hahaha nimeona namtumia PM
 
Ligi, ligi, ligi!!!!

sawa kabisa, na sio za Old Trafford tu, hata kwenye mambo mengine...........kila mtu anataka yeye ndo awe juu!! hakuna anayeweza kuwa kwenye ground state.
unashindwa kujua baba ni nani, na mama ni nani......wote wanaume ndani.

Ni kweli kabisa yaani siku hizi tabu tupu kila mtu anataka yeye awe ndo refa na mwamuzi wa mwisho ah.

But niulize kitu: Hivi inapotokea kwenye familia kuna ligi, haiwezekani mwanaume akajishusha na kumpa ushindi mwanamke? Maana sehemu nyingi huwa nasikia malalamiko kuwa mke wa flani huwa anapenda sana kubishana na mumewe, kila kitu yeye yuko juu: As a way of having peace of mind, si mwanaume anaweza akaamua kumwachia tu huyo mwanamkke ushindi? Au sivyo yalivyo?
 
Akina baba nao wakipata tu Nyumba ndo ni dharau tosha kwa wife ..
Ataanza mambo ya kumlinganisha mke na nyumba ndogo
tayari dharau ndani ya nyumba itaanza
 
angalia walioenda beijin wote kama wana wanaume, kuanzia baadhi ya wabunge(sitaji majina), na wengine wote, wako single, wanatapatapa tu leo na mwanaume huyu, kesho na yule, hakuna hata wa kuwakuna mgongoni pakiwasha inabidi watumie mwiko au wajibaruguze ukutani. fahari ya mwanamke ni kuolewa, kumhesimu mume wake na kutulia, hiyo ndo heshima kuliko zote. jaribu kuangalia wote wana gender utawaona walivyo, wanawachukia wanaume kwasababu wana bifu nao, yaani shida tupu.
Ah hii observation yako kwa kweli ina point muhimu sana ndani yake- So what we are saying here is kwamba The Beijing thing was as bad as it is? Hebu kama kuna ajuaye maamuzi ay themes za Beijing atuwekee hapa ili tuangalie kama kuna uoanifu wa namna yoyote ile na themes za haki za binadamu. Then tutapata pa kudiscuss kwa sababu inavyoonekana kwa pande mmoja ni kuwa Beijing imewafungua kina mama wakajua haki zao za msingi (ambazo naamini kama binadamu zitakuwa ziko pia kwenye misahafu ya Haki za Binadamu. Upande wa pili unaamini kuwa Beijing ni malango mabovu yanayochochea kuharibika kwa ndoa nyingi.
 
Ni kweli kabisa yaani siku hizi tabu tupu kila mtu anataka yeye awe ndo refa na mwamuzi wa mwisho ah.

But niulize kitu: Hivi inapotokea kwenye familia kuna ligi, haiwezekani mwanaume akajishusha na kumpa ushindi mwanamke? Maana sehemu nyingi huwa nasikia malalamiko kuwa mke wa flani huwa anapenda sana kubishana na mumewe, kila kitu yeye yuko juu: As a way of having peace of mind, si mwanaume anaweza akaamua kumwachia tu huyo mwanamkke ushindi? Au sivyo yalivyo?
Hakuna kosa kubwa kama hilo mjukuu wangu. Kwa jinsi navowajua nyie wanawake...... Ukijishusha ujue mengine yatakuja. Utapangiwa mpaka zamu ya kufua makufuli.
 
Ni kweli kabisa yaani siku hizi tabu tupu kila mtu anataka yeye awe ndo refa na mwamuzi wa mwisho ah.

But niulize kitu: Hivi inapotokea kwenye familia kuna ligi, haiwezekani mwanaume akajishusha na kumpa ushindi mwanamke? Maana sehemu nyingi huwa nasikia malalamiko kuwa mke wa flani huwa anapenda sana kubishana na mumewe, kila kitu yeye yuko juu: As a way of having peace of mind, si mwanaume anaweza akaamua kumwachia tu huyo mwanamkke ushindi? Au sivyo yalivyo?
From experience, wanaume wanajua kuwa hapa sasa ligi haiishi, tuna-make decision kimya kimya on what to do,
Then tunasema if you continue like this, tutaona mwisho wake
Then, tuna-develop interest kwenye vitu vingine, kwa sababu mke anakuwa kero.
Then, mke anaona mume ana-muignore, then ugomvi,
kidume kinanyamaza tu!
Mama anaanza kurusha maneno ya kejeli......mwanaume gani wewe!!
Jamaa anamwangalia tu!
kesho yake jamaa, anamkumbuka ex wake, anacheki kwenye simu, anapiga,
Ex anasema nipo town, wana-hook, talk, drink and F***.
and the story goes on!!!>>>>>.....
 
