Kama ni hivyo hata kakaangu mmoja wa humu nI Billionea, Btw kuna umuhimu gani wa kuhoji mali alizonazo mtu aliyekufa, unataka mgao!
Lakini unacho cha kusema kwake kuwa ni mmiliki wa kitu fulani what about bob sambeke?Soma historia ya donald trump,mtu kupata misukosuko ndio inayomuweka strong.
Heshima kwenu wanajamvi,
Ni kweli kumekuwa na mtindo wa kuwakweza baadhi ya wafanyabiashara wa kawaida kabisa na kuwaita mabilionea.Mfano mzuri ni huyu Babu Sambeke.Marehemu alikuwa anafanya biashara kubwa ya kukopesha watu fedha binafsi nawajua baadhi ya wafanyabiashara wakubwa waliokopa fedha kwake 1.Ove huyu ni mfanyabiashara ya wa magari na pia anajishughulisha na uchinjaji wa magari kwaajili ya kuuza spares (us 450,000/=) 2. Sunda mfanyabiashara na mchimbaji wa madini ya Tanzanite (Tsh 2 bilioni) 3.Mmiliki wa Snow Crest kiasi hakijulikani. 4 Wachimbaji wa wengi wa Tanzanite wanadaiwa kiasi kikubwa cha fedha walichokopa kwaajili ya kuendesha mashimo ya mawe.
Bado kuna wafanyabiashara wengi wadogo wadogo walioporwa nyumba na magari kupitia mikopo ya Babu,mfano mmojawapo ni dalali wa viwanja anayejulikana kama Simba alikopa fedha akaweka nyumba anayoisha rehani siku ya siku aliposhindwa kulipa nyumba ikachukuliwa siku hizi anaishi Mwanama nyumba ya kupanga ya vyumba viwili,fikiria huyu katoka kwenye nyumba yake self contained,car park,gati kubwa na makorokoro kibao leo anakichukuliaje kifo cha Babu !
Babu Sambeke ni mfanyabishara mkubwa ingawa biashara yake haijulikana rasmi na serekali huyu jamaa ni bilionea usiangalie kigezo cha kumiliki ndege ukadhani wanahabari wamekurupuka la hashaa jamaa alikuwa akimiliki biashara kubwa sana yenye kumuingizia fedha nyingi pasipo kulipa kodi ya serekali.Inashangaza sana jambo kama hili linatendeka wazi wazi huku serekali ikikubali kuibiwa mapato yake kupitia ukwepaji wa kodi mkubwa.Nina hakika kufuatia kifo chake fedha zake nyingi zitapotea (kufa kufaana).
Mwisho serekali ijipange vizuri ihakikishe inapanue uwogo wa walipa kodi wake.Wafanyabiashara wakubwa aina ya Babu ni wengi lakini utashangaa serekali haina taarifa zao za mapato na matumizi.
Marehemu Wakili Nyaga huyu ni bilionea kwa vigezo vyote ukitaka kujua uwezo aliokuwa nao nenda Mawala estate ni zaidi ya eka 200 4 kilometa from city center kaweka miundo mbinu yote kuanzia barabara za lami,mtandao wa maji na umeme.Isitoshe Mawalla alikuwa na connection za matajiri wakubwa wa dunia kama Paul Tudor.Pia ana miliki estate huko South Afrika na Zimbabwe usishangae kwenye mazishi yake mawaziri walikuwa wanapigana vikumbo.
Heshima kwenu wanajamvi,
Ni kweli kumekuwa na mtindo wa kuwakweza baadhi ya wafanyabiashara wa kawaida kabisa na kuwaita mabilionea.Mfano mzuri ni huyu Babu Sambeke.Marehemu alikuwa anafanya biashara kubwa ya kukopesha watu fedha binafsi nawajua baadhi ya wafanyabiashara wakubwa waliokopa fedha kwake 1.Ove huyu ni mfanyabiashara ya wa magari na pia anajishughulisha na uchinjaji wa magari kwaajili ya kuuza spares (us 450,000/=) 2. Sunda mfanyabiashara na mchimbaji wa madini ya Tanzanite (Tsh 2 bilioni) 3.Mmiliki wa Snow Crest kiasi hakijulikani. 4 Wachimbaji wa wengi wa Tanzanite wanadaiwa kiasi kikubwa cha fedha walichokopa kwaajili ya kuendesha mashimo ya mawe.
Bado kuna wafanyabiashara wengi wadogo wadogo walioporwa nyumba na magari kupitia mikopo ya Babu,mfano mmojawapo ni dalali wa viwanja anayejulikana kama Simba alikopa fedha akaweka nyumba anayoisha rehani siku ya siku aliposhindwa kulipa nyumba ikachukuliwa siku hizi anaishi Mwanama nyumba ya kupanga ya vyumba viwili,fikiria huyu katoka kwenye nyumba yake self contained,car park,gati kubwa na makorokoro kibao leo anakichukuliaje kifo cha Babu !
Babu Sambeke ni mfanyabishara mkubwa ingawa biashara yake haijulikana rasmi na serekali huyu jamaa ni bilionea usiangalie kigezo cha kumiliki ndege ukadhani wanahabari wamekurupuka la hashaa jamaa alikuwa akimiliki biashara kubwa sana yenye kumuingizia fedha nyingi pasipo kulipa kodi ya serekali.Inashangaza sana jambo kama hili linatendeka wazi wazi huku serekali ikikubali kuibiwa mapato yake kupitia ukwepaji wa kodi mkubwa.Nina hakika kufuatia kifo chake fedha zake nyingi zitapotea (kufa kufaana).
