Kwanini suala la katiba mpya linaonekana gumu sana wakati uzoefu tunao kupitia Tume ya Warioba?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,271
2,025
Hakika naona Mambo si Shwari juu ya Suala la KATIBA MPYA.Ukimya wa SERIKALI Unaadmshuria UGUMU wa Suala hilo.Binafsi niliamini Suala hili kwa kuwa sio geni kwa Watanzania kutokana na UZOEFU tulioupata wakati wa TUME ya WARIOBA ingekuwa ni kuyapitia MAPUNGUFU yaliyojitokea wakati ule na Kuyarekebisha na pia Kuwapitia Wananchi Ambao hawakupata nafasi ya kutoa MAONI na MAPENDEKEZO yao.

Mara ya Mwisho kusikia Kauli juu ya KATIBA MPYA ni kuwa Mchakato unatakiwa uanze upya kwa wananchi kupewa Elimu ya Katiba Elimu ambayo TUME ya Jaji WARIOBA iliifanya kwa Kugawa Nakala za Katiba iliyopo na VIPEPERUSHI vyake kwa Wananchi wote.

Baada ya hiyo Kauli hakuna kinachoendelea badala yake ni KUANZA kwa KAMPENI za kumwombea KURA kiongozi wa CCM kabla ya Muda wa Kampeni kuanza na TUME ya Uchaguzi ambayo SIO HURU ipo kimya na MSAJILI wa VYAMA nae yupo Kimya Kama vile hayupo Nchini.

DEMOKRASIA ya kweli ni Uwepo ya KATIBA ya WANANCHI TUME HURU YA UCHAGUZI na Uchaguzi Wa HAKI.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono HOJA 🙏

Judge Warioba majuzi amerudia kuwa muda uliopo unatosha kutupatia Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wowote.

Waache waendelee kushupaza shingo!!
 
Naunga mkono HOJA

Judge Warioba majuzi amerudia kuwa muda uliopo unatosha kutupatia Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wowote.

Waache waendelee kushupaza shingo!!
Uoga na Unafiki wa viongozi wa ccm waliunda Vikosi kazi kutupotezea muda wa kuendeleza ilipoishia Tume ya Warioba mpaka leo tungekuwa na KATIBA MPYA pia Tume huru

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Yaani tuache kulima na mvua zote hizi tuhangaike na tamaa za watu wachache kujitengenezea vyeo. Mahindi na viazi vimestawi, watoto wanajinoma.

Amani imejaa tele hapa kijijini, na ka disco kamepigwa.

Nikiangalia lami, mahospitali, mashule, daraja la busisi mwanza, bwawa wa mwalimu nyerere.Bashe analeta ma mbolea.

Hayo makaratasi sijui mavitabu mnaita katiba sisi ya nini huku kijijini? Mnatupotezea muda tu
 
Hakika naona Mambo si Shwari juu ya Suala la KATIBA MPYA.Ukimya wa SERIKALI Unaadmshuria UGUMU wa Suala hilo.Binafsi niliamini Suala hili kwa kuwa sio geni kwa Watanzania kutokana na UZOEFU tulioupata wakati wa TUME ya WARIOBA ingekuwa ni kuyapitia MAPUNGUFU yaliyojitokea wakati ule na Kuyarekebisha na pia Kuwapitia Wananchi Ambao hawakupata nafasi ya kutoa MAONI na MAPENDEKEZO yao.

Mara ya Mwisho kusikia Kauli juu ya KATIBA MPYA ni kuwa Mchakato unatakiwa uanze upya kwa wananchi kupewa Elimu ya Katiba Elimu ambayo TUME ya Jaji WARIOBA iliifanya kwa Kugawa Nakala za Katiba iliyopo na VIPEPERUSHI vyake kwa Wananchi wote.

Baada ya hiyo Kauli hakuna kinachoendelea badala yake ni KUANZA kwa KAMPENI za kumwombea KURA kiongozi wa CCM kabla ya Muda wa Kampeni kuanza na TUME ya Uchaguzi ambayo SIO HURU ipo kimya na MSAJILI wa VYAMA nae yupo Kimya Kama vile hayupo Nchini.