Akina baba nao wakipata tu Nyumba ndo ni dharau tosha kwa wife ..
Ataanza mambo ya kumlinganisha mke na nyumba ndogo
tayari dharau ndani ya nyumba itaanza

Nakwambia acha tu sikia kwa mwenzio maana hawa viumbe wakipata mbadala utajuta kuolewa. Ila kuna vitu vingine ambavyo vinabore na vikiwa kwa muda mrefu heshma hupungua mf.
1. Ulevi wa kupindukia
2. Kutokumheshimu au msikiliza mke anapokuasa kitu mara kwa mara
3. Kuwa na gubu na kugomba kila mara pasipo sababu
4. Kutokupenda kukosolewa -ukikosolewa wewe unakimbilia kutishia kuacha mke
5. Tabia za kususa kama mtoto mdogo yaani kitu kidogo tu (sometime cha maana) we unasusa hee!
6. Kutotoa au hudumia familia yako ipasavyo- mama ndo mtafutaji mkuu wewe hujali kazi yako ni kudai ubadilishiwe balanced diet kila siku hujui vinatoka wapi (Mpemba shop) n.k.
7. Si kwamba huna pesa basi tu hujui majukumu yako
8. Ubabe usio na maana wakati unaonekana kabisa kuwa huwezikuimudu familia- sasa mama akiamua kutake charge -mnalalamika ni dharau/ubeijing n.k.
 
Hakuna kosa kubwa kama hilo mjukuu wangu. Kwa jinsi navowajua nyie wanawake...... Ukijishusha ujue mengine yatakuja. Utapangiwa mpaka zamu ya kufua makufuli.

Oh ok babu hapa nimekuelewa- nilikuwa nafikiria mwanamke akishapewa ushindi tu basi yatosha maisha yanarudi kama kawaida. Poor us.!
 
From experience, wanaume wanajua kuwa hapa sasa ligi haiishi, tuna-make decision kimya kimya on what to do,
Then tunasema if you continue like this, tutaona mwisho wake
Then, tuna-develop interest kwenye vitu vingine, kwa sababu mke anakuwa kero.
Then, mke anaona mume ana-muignore, then ugomvi,
kidume kinanyamaza tu!
Mama anaanza kurusha maneno ya kejeli......mwanaume gani wewe!!
Jamaa anamwangalia tu!
kesho yake jamaa, anamkumbuka ex wake, anacheki kwenye simu, anapiga,
Ex anasema nipo town, wana-hook, talk, drink and F***.
and the story goes on!!!>>>>>.....

Bigirita thanx- umenifunua macho ya moyoni.

Ladies jamani njooni tupate somo hapa-
But Bigi si kila wakati kuwa wanawake wanaanzisha ligi pasipo kuwa right no? kuna wakati we are right on what we are auguing about but utakuwa muda wote mke anapoanza kudicuss kitu basi Mr anaifumbia macho hoja na kukazania kuiweka kwenye fuko la ligi, ligi, ligi.
 
From experience, wanaume wanajua kuwa hapa sasa ligi haiishi, tuna-make decision kimya kimya on what to do,
Then tunasema if you continue like this, tutaona mwisho wake
Then, tuna-develop interest kwenye vitu vingine, kwa sababu mke anakuwa kero.
Then, mke anaona mume ana-muignore, then ugomvi,
kidume kinanyamaza tu!
Mama anaanza kurusha maneno ya kejeli......mwanaume gani wewe!!
Jamaa anamwangalia tu!
kesho yake jamaa, anamkumbuka ex wake, anacheki kwenye simu, anapiga,
Ex anasema nipo town, wana-hook, talk, drink and F***.
and the story goes on!!!>>>>>.....
Kiongozi natamani nisome na kusoma na kukusoma zaidi.

