Sababu za kupinga Bob Sambeke sio bilionea

Chimbuvu

JF-Expert Member
Jul 17, 2012
4,401
2,333
Kutokana na matukio ya matajiri wa Arusha waliopoteza maisha yao,kumetokea mchanganyiko wa mawazo wengine wakisema ni mabilionea na wengine wakipinga.Bilionea ni mtu ambaye asset zake zimefikia bilioni moja na kuendelea kwa Tanzania.

Ni vema tukaibadilisha hii zana kwa kuita bilionea mtu ambaye hata ajira hajatoa kwa wananchi ama impact kwa taifa lake.

Kuhusu Bob Sambeke na hiyo ndege,inabidi wote tufunguke akili,je unajua kuna ndege zinauzwa hadi laki 5 na serikali?

Je unajua 2c walishawahi uza ndege kwa millioni 60?and guess what aliyenunua ni owner wa precision na mikataba hadi tender zipo wazi.

Kwa hiyo suala la mtu kumiliki ndege ndogo used sio shida labda kama ingekuwa mpya kaitoa kiwandani hapo ni sawa.

Suala lingine alikuwa akimiliki kampuni gani?mfano wa wajasiriamali ambao mtu anaweza kuaccept kuwa ni mabilionea baadhi ni kama wafuatao

ndesamburo-hotels,tours
mansoor-mansoor oil
sunda- mount meru,tanzanite etc
Reginald Mengi - ipp media,cocacola kwanza etc
Mohmd Dewji-Mohamed enterprise tanzania ltd
Erick shigongo-global publishers
Michael ngareko- precision airways
Koola Zadock- CEO ZEK Group and dar village 2nd largest shopping mall in tanzania
bob sambeke-??????

Hayo ni mawazo tu,
 
Kutokana na matukio ya matajiri wa arusha waliopoteza maisha yao,kumetokea mchanganyiko wa mawazo wengine wakisema ni mabilionea na wengine wakipinga.Bilionea ni mtu ambaye asset zake zimefikia bilioni moja na kuendelea kwa tanzania.
Ni vema tukaibadilisha hii zana kwa kuita bilionea mtu ambaye hata ajira hajatoa kwa wananchi ama impact kwa taifa lake.
Kuhusu bob sambeke na hiyo ndege,inabidi wote tufunguke akili,je unajua kuna ndege zinauzwa hadi laki 5 na serikali?
Je unajua 2c walishawahi uza ndege kwa millioni 60?and guess what aliyenunua ni owner wa precision na mikataba hadi tender zipo wazi.
Kwa hiyo suala la mtu kumiliki ndege ndogo used sio shida labda kama ingekuwa mpya kaitoa kiwandani hapo ni sawa.
Suala lingine alikuwa akimiliki kampuni gani?mfano wa wajasiriamali ambao mtu anaweza kuaccept kuwa ni mabilionea baadhi ni kama wafuatao

ndesamburo-hotels,tours
mansoor-mansoor oil
sunda- mount meru,tanzanite etc
Reginald Mengi - ipp media,cocacola kwanza etc
Mohmd Dewji-Mohamed enterprise tanzania ltd
Erick shigongo-global publishers
Michael ngareko- precision airways
Koola Zadock- CEO ZEK Group and dar village 2nd largest shopping mall in tanzania
bob sambeke-??????

Hayo ni mawazo tu,

Kwani Zadock bado yupo katika list ya mabilionea nchi hii??!! kalagabaho!
 
Kutokana na matukio ya matajiri wa arusha waliopoteza maisha yao,kumetokea mchanganyiko wa mawazo wengine wakisema ni mabilionea na wengine wakipinga.Bilionea ni mtu ambaye asset zake zimefikia bilioni moja na kuendelea kwa tanzania.
Ni vema tukaibadilisha hii zana kwa kuita bilionea mtu ambaye hata ajira hajatoa kwa wananchi ama impact kwa taifa lake.
Kuhusu bob sambeke na hiyo ndege,inabidi wote tufunguke akili,je unajua kuna ndege zinauzwa hadi laki 5 na serikali?
Je unajua 2c walishawahi uza ndege kwa millioni 60?and guess what aliyenunua ni owner wa precision na mikataba hadi tender zipo wazi.
Kwa hiyo suala la mtu kumiliki ndege ndogo used sio shida labda kama ingekuwa mpya kaitoa kiwandani hapo ni sawa.
Suala lingine alikuwa akimiliki kampuni gani?mfano wa wajasiriamali ambao mtu anaweza kuaccept kuwa ni mabilionea baadhi ni kama wafuatao