DEMOKRASIA ya kweli ni Uwepo ya KATIBA ya WANANCHI TUME HURU YA UCHAGUZI na Uchaguzi Wa HAKI.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Uzoefu unaonyesha kwamba hakuna nchi yoyote ile hapa duniani ambayo Wananchi wa nchi husika wamejiandikia Katiba yao ya nchi waitakayo bila ya Wananchi hao kulazimika kwanza "kudundana" na Watawala wao waliokuwepo. Hakuna nchi ya namna hii hapa duniani, huenda labda Tanzania tunakaribia kuvunja rekodi hii ya dunia.

"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."
Martin Luther King Jr.
 
Hakika naona Mambo si Shwari juu ya Suala la KATIBA MPYA.Ukimya wa SERIKALI Unaadmshuria UGUMU wa Suala hilo.Binafsi niliamini Suala hili kwa kuwa sio geni kwa Watanzania kutokana na UZOEFU tulioupata wakati wa TUME ya WARIOBA ingekuwa ni kuyapitia MAPUNGUFU yaliyojitokea wakati ule na Kuyarekebisha na pia Kuwapitia Wananchi Ambao hawakupata nafasi ya kutoa MAONI na MAPENDEKEZO yao.

Mara ya Mwisho kusikia Kauli juu ya KATIBA MPYA ni kuwa Mchakato unatakiwa uanze upya kwa wananchi kupewa Elimu ya Katiba Elimu ambayo TUME ya Jaji WARIOBA iliifanya kwa Kugawa Nakala za Katiba iliyopo na VIPEPERUSHI vyake kwa Wananchi wote.

Baada ya hiyo Kauli hakuna kinachoendelea badala yake ni KUANZA kwa KAMPENI za kumwombea KURA kiongozi wa CCM kabla ya Muda wa Kampeni kuanza na TUME ya Uchaguzi ambayo SIO HURU ipo kimya na MSAJILI wa VYAMA nae yupo Kimya Kama vile hayupo Nchini.

DEMOKRASIA ya kweli ni Uwepo ya KATIBA ya WANANCHI TUME HURU YA UCHAGUZI na Uchaguzi Wa HAKI.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
WAPUMBAVU WOTE NILIWAAMBIA ILIKUWA RAHISI KUPATA KATIBA MPYA NA NZURI CHINI YA JPM KULIKO HUYU ZUZU TULIYE NAYE SASA .....WAPUMBAVU MKANIONA MIMI NI MJINGA NILIPO SEMA HIVYO ....UKWELI NI KWAMBA CHINI YA CCM YA WAHUNI WALIOPO SASA NI VIGUMU KUPATA KATIBA AU KUPATA KATIBA YOYOTE YA MAANA ... CHAMA KAMA CHA CHADEMA KINAJIDANGANYA SANA ....KWANZA BWANA MBOWE HANA AKILI YOYOTE NI UZUZU KUWA CHINI YA ZUZU KAMA MBOWE ....NA APA KAMA MBOWE ANGEPEWA RUHUSA KUWA YEYE ATAKACHO KIANDIKA KIWE NDIYO KATIBA BASI ASINGE WEZA KUANDIKA KATIBA YOYOTE YA MAANA MAANA MBOWE ANA AKILI YOYOTE KICHWANI..HUO NDIYO UKWELI
 
WAPUMBAVU WOTE NILIWAAMBIA ILIKUWA RAHISI KUPATA KATIBA MPYA NA NZURI CHINI YA JPM KULIKO HUYU ZUZU TULIYE NAYE SASA .....WAPUMBAVU MKANIONA MIMI NI MJINGA NILIPO SEMA HIVYO ....UKWELI NI KWAMBA CHINI YA CCM YA WAHUNI WALIOPO SASA NI VIGUMU KUPATA KATIBA AU KUPATA KATIBA YOYOTE YA MAANA ... CHAMA KAMA CHA CHADEMA KINAJIDANGANYA SANA ....KWANZA BWANA MBOWE HANA AKILI YOYOTE NI UZUZU KUWA CHINI YA ZUZU KAMA MBOWE ....NA APA KAMA MBOWE ANGEPEWA RUHUSA KUWA YEYE ATAKACHO KIANDIKA KIWE NDIYO KATIBA BASI ASINGE WEZA KUANDIKA KATIBA YOYOTE YA MAANA MAANA MBOWE ANA AKILI YOYOTE KICHWANI..HUO NDIYO UKWELI
Katiba ya nchi siyo mali ya Mbowe, siyo ya Chadema, siyo ya CCM, siyo ya mtu yoyote yule peke yake na wala siyo ya kikundi chochote kile cha watu, Bali Katiba ya Nchi ni mali ya Wananchi wote waliopo ktk nchi husika. Hivyo, kwa umoja wao Wananchi hao wanapaswa kuidai na kuipigania kutoka kwa Mdhalimu yoyoye yule anayewakwamisha.
 
