Sababu ya kifo cha Steven Kibona na Gilman Rutihinda

Status
Not open for further replies.
walikufa na Ukimwi na bado mpaka leo gonjwa hilo linateketeza wafanyakazi kibao pale BOT Na hazina hata Balal kaondoka nao .Lyumba na Dr IR Ni waathirika isitoshe kuhusu Gilman nawajuwa mpaka ndugu zake wa Balewa st. Mwanza wenyewe wanakiri aliumia na HIV Ndio maana hata mke wake pia alifuatia muda mfupi baada ya kifo chake huko Ngara. Ukweli pale BOT na hazina Panatisha ugonjwa bado ungali unawatesa
Chimo,'
Nakuomba uache uongo. Mke wa marehemu Rutihinda ameolewa na anadunda mzima kabisa mjini Nairobi.
 
Kibona hakufa kwa Ukimwi- kifo chake kilikuwa cha mambo ya ukoo na familia. Kilitoka kwenye familia yao hilo kwa watu wa Ileje wanalielewa sana. Siwezi kulielezea vizuri watu wa Mby wanaweza kusema vizuri. Ni kama vile kulikuwa na kuteketeza familia yao maana wengi walikufa mpaka pale walipoenda kufunga huo mnyororo. Kama kulikuwa na umafia lakini haukuwa chanzo cha kifo.

Tuwaache marehemu wapumzike, si vizuri kuwasema marehemu vibaya hasa ukizingatia walilitumikia taifa kwa moyo na uadilifu. Pia wana familia zao ambapo wanaposoma haya wanapatwa na uchungu- just imagine angekuwa ni baba yako anasemwa hiyo...............tuwe na heshima kwa marehemu waliotutumikia kwa uaminifu

Kuaminisha watu uongo kuwa ukweli ni hatari.Nani aliyekudanganya kua kwenye ukoo kulikua na ugomvi.Mimi ni mmoja wa familia HUO NI UONGO!!km unafahamu kindali ULI LITUNGULU/LIMYASHI
 
Jamani siyo hivyo. Niliwahi kuongea na daktari mmoja wa Muhimbili alinidokeza kuwa wale watu walikuwa na NGOMAwakaenda nje kubadilisha damu, lakini kwa kuwa kipindi kile utaalam huo ulikuwa haujashamiri, mambo yakawaendea kombo. Kumbuka kuwa walikuwa wanafia nje na kuletwa maiti kama sijakosea.:msela:

Hakuna swala la kubadili damu kwa wagonjwa wa ukimwi, kama daktari alikuambia hivyo ni kilaza tiba kama hiyo haijawahi kuwepo wala haipo sasa.
 
Uzushi, uzushi, uzushi na uongo babu kubwa. You don't undermine the intelligence of Tanzanians mkidhani mtazusha na wao wataamini tu. Mnajitia kitanzi wenyewe na chama chenu kitakufa kifo cha fofofo. Siku za muongo kama zile za mwizi ni arubaini. Na kila mzushi hatima yake ni kugunduliwa na kuhadhirika kweli kweli. Wazushi wangapi walipita dunia hii na leo hawako. Uzushi ni laana hivyo kila ukizuwa ujuwe unalaanika.
 
jamani humu naona watu wanajibu hoja kwa visababu vya kijinga sana hadi inakera jaribuni kufikiria kwanza haiwezekani jitu likadai eti ukimwi ndio uliwaua just ndani ya miezi tu mbona wake zao bado wapo? Mama Kibona yupo Mikocheni B kule mzima wa afya ungekuwa ukimwi si angekufa zamani?