ndesamburo-hotels,tours
mansoor-mansoor oil
sunda- mount meru,tanzanite etc
Reginald Mengi - ipp media,cocacola kwanza etc
Mohmd Dewji-Mohamed enterprise tanzania ltd
Erick shigongo-global publishers
Michael ngareko- precision airways
Koola Zadock- CEO ZEK Group and dar village 2nd largest shopping mall in tanzania
bob sambeke-??????

Hayo ni mawazo tu,

Kama ni hivyo hata kakaangu mmoja wa humu nI Billionea, Btw kuna umuhimu gani wa kuhoji mali alizonazo mtu aliyekufa, unataka mgao!
 
Kutokana na matukio ya matajiri wa arusha waliopoteza maisha yao,kumetokea mchanganyiko wa mawazo wengine wakisema ni mabilionea na wengine wakipinga.Bilionea ni mtu ambaye asset zake zimefikia bilioni moja na kuendelea kwa tanzania.
Ni vema tukaibadilisha hii zana kwa kuita bilionea mtu ambaye hata ajira hajatoa kwa wananchi ama impact kwa taifa lake.
Kuhusu bob sambeke na hiyo ndege,inabidi wote tufunguke akili,je unajua kuna ndege zinauzwa hadi laki 5 na serikali?
Je unajua 2c walishawahi uza ndege kwa millioni 60?and guess what aliyenunua ni owner wa precision na mikataba hadi tender zipo wazi.
Kwa hiyo suala la mtu kumiliki ndege ndogo used sio shida labda kama ingekuwa mpya kaitoa kiwandani hapo ni sawa.
Suala lingine alikuwa akimiliki kampuni gani?mfano wa wajasiriamali ambao mtu anaweza kuaccept kuwa ni mabilionea baadhi ni kama wafuatao

ndesamburo-hotels,tours
mansoor-mansoor oil
sunda- mount meru,tanzanite etc
Reginald Mengi - ipp media,cocacola kwanza etc
Mohmd Dewji-Mohamed enterprise tanzania ltd
Erick shigongo-global publishers
Michael ngareko- precision airways
Koola Zadock- CEO ZEK Group and dar village 2nd largest shopping mall in tanzania
bob sambeke-??????

Hayo ni mawazo tu,

Mkuu uko sahihi kabisa! = A person whose wealth amounts to at least a billion dollars, pounds, or the equivalent in other currency. In Tanzanian currency = 1,000,000,000 ( dollars) times equivalent exchange rate
 
Kutokana na matukio ya matajiri wa arusha waliopoteza maisha yao,kumetokea mchanganyiko wa mawazo wengine wakisema ni mabilionea na wengine wakipinga.Bilionea ni mtu ambaye asset zake zimefikia bilioni moja na kuendelea kwa tanzania.
Ni vema tukaibadilisha hii zana kwa kuita bilionea mtu ambaye hata ajira hajatoa kwa wananchi ama impact kwa taifa lake.
Kuhusu bob sambeke na hiyo ndege,inabidi wote tufunguke akili,je unajua kuna ndege zinauzwa hadi laki 5 na serikali?
Je unajua 2c walishawahi uza ndege kwa millioni 60?and guess what aliyenunua ni owner wa precision na mikataba hadi tender zipo wazi.
Kwa hiyo suala la mtu kumiliki ndege ndogo used sio shida labda kama ingekuwa mpya kaitoa kiwandani hapo ni sawa.
Suala lingine alikuwa akimiliki kampuni gani?mfano wa wajasiriamali ambao mtu anaweza kuaccept kuwa ni mabilionea baadhi ni kama wafuatao

ndesamburo-hotels,tours
mansoor-mansoor oil
sunda- mount meru,tanzanite etc
Reginald Mengi - ipp media,cocacola kwanza etc
Mohmd Dewji-Mohamed enterprise tanzania ltd
Erick shigongo-global publishers
Michael ngareko- precision airways
Koola Zadock- CEO ZEK Group and dar village 2nd largest shopping mall in tanzania
bob sambeke-??????

Hayo ni mawazo tu,

bold ya kwanza ana ubilionea upi?
bold ya pili jamaa kafilisika hata kumaliza hiyo dar village utata...A1 inasuasua....outdoor ndio hivyo imekaiwa kooni
 
Lakini unacho cha kusema kwake kuwa ni mmiliki wa kitu fulani what about bob sambeke?Soma historia ya donald trump,mtu kupata misukosuko ndio inayomuweka strong.

bold ya kwanza ana ubilionea upi?
bold ya pili jamaa kafilisika hata kumaliza hiyo dar village utata...A1 inasuasua....outdoor ndio hivyo imekaiwa kooni
 
Tatizo la Arusha hata mimi nikienda huko nikafika bar nikatoa ofa za bia na supu za ulimi kesho mji mzima watasema Spike Lee ni bilionea. Data za kuwajua mabilioni zinapatikana Forbes Magazine.

Umenivunja mbavu.

Hii inabidi aione Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwenu wanajamvi,

Ni kweli kumekuwa na mtindo wa kuwakweza baadhi ya wafanyabiashara wa kawaida kabisa na kuwaita mabilionea.Mfano mzuri ni huyu Babu Sambeke.Marehemu alikuwa anafanya biashara kubwa ya kukopesha watu fedha binafsi nawajua baadhi ya wafanyabiashara wakubwa waliokopa fedha kwake 1.Ove huyu ni mfanyabiashara ya wa magari na pia anajishughulisha na uchinjaji wa magari kwaajili ya kuuza spares (us 450,000/=) 2. Sunda mfanyabiashara na mchimbaji wa madini ya Tanzanite (Tsh 2 bilioni) 3.Mmiliki wa Snow Crest kiasi hakijulikani. 4 Wachimbaji wa wengi wa Tanzanite wanadaiwa kiasi kikubwa cha fedha walichokopa kwaajili ya kuendesha mashimo ya mawe.

Bado kuna wafanyabiashara wengi wadogo wadogo walioporwa nyumba na magari kupitia mikopo ya Babu,mfano mmojawapo ni dalali wa viwanja anayejulikana kama Simba alikopa fedha akaweka nyumba anayoisha rehani siku ya siku aliposhindwa kulipa nyumba ikachukuliwa siku hizi anaishi Mwanama nyumba ya kupanga ya vyumba viwili,fikiria huyu katoka kwenye nyumba yake self contained,car park,gati kubwa na makorokoro kibao leo anakichukuliaje kifo cha Babu !

Babu Sambeke ni mfanyabishara mkubwa ingawa biashara yake haijulikana rasmi na serekali huyu jamaa ni bilionea usiangalie kigezo cha kumiliki ndege ukadhani wanahabari wamekurupuka la hashaa jamaa alikuwa akimiliki biashara kubwa sana yenye kumuingizia fedha nyingi pasipo kulipa kodi ya serekali.Inashangaza sana jambo kama hili linatendeka wazi wazi huku serekali ikikubali kuibiwa mapato yake kupitia ukwepaji wa kodi mkubwa.Nina hakika kufuatia kifo chake fedha zake nyingi zitapotea (kufa kufaana).

Mwisho serekali ijipange vizuri ihakikishe inapanue uwogo wa walipa kodi wake.Wafanyabiashara wakubwa aina ya Babu ni wengi lakini utashangaa serekali haina taarifa zao za mapato na matumizi.

Marehemu Wakili Nyaga huyu ni bilionea kwa vigezo vyote ukitaka kujua uwezo aliokuwa nao nenda Mawala estate ni zaidi ya eka 200 4 kilometa from city center kaweka miundo mbinu yote kuanzia barabara za lami,mtandao wa maji na umeme.Isitoshe Mawalla alikuwa na connection za matajiri wakubwa wa dunia kama Paul Tudor.Pia ana miliki estate huko South Afrika na Zimbabwe usishangae kwenye mazishi yake mawaziri walikuwa wanapigana vikumbo.
 