Hapo kwenye red, kama ex akisema hayupo mjini.
Jamaa linarikoli baa gani yenye kahudumu kazuri kagenigeni.
Kesho akitoka job anapitia pale
Binti anapewa keep change. Meneja anaitwa anakatiwa maneno machache na bakshishi.
Baamedi anageuka mke wa zamu.
Nyumbani mama na mihasira, gesti baba anahudumiwa.........
Maisha yanaendelea.
 
ukishindwa kufanya hili utashangaa na roho yako...!hata nguo hazitapigwa pasi.lakini PESA BABA!PESA NDO KILA KITU

Yeah mahusiano yoyote yale pesa ndo chachu ya upendo mwanamke akiwa na pesa baba hana pesa mapenzi yatakuwepo na mwanaume akiwa na pesa mama hana pesa hali kadharika ndo maisha yenyewe lakini pindi mnapo kuwa wote mmefulia dah sijui kama nyumba itakuwa inakalika.
 
Bigirita thanx- umenifunua macho ya moyoni.

Ladies jamani njooni tupate somo hapa-
But Bigi si kila wakati kuwa wanawake wanaanzisha ligi pasipo kuwa right no? kuna wakati we are right on what we are auguing about but utakuwa muda wote mke anapoanza kudicuss kitu basi Mr anaifumbia macho hoja na kukazania kuiweka kwenye fuko la ligi, ligi, ligi.
Mjukuu wangu:

For an ideal marriage, the man should be deaf and the woman blind.

Remember: It is not the lack of love but the lack of friendship that ends mariage
 
Yeah mahusiano yoyote yale pesa ndo chachu ya upendo mwanamke akiwa na pesa baba hana pesa mapenzi yatakuwepo na mwanaume akiwa na pesa mama hana pesa hali kadharika ndo maisha yenyewe lakini pindi mnapo kuwa wote mmefulia dah sijui kama nyumba itakuwa inakalika.
Fidel naomba kukuuliza swali nje ya mada- Umeokoka lini? Maana vyoint unavyomwaga hapa kaka hadi nakutamani!!
 
Bigirita thanx- umenifunua macho ya moyoni.

Ladies jamani njooni tupate somo hapa-
But Bigi si kila wakati kuwa wanawake wanaanzisha ligi pasipo kuwa right no? kuna wakati we are right on what we are auguing about but utakuwa muda wote mke anapoanza kudicuss kitu basi Mr anaifumbia macho hoja na kukazania kuiweka kwenye fuko la ligi, ligi, ligi.
I completely agree with you, kuishi na mtoto wa mwenzio sio kazi rahisi, ninachojua mimi ni kwamba......Wanaume hawapendi kushindwa urgument, especially, inapoonekana, ushindi wa mama utafanya kubadilika kwa hali ya discussions za mbeleni....kwa mfano, wanawake wanajua sana kusema unakumbuka nilikwambia nini wakati ule?....wanaume hawapendi ushindi wa namna amabayo italeta reffertence kila wakati!
Ni swala la busara zaidi, kidume kinaweza kuonyesha kukataa hadi mwisho, lakini kikanyamaza decision ya mke iendelee, kwa lkutumia busara, mke na mume, wote wanajua wamesitiriana.

Lakini kama mnataka mshindi wa kushangilia au kushangiliwa. wanaume hawapendi.
BUSARA lazima itumike....
 
Kiongozi natamani nisome na kusoma na kukusoma zaidi.

Hapo kwenye red, kama ex akisema hayupo mjini.
Jamaa linarikoli baa gani yenye kahudumu kazuri kagenigeni.
Kesho akitoka job anapitia pale
Binti anapewa keep change. Meneja anaitwa anakatiwa maneno machache na bakshishi.
Baamedi anageuka mke wa zamu.
Nyumbani mama na mihasira, gesti baba anahudumiwa.........
Maisha yanaendelea.
you can read and say that again!!
sasa hapo ndo signuture yangu inapokuwa tofauti kidogo, ninakuwa nina reason, sio tu place!!
 
Yeah mahusiano yoyote yale pesa ndo chachu ya upendo mwanamke akiwa na pesa baba hana pesa mapenzi yatakuwepo na mwanaume akiwa na pesa mama hana pesa hali kadharika ndo maisha yenyewe lakini pindi mnapo kuwa wote mmefulia dah sijui kama nyumba itakuwa inakalika.

Mpwa naomba nikupinge hapo kwenye red.

Omba kwa Mungu.
Sali sana.
Piga magoti na mlilie sana Mungu.
Usithubutu kukosa pesa wakati mkeo anazo.
Hawa watu wakiwa na pesa na wewe umefulia ni hatari kama kumweka simba mwenye njaa kwenye boma la kondoo mgonjwa.
 
Back
Top Bottom