Jitu lingine linadai vyakula that's stupid comment kama hizo inafaa ziwe zinachangiwe kwenye kipindi cha mitikisiko ya pwani cha redio times fm sio humu jf humu ni kwawatu wenyeupeo mkubwa wa kufikiria,kuna vifo vimetokea ktk taifa hili mpaka leo vimeacha maswali coz haijulikani kifo kilikuwa cha kupangwa au la au kama cha kupangwa nani na nani walihusika embu ona listi hii hapa chini

1.kifo cha sokoine(haujulikani kama ilikuwa ajali ya kawaida au la)
2.kifo cha karume(haijulikani nani alihusika )
3.kifo cha steven kibona(inasadikiwa alilishwa sumu)
4.kifo cha rutihinda(inasadikika sumu)
5.meja gen kombe(mkuu wa tiss alipigwa risasi)
6.malek mzirai(aliandika kitabu kuhusu kasella bantu)
7.mchungaji uria simango
8.mousa lee member(aliteka ndege ya tz akauwawa uk alikokimbilia)
9.gavana balali(haijulikani kama kafariki)
10.horice kolimba (sumu inasadikiwa)
11.prof chachage seth chachage (alikufa baada ya kuandika kitabu cha makuwadi wa soko huria)
12.kifo cha chacha wangwe
13.kifo cha david mwaikambo

na wengine wengi list yao ni endless wengine wameuwawa bila ya jamii kujua lakini ukiangalia vifo vya hao wote vinashare kitu kimoja sawa ambacho nikwamba wote vifo vyao vilitokea just baada ya kutofautiana na viongozi wa nchi either hawakutii maagizo yao kwa manufaa ya wao viongozi au walifanya mambo ambayo yaliwakera hao viongozi so jitu jinga lenye ufinyu wa mawazo linasema eti vyakula au hiv kweli hiv inakuua tu mara baada ya kutofautiana na mheshmiwa? Wengine bakini wasomaji tu humu
 
Orodha ndefu tu,

Bwana Rwegasira wa saga la TRL juzi tu,

Amina Chifupa alikuwa anataka kutaja orodha ya wafanyabiashara ya kulevya na akafa siku ya madawa ya kulevya duniani, ???????....!!!!!!
 
binadamu hamna shukurani


yote aliyofanya mwinyi kuleta neema nchi hii
na uhuru wa kuongea
shukurani yake ni kumsingizia kuwa ni muuaji sio?
 
afadhali hao walienda india, Kutokana na wananchi kuamini kuwa kifo cha Shelembi hakikuwa cha kawaida, mwakilishi wa Serikali kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, William Nsanzugwanko alizomewa na wananchi wakati akisoma salamu za mkoa. Wananchi hao walikuwa wakisema serikali imeua mtu wao na kwamba ni kifo cha kutengenezwa.
hiyo michezo yakini ipo.
 
Uzushi, uzushi, uzushi na uongo babu kubwa. You don't undermine the intelligence of Tanzanians mkidhani mtazusha na wao wataamini tu. Mnajitia kitanzi wenyewe na chama chenu kitakufa kifo cha fofofo. Siku za muongo kama zile za mwizi ni arubaini. Na kila mzushi hatima yake ni kugunduliwa na kuhadhirika kweli kweli. Wazushi wangapi walipita dunia hii na leo hawako. Uzushi ni laana hivyo kila ukizuwa ujuwe unalaanika.

Chama cha Mauaji ni noma, nasikia Seith Chachage naye pia aliuawa, aliwekewa mecury kwenye mic alipokuwa akihutubia Kibaha ikaharibu mfumo wake wa upumuaji.
 
Kimsingi naweza kukubaliana na sababu hizo mbili, kwa sababu katika siasa za Tanzania, ukipingana na matakwa ya wakubwa basi lolote linaweza kutokea. Kumbuka kwamba wizara ya fedha (na hazina pia) ni wizara nyeti sana kiasi kwamba iwapo utapishana kauli na wenye nchi, huenda likakupata lolote, ukichukulia kilichowapata Meghji, Mramba, Balali, Gray Mgonja, Liyumba na wengine.
Lisemwalo lipo!

Hizi sababu ndizo zilizotumika ku-justify uamuzi uliofanywa dhidi ya wazalendo wetu hao....... Lakini they wont go un mourned, nothing serious goes that easy.
 
Jamani,

Kwa muendelezo wa maongezi haya inaonekana kama hawa WAKUBWA huwa hawafi kwa kudra za Mwenyezi Mungu au ilivyo ni kwamba wenaopaswa kufa kwa kudra za Mwenyezi Mungu ni walalahoi tu. Nataka kuuliza hivi Mke wa Kibona au Gilman kuwa hai hadi leo ina maana kwamba hao jamaa hawawezi kuwa walifufa kwa NGOMA? Mbona huku mitaani tuna jamaa tena ni ndugu wa damu wamekufa kwa NGOMA na wake/waume zao bado wanadunda na walishaolewa/walishaoa na wamepata watoto wengine! Katika watu wanaotajwa humu wapo ambao ulikuwa ukiwaangalia kabla hata hawajashika nyadhifa hizo za Hazina/BOT walikuwa wanaonekana wamechoka (Well kwa macho yangu siyo kwa vipimo vya kitabibu) Yawezekana ilijulikana mapema watashika nyadhifa hizo baadaye kwa hiyo wakalambishwa 'upupu' kabla kuandaliwa KUFA!

Kwa nini watu wengine wakisema fulani alikufa kwa nanihii mtu mwengine anakuja juu kwa lugha za kindava kuwa huyo hakufa kwa naniii ila alikufa kwa naniliii! Mbona yeye haleti ushahidi ila anataka tumuamini yeye.

Ukweli utabaki kuwa ukweli. Huu ugonjwa wa 'Juliana' umeondoka na wengi tu na bado utaondoka na wengi! Nataka niulize leo yule babu wa Loliondo akisema dawa yake haitibu UKIMWI zile foleni zitaendelea? Hawa viongozi Wakuu wanaopanga foleni kule Loliondo niambiei ni wangapi waliokwenda kutoa sumu ya Magonjwa manne kasoro UKIMWI ambao ni miongoni mwa magonjwa matano anayotibi babu.

Jamani ukweli ni kwamba TAIFA LINAUMWA! Nani anaweza kunyoosha kidole kwamba yu salama? Fuatilieni pale Wizara ya Elimu, wana data nzuri tu za ugonjwa wa Kibona na Kabeho. Si mmeona sasa yule 'mundali' amekuja na ya kwake kwamba Kibona alikufa kwa sababu za KIUKOO.

Sishangai lakini hata Marekani wanaamnini Elvis Presley na Tupac Shakur hawajawahi kufa sembuse sisi wenye tiba ya HALI YA JUU ndio kina Mwabulambo wafe kirahisirahisi hivyo. Lazima ni Internet ndio itakuwa imewaondoa!
 
- Sawa sawa mkuu mimi Josephine ni mshikaji wangu sana infact amezaa na mtoto na huyu jamaa aliyemuoa sasa!

FMEs!

Ni kweli kabisa na juzi juzi alikuwepo hapo BOT kwenye "Gilman Rutihinda Memorial Lecture" akiwa mzima wa afya njema. Inaonekana JF siku hizi kuna ma-Bush Doctor wengi sana
 
sina uhakika na gr alikufa na nini. Lakini kibona alikufa na ngoma na mwanamke alimuua ndiye alikuja kumuua na charles kabeho. Kibona alikuwa waziri wa elimu na baadaye akarithiwa na charles kabeho.

Familia ya rutihinda ilipatwa na janga la kufiwa na watoto watatu ndani ya mwezi mmoja. Alianza gilman wakati msiba haujaisha akafuatia finehas, mdogo wao alex aliyekuwa akiishi marekani alikuja msibani alipofika na yeye baada ya siku mbili akavuta. Makaburi yao yapo pale buguruni kwa mnyamani unaweza kwenda kuangalia tofauti ya siku walizopishana.

duuuh mzee hii ni kali, sasa inamaana huyo aliomuua aligombana na familia nzima?? Au what happened....?? Tupe data mzee

wengine hatuna makuu ya kujifanya tunajua kumbe hamna lolote....
 
Jamani siyo hivyo. Niliwahi kuongea na daktari mmoja wa Muhimbili alinidokeza kuwa wale watu walikuwa na NGOMAwakaenda nje kubadilisha damu, lakini kwa kuwa kipindi kile utaalam huo ulikuwa haujashamiri, mambo yakawaendea kombo. Kumbuka kuwa walikuwa wanafia nje na kuletwa maiti kama sijakosea.:msela:

Rutihinda hakuwa na ngoma, nakataaaaa, mkewe kaolewa anaishi vizuri. kifo ni kifo tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom