Shukrani A. Ngonyani
Attention Seeker... Cheap Popularity.. Low Thoughts...
Usitafute umaarufu wa kijinga wewe... Pamoja na yote binadamu atabaki kuwa binadamu tu... Huna haja ya kumuhukumu Komba... Wewe ukiwa kama nani katika mamlaka ya roho... Wewe umetenda mangapi ya kuwaudhi na kuwaharibia maisha toka uzaliwe mpaka hapo ulipo??? Unadhani una utakatifu wa kumuita Komba alikuwa mchafu...
Kama wewe ni Chadema (am inn as well) unadhani mtoto wa marehemu ambae ni Chadema mwenzio akisoma hapa atajisikiaje?? Kuna wakati mwingine tusitafute umaarufu wa kwenye mitandao huku nafsi zikitusuta...
Think before you act!!!!
Mungu akusamehe bure maana hujui ulitendalo....
Kila binadam ana mapungufu yake,,yako hatuyajui cz hatukufaham vizuri
Mwenye kuhukum.ni ...Allah tu!!
nipo na itikadi tofauti na aliyokua nayo Marehem ..ila majukumu ya Mungu tusiingilie!!!
1. Ni mtu ambaye ameifikisha nchi hapa ilipo kwa kusaidia kurubuni maskini wasio na elimu kwa vinyimbo vyake ili waichague CCM na kuwapiga vijembe wapinzani.
1. Ni mtu aliyehamia Dar badala ya kuishi Liuli au hata Nyasa, huku akijua kuwa yeye ni mwakilishi wa wananchi. Tena huko Dar hadi mtaa anaoishi ukapewa jina lake kwa umaarufu wake.
3. Ni mtu aliyetaka kulitumbukiza taifa ktk machafuko kwa kauli yake ya kuwa iwapo rasimu ya katiba ya jaji warioba ingepita "angeingia msituni kupigana".
4. Ni mtu ambaye hakupenda demokrasia hata kidogo na alitusi mara kadhaa vyama visivyo madarakani na kutoa lugha ya kejeli.
5. Ni mtu aliyemtukana sana jaji Warioba kuliko watu wote nchi hii. Alitoa matusi, kejeli na dharau dhidi ya jaji Warioba huku akiwa anajua/hajui kuwa mzee Warioba alikuwa "mjumbe" tu wa kile walichosema watanzania.
6. Mwanae Komba, Fred alijiunga na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) punde tu alipomaliza kuchukua shahada yake pale SAUT na akamwelezea tabia ya baba yake kuwa ni "MBAYA" na miongoni mwa watu walioichukia demokrasia ni huyu marehemu
kwa lipi nipange safari kwenda nyumbani kumzika huyu jamaa? Sina wivu wala inda kwa ndugu yangu, mbunge wangu wa kule nyumbani wala chuki nae. "Ila ukweli hastahili kupata pole ya kifo wala faraja ya kifo kutoka kwa wazalendo na wapinga ukoloni weusi"
Shukrani a. Ngonyani
Machi 03, 2015
Dar Es Salaam
Ngonyani@naij.com/sirngonyani@gmail.com
+255 784 37 97 99
Ngonyani wewe ni mjinga wa kutupwa,Komba kuish Dar na kupeleka huduma kwa wananchi wake haramu,wewe kuishi Dar na kuwatelekeza wazazi wako hapa kijijini halali?. Rudi huku mazazi wako ombaomba sasa hivi, kwanza tulikukuwa hutujui uko wapi asante kwa kufahamisha kuna siku tutawaleta wazazi wako Dar.
Tangu enzi ya uhai wake marehem tumemjadil sana hapa,mijadala ilionesha hakua mwadilifu,huo ndo ukweli
Tatizo hujui kwa nini watu huenda kuzika.Kuhudhuria Mazishi kwa mtu uliyemchukia sana ni muhimu.Uende ukashuhudie anavyozikwa utupie na udongo urudi umefurahi kuwa uliyemchukia kafa kweli na wewe umeshuhudia na kurusha udongo kwa hasira kwenye kaburi lake.
Halafu kafa kwani anakuona kuwa hujaenda kuzika? Wewe utakuwa na ugonjwa wa akili.Naomba yeyote mwenye namba za hospitali ya vichaa mirembe ampe huyu ngonyani amtumie kwenye simu yake ambayo kaiweka wazi.
shukrani a. Ngonyani
attention seeker... Cheap popularity.. Low thoughts...
Usitafute umaarufu wa kijinga wewe... Pamoja na yote binadamu atabaki kuwa binadamu tu... Huna haja ya kumuhukumu komba... Wewe ukiwa kama nani katika mamlaka ya roho... Wewe umetenda mangapi ya kuwaudhi na kuwaharibia maisha toka uzaliwe mpaka hapo ulipo??? Unadhani una utakatifu wa kumuita komba alikuwa mchafu...
Kama wewe ni chadema (am inn as well) unadhani mtoto wa marehemu ambae ni chadema mwenzio akisoma hapa atajisikiaje?? Kuna wakati mwingine tusitafute umaarufu wa kwenye mitandao huku nafsi zikitusuta...
Think before you act!!!!
nimekuhurumia sana kijana , pole sana kwa mapovu mengi ! Hivi huyu Komba alivyokuwa akitukana watu hakujua kama ana watoto ?Shukrani A. Ngonyani
Attention Seeker... Cheap Popularity.. Low Thoughts...
Usitafute umaarufu wa kijinga wewe... Pamoja na yote binadamu atabaki kuwa binadamu tu... Huna haja ya kumuhukumu Komba... Wewe ukiwa kama nani katika mamlaka ya roho... Wewe umetenda mangapi ya kuwaudhi na kuwaharibia maisha toka uzaliwe mpaka hapo ulipo??? Unadhani una utakatifu wa kumuita Komba alikuwa mchafu...
Kama wewe ni Chadema (am inn as well) unadhani mtoto wa marehemu ambae ni Chadema mwenzio akisoma hapa atajisikiaje?? Kuna wakati mwingine tusitafute umaarufu wa kwenye mitandao huku nafsi zikitusuta...
Think before you act!!!!
Mama Makinda amemuombea MSAMAHA JANA.
Marehemu alikuwa siyo mpenda amani,hadi alitishia kuingia msituni.Sasa kwenye msitu wa moto atapumzikaje.Je, usipoenda kumzika hatazikwa?
Itasaidia nini kugombana na maiti?
.................Pumzika kwa amani John Komba.
umempa makaavu vyema.lengo la huyu jamaa ni kutafuta umarufu ndo mana hat anatumia jina lake picha yaake na namba ya simu.alishawai mtumia igp majina ya wala na wauz unga eti kwa madai kafanya utafiti na yuko tayari kushirikishwa alijua atapewa kazi ya usalama.aaaaaaahaa mavi kweli huyu jamaa