Mwisho serekali ijipange vizuri ihakikishe inapanue uwogo wa walipa kodi wake.Wafanyabiashara wakubwa aina ya Babu ni wengi lakini utashangaa serekali haina taarifa zao za mapato na matumizi.
Marehemu Wakili Nyaga huyu ni bilionea kwa vigezo vyote ukitaka kujua uwezo aliokuwa nao nenda Mawala estate ni zaidi ya eka 200 4 kilometa from city center kaweka miundo mbinu yote kuanzia barabara za lami,mtandao wa maji na umeme.Isitoshe Mawalla alikuwa na connection za matajiri wakubwa wa dunia kama Paul Tudor.Pia ana miliki estate huko South Afrika na Zimbabwe usishangae kwenye mazishi yake mawaziri walikuwa wanapigana vikumbo.
Nadhani wewe umetufahamisha vizuri kuhusu hawa jamaa ambao wanaitwa mabilionea.
Forbes wanautambua utajiri hao jamaa au ndio kazi za kimafia.
Mkuu Spike Lee hawa jamaa wanamitandao yao sijui tusema ni mitandao ya kihalifu au nakosa neno sahihi la kiswahili.Ni hivi usifikiri hata mara moja Babu akikudai fedha zake atakupitisha kwenye mikono ya dola la hasha atapamaba na wewe binafsi au genge lake.Ndiyo maana nakwambia leo ukienda Njiro,Kimandolu,Baraa,Mitaa ya mjini kati na Sakina nyumba,magari na viwanja alizofanikiwa kuzichukua kupitia mikopo yake utashangaa ni kiasi gani serekali ilikuwa ikipoteza mapato yake.Vuta subira kidogo mtu mwenye uwezo wa kumkopesha Sunda unamweka daraja lipi ?,ngoja kidogo ni kwambie umewahi kujiuliza Sunda ana miliki asset za aina gani ?.Mtu mwenye uwezo wa kutoa mkopo wa tsh 10,000,000,000/= halafu serekali haina habari zake halafu leo unashangaa wanahabari wanamwita bilionea!.
Kifupi sana kuna baadhi ya banks za hapa Arusha na Moshi sipendi kuzitaja ulikuwa ukiomba mkopo na wakiona unaweza kuwasumbua wanakuelekeza kwa Babu Sambeke.Kama hiyo haitoshi pia alikuwa akiulizwa kama mkopaji alikuwa akidaiwa kabla hazijamkopesha sasa nadhani umeelwa maana ya mtandao pia nadhani umeelewa Babu alikuwa na uwezo kiasi gani.
Ngongo sitaki kuamini kama wewe ndio umeandika humu. Ila kwa uwepo wa avatar yako na font hiyo nashawishika kuamini. Hivi kweli nawe umeandika kuthibitisha huyo sambeke ni bilionea? Data zako ni zipi, vigezo vyako ni nini? Ulichoandika ni stories tu za kijiweni ambazo mi nimezisikia muda sasa.
Kama ndio hivyo basi na kwa vigezo vyenu Kahama na na Ushirombo pekee kuna mabilionea 50!
Kutokana na matukio ya matajiri wa Arusha waliopoteza maisha yao,kumetokea mchanganyiko wa mawazo wengine wakisema ni mabilionea na wengine wakipinga.Bilionea ni mtu ambaye asset zake zimefikia bilioni moja na kuendelea kwa Tanzania.
Ni vema tukaibadilisha hii zana kwa kuita bilionea mtu ambaye hata ajira hajatoa kwa wananchi ama impact kwa taifa lake.
Kuhusu Bob Sambeke na hiyo ndege,inabidi wote tufunguke akili,je unajua kuna ndege zinauzwa hadi laki 5 na serikali?
Je unajua 2c walishawahi uza ndege kwa millioni 60?and guess what aliyenunua ni owner wa precision na mikataba hadi tender zipo wazi.
Kwa hiyo suala la mtu kumiliki ndege ndogo used sio shida labda kama ingekuwa mpya kaitoa kiwandani hapo ni sawa.
Suala lingine alikuwa akimiliki kampuni gani?mfano wa wajasiriamali ambao mtu anaweza kuaccept kuwa ni mabilionea baadhi ni kama wafuatao
ndesamburo-hotels,tours
mansoor-mansoor oil
sunda- mount meru,tanzanite etc
Reginald Mengi - ipp media,cocacola kwanza etc
Mohmd Dewji-Mohamed enterprise tanzania ltd
Erick shigongo-global publishers
Michael ngareko- precision airways
Koola Zadock- CEO ZEK Group and dar village 2nd largest shopping mall in tanzania
bob sambeke-??????
Hayo ni mawazo tu,
sasa mkuu kahama kuna bilionea hapo?.Ngongo sitaki kuamini kama wewe ndio umeandika humu. Ila kwa uwepo wa avatar yako na font hiyo nashawishika kuamini. Hivi kweli nawe umeandika kuthibitisha huyo sambeke ni bilionea? Data zako ni zipi, vigezo vyako ni nini? Ulichoandika ni stories tu za kijiweni ambazo mi nimezisikia muda sasa.
Kama ndio hivyo basi na kwa vigezo vyenu Kahama na na Ushirombo pekee kuna mabilionea 50!
Mkuu, vipi mimi ninaye miliki bajaji ya mil 3.5 Tsh, ni sahihi nikijiita MILLIONAIRE??
Ile mall yake ya Rose Garden anashindwa kuijenga, eti mwenye Rose Garden anamroga usiku na mchanaKwani Zadock bado yupo katika list ya mabilionea nchi hii??!! kalagabaho!