Kutokana na matukio ya matajiri wa arusha waliopoteza maisha yao,kumetokea mchanganyiko wa mawazo wengine wakisema ni mabilionea na wengine wakipinga.Bilionea ni mtu ambaye asset zake zimefikia bilioni moja na kuendelea kwa tanzania.
Ni vema tukaibadilisha hii zana kwa kuita bilionea mtu ambaye hata ajira hajatoa kwa wananchi ama impact kwa taifa lake.
Kuhusu bob sambeke na hiyo ndege,inabidi wote tufunguke akili,je unajua kuna ndege zinauzwa hadi laki 5 na serikali?
Je unajua 2c walishawahi uza ndege kwa millioni 60?and guess what aliyenunua ni owner wa precision na mikataba hadi tender zipo wazi.
Kwa hiyo suala la mtu kumiliki ndege ndogo used sio shida labda kama ingekuwa mpya kaitoa kiwandani hapo ni sawa.
Suala lingine alikuwa akimiliki kampuni gani?mfano wa wajasiriamali ambao mtu anaweza kuaccept kuwa ni mabilionea baadhi ni kama wafuatao

Hayo ni mawazo tu,

Swala la Babu Sambeke kuwa billionea halina ubishi unless kama watu wanataka kupoteza muda. Babu ni tajiri kabisa na angeweza kuishi mahali popote kwa raha na starehe. Labda swali lingekuwa - utajiri wake aliupataje? lakini kwamba ni bilionaire - hilo halina ubishi.

Now, matajiri, hata hao tunawaosikia huko majuu, si wote walipata hela zao kwa njia zilizoonyooka. Babu Sambeke amekuwa ni mtu wa mikeke maisha yake yote, na pengine mazingira aliyokulia yamechangia maana ni mtu wa kuwekeza sana. Pamoja na kwamba alitoka kwenye familia yenye uwezo, Babu katafuta hela yake mwenyewe (the end justify the means).

Shule (kwa maana ya kukaa darasani ile ya kawaida) haikupata nafasi kwa huyo bwana. He went straight kwenye utafutaji na hakuwa na mashaka alikuwa anataka nini maishani - sucess! Na chochote,yoyote atakeyejaribu kumletea mizengwe atatamani ardhi ipasuke.

Na hii ya kukopesha mbona hata huko majuu ipo sana tu.
 
Swala la Babu Sambeke kuwa billionea halina ubishi unless kama watu wanataka kupoteza muda. Babu ni tajiri kabisa na angeweza kuishi mahali popote kwa raha na starehe. Labda swali lingekuwa - utajiri wake aliupataje? lakini kwamba ni bilionaire - hilo halina ubishi.

Now, matajiri, hata hao tunawaosikia huko majuu, si wote walipata hela zao kwa njia zilizoonyooka. Babu Sambeke amekuwa ni mtu wa mikeke maisha yake yote, na pengine mazingira aliyokulia yamechangia maana ni mtu wa kuwekeza sana. Pamoja na kwamba alitoka kwenye familia yenye uwezo, Babu katafuta hela yake mwenyewe (the end justify the means).

Shule (kwa maana ya kukaa darasani ile ya kawaida) haikupata nafasi kwa huyo bwana. He went straight kwenye utafutaji na hakuwa na mashaka alikuwa anataka nini maishani - sucess! Na chochote,yoyote atakeyejaribu kumletea mizengwe atatamani ardhi ipasuke.

Na hii ya kukopesha mbona hata huko majuu ipo sana tu.

Usiongee ki ushabiki au upenzi, babu alikua na umilionea gani? Ndege mbovu zile used ni za kumilikiwa na bilionea? Angekua bilionea asingekuwa na duka la kichovu Kama lile lililopo opposite na soko la chini pale Moshi mjini na duka lenyewe alikuwa anauza mama yeke. Biashara zenyewe anazofanya hazikuwa zikieleweka, hata makazi ya kwao mbona kawaida saaaana? Ukisikia mtu anaitwa bilionea kaa kimya, babu sambeke alikuwa na hela ya kawaida saaaaana ya kumtosha yeye na familia yake na kufanya matanuzi mjini.
 
Usiongee ki ushabiki au upenzi, babu alikua na umilionea gani? Ndege mbovu zile used ni za kumilikiwa na bilionea? Angekua bilionea asingekuwa na duka la kichovu Kama lile lililopo opposite na soko la chini pale Moshi mjini na duka lenyewe alikuwa anauza mama yeke. Biashara zenyewe anazofanya hazikuwa zikieleweka, hata makazi ya kwao mbona kawaida saaaana? Ukisikia mtu anaitwa bilionea kaa kimya, babu sambeke alikuwa na hela ya kawaida saaaaana ya kumtosha yeye na familia yake na kufanya matanuzi mjini.

Kiongozi, punguza vuta pumzi, na utulizane. Unao uhuru wa kupinga, maana tunajadiliana hapa. Sijabatisha. Duka lililo karibu na soko la Moshi ni la marehemu Mzee Sembeke (Baba yake Babu). Mzee Sambeke naye alikuwa na vijisenti kiasi wakati wa uhai wake. Na kama umenisoma vizuri, Babu hakuwa mtu kutegemea Baba au mama. Alikuwa anapambana kivyake, kuanzia miaka hiyo ya 80s.

Kwao wapi, Karanga? Mambo ya Karanga ni ya zamani, Babu alikuwa mara nyingi Arusha. Karanga anakaa mama yake na kaburi la Mzee Sambeke.

Pia soma post No 15.

Babu hela ilikuwepo, tena miiingi sana. Swali linatakiwa alizipataje?
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Ni kweli kumekuwa na mtindo wa kuwakweza baadhi ya wafanyabiashara wa kawaida kabisa na kuwaita mabilionea.Mfano mzuri ni huyu Babu Sambeke.Marehemu alikuwa anafanya biashara kubwa ya kukopesha watu fedha binafsi nawajua baadhi ya wafanyabiashara wakubwa waliokopa fedha kwake 1.Ove huyu ni mfanyabiashara ya wa magari na pia anajishughulisha na uchinjaji wa magari kwaajili ya kuuza spares (us 450,000/=) 2. Sunda mfanyabiashara na mchimbaji wa madini ya Tanzanite (Tsh 2 bilioni) 3.Mmiliki wa Snow Crest kiasi hakijulikani. 4 Wachimbaji wa wengi wa Tanzanite wanadaiwa kiasi kikubwa cha fedha walichokopa kwaajili ya kuendesha mashimo ya mawe.

Bado kuna wafanyabiashara wengi wadogo wadogo walioporwa nyumba na magari kupitia mikopo ya Babu,mfano mmojawapo ni dalali wa viwanja anayejulikana kama Simba alikopa fedha akaweka nyumba anayoisha rehani siku ya siku aliposhindwa kulipa nyumba ikachukuliwa siku hizi anaishi Mwanama nyumba ya kupanga ya vyumba viwili,fikiria huyu katoka kwenye nyumba yake self contained,car park,gati kubwa na makorokoro kibao leo anakichukuliaje kifo cha Babu !

Babu Sambeke ni mfanyabishara mkubwa ingawa biashara yake haijulikana rasmi na serekali huyu jamaa ni bilionea usiangalie kigezo cha kumiliki ndege ukadhani wanahabari wamekurupuka la hashaa jamaa alikuwa akimiliki biashara kubwa sana yenye kumuingizia fedha nyingi pasipo kulipa kodi ya serekali.Inashangaza sana jambo kama hili linatendeka wazi wazi huku serekali ikikubali kuibiwa mapato yake kupitia ukwepaji wa kodi mkubwa.Nina hakika kufuatia kifo chake fedha zake nyingi zitapotea (kufa kufaana).

Mwisho serekali ijipange vizuri ihakikishe inapanue uwogo wa walipa kodi wake.Wafanyabiashara wakubwa aina ya Babu ni wengi lakini utashangaa serekali haina taarifa zao za mapato na matumizi.

Marehemu Wakili Nyaga huyu ni bilionea kwa vigezo vyote ukitaka kujua uwezo aliokuwa nao nenda Mawala estate ni zaidi ya eka 200 4 kilometa from city center kaweka miundo mbinu yote kuanzia barabara za lami,mtandao wa maji na umeme.Isitoshe Mawalla alikuwa na connection za matajiri wakubwa wa dunia kama Paul Tudor.Pia ana miliki estate huko South Afrika na Zimbabwe usishangae kwenye mazishi yake mawaziri walikuwa wanapigana vikumbo.

Nadhani wewe umetufahamisha vizuri kuhusu hawa jamaa ambao wanaitwa mabilionea.

Forbes wanautambua utajiri hao jamaa au ndio kazi za kimafia.
 
Tatizo la Arusha hata mimi nikienda huko nikafika bar nikatoa ofa za bia na supu za ulimi kesho mji mzima watasema Spike Lee ni bilionea. Data za kuwajua mabilioni zinapatikana Forbes Magazine.

Kaka kashfa hii
 
Back
Top Bottom