Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
zama zile kulitokea vifo katika mazingira ya ajabu ajabu sana na hofu ya sumu iuayo taratibu ilikuwa dhahiri. Nani anamkumbuka Stan Katabalo. mwandishi mahiri wa gazeti la 'Mfanyakazi' aliyelisimamia kidete suala la Loliondo....nae alikufa kimya kimya...kama Kibona na Rutihinda! Upinzani utakapochukua nchi ni baadhi ya vifo ambavyo itabidi vipelelezwe kuujua ukweli. na Horrace Kolimba alikufaje?