Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,333
Kutokana na matukio ya matajiri wa Arusha waliopoteza maisha yao,kumetokea mchanganyiko wa mawazo wengine wakisema ni mabilionea na wengine wakipinga.Bilionea ni mtu ambaye asset zake zimefikia bilioni moja na kuendelea kwa Tanzania.
Ni vema tukaibadilisha hii zana kwa kuita bilionea mtu ambaye hata ajira hajatoa kwa wananchi ama impact kwa taifa lake.
Kuhusu Bob Sambeke na hiyo ndege,inabidi wote tufunguke akili,je unajua kuna ndege zinauzwa hadi laki 5 na serikali?
Je unajua 2c walishawahi uza ndege kwa millioni 60?and guess what aliyenunua ni owner wa precision na mikataba hadi tender zipo wazi.
Kwa hiyo suala la mtu kumiliki ndege ndogo used sio shida labda kama ingekuwa mpya kaitoa kiwandani hapo ni sawa.
Suala lingine alikuwa akimiliki kampuni gani?mfano wa wajasiriamali ambao mtu anaweza kuaccept kuwa ni mabilionea baadhi ni kama wafuatao
ndesamburo-hotels,tours
mansoor-mansoor oil
sunda- mount meru,tanzanite etc
Reginald Mengi - ipp media,cocacola kwanza etc
Mohmd Dewji-Mohamed enterprise tanzania ltd
Erick shigongo-global publishers
Michael ngareko- precision airways
Koola Zadock- CEO ZEK Group and dar village 2nd largest shopping mall in tanzania
bob sambeke-??????
Hayo ni mawazo tu,
Ni vema tukaibadilisha hii zana kwa kuita bilionea mtu ambaye hata ajira hajatoa kwa wananchi ama impact kwa taifa lake.
Kuhusu Bob Sambeke na hiyo ndege,inabidi wote tufunguke akili,je unajua kuna ndege zinauzwa hadi laki 5 na serikali?
Je unajua 2c walishawahi uza ndege kwa millioni 60?and guess what aliyenunua ni owner wa precision na mikataba hadi tender zipo wazi.
Kwa hiyo suala la mtu kumiliki ndege ndogo used sio shida labda kama ingekuwa mpya kaitoa kiwandani hapo ni sawa.
Suala lingine alikuwa akimiliki kampuni gani?mfano wa wajasiriamali ambao mtu anaweza kuaccept kuwa ni mabilionea baadhi ni kama wafuatao
ndesamburo-hotels,tours
mansoor-mansoor oil
sunda- mount meru,tanzanite etc
Reginald Mengi - ipp media,cocacola kwanza etc
Mohmd Dewji-Mohamed enterprise tanzania ltd
Erick shigongo-global publishers
Michael ngareko- precision airways
Koola Zadock- CEO ZEK Group and dar village 2nd largest shopping mall in tanzania
bob sambeke-??????
Hayo ni mawazo tu,