Yaani tuache kulima na mvua zote hizi tuhangaike na tamaa za watu wachache kujitengenezea vyeo. Mahindi na viazi vimestawi, watoto wanajinoma.

Amani imejaa tele hapa kijijini, na ka disco kamepigwa.

Nikiangalia lami, mahospitali, mashule, daraja la busisi mwanza, bwawa wa mwalimu nyerere.Bashe analeta ma mbolea.

Hayo makaratasi sijui mavitabu mnaita katiba sisi ya nini huku kijijini? Mnatupotezea muda tu
Wajinga mpo wengi sana nchi hii
Ndio maana Madui 3 wa Nchi yaani UJINGA UMASIKI NI MARADHI mnatembea navyo mpaka mnadhani MUNGU kawapa kumbe ni hiyo hiyo KATIBA MBOVU ILIYOPO

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Hakika naona Mambo si Shwari juu ya Suala la KATIBA MPYA.Ukimya wa SERIKALI Unaadmshuria UGUMU wa Suala hilo.

DEMOKRASIA ya kweli ni Uwepo ya KATIBA ya WANANCHI TUME HURU YA UCHAGUZI na Uchaguzi Wa HAKI.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Mkuu Mzee wa Twitter , kwanza naunga mkono hoja, Kuna mtu, mwanzo nilidhani kwasababu yeye sio mwanasheria, hivyo hajui umuhimu wa katiba, kwa miaka miwili watu tumejitolea kumuelimisha, na pia tukamuombea kinga kwa Watanzania, asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi, Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!. hivyo mwaka huu tusipobadili katiba kurejesha haki, tutajua kuwa kumbe sio kutokujua katiba na sheria, ni kiburi tuu!, hivyo kama ni kiburi... naomba nisimalizie...
P
 
Katiba ya nchi siyo mali ya Mbowe, siyo ya Chadema, siyo ya CCM, siyo ya mtu yoyote yule peke yake na wala siyo ya kikundi chochote kile cha watu, Bali Katiba ya Nchi ni mali ya Wananchi wote waliopo ktk nchi husika. Hivyo, kwa umoja wao Wananchi hao wanapaswa kuidai na kuipigania kutoka kwa Mdhalimu yoyoye yule anayewakwamisha.
Sasa si ndiyo nilicho sema ? Kuwa kupata katiba chini ya viongozi wahuni na mafisadi wa sasa ni ndoto ya mchana ...pia mbowe hana akili yoyote ya kujua nini kinatakiwa kwenye katiba mpya ili hiyo katiba iwe nzuri na bora na ya haki katika taifa letu ...mbowe na zitto kabwe ni mazuzu wawili.
 
Hakika naona Mambo si Shwari juu ya Suala la KATIBA MPYA.Ukimya wa SERIKALI Unaadmshuria UGUMU wa Suala hilo.Binafsi niliamini Suala hili kwa kuwa sio geni kwa Watanzania kutokana na UZOEFU tulioupata wakati wa TUME ya WARIOBA ingekuwa ni kuyapitia MAPUNGUFU yaliyojitokea wakati ule na Kuyarekebisha na pia Kuwapitia Wananchi Ambao hawakupata nafasi ya kutoa MAONI na MAPENDEKEZO yao.

Mara ya Mwisho kusikia Kauli juu ya KATIBA MPYA ni kuwa Mchakato unatakiwa uanze upya kwa wananchi kupewa Elimu ya Katiba Elimu ambayo TUME ya Jaji WARIOBA iliifanya kwa Kugawa Nakala za Katiba iliyopo na VIPEPERUSHI vyake kwa Wananchi wote.

Baada ya hiyo Kauli hakuna kinachoendelea badala yake ni KUANZA kwa KAMPENI za kumwombea KURA kiongozi wa CCM kabