Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
KWAKWELI HAWEZI!na tendo la ndoa huwa ''tendo'' kama humo ndani walau mna uhakika wa chakula na mahitajimengine ya msingi.kinyume na hilo,.....!A MAN WILL NEVER ERECT HIS PENISNi kweli Geoff, tendo la ndoa ndio ndoa yenyewe. lakini lifanyike wakati wote wawili mkiwa na mood ya kufanya hivyo. Unafikiri kama una tabia ya kumnyanyasa mkeo atafurahia hilo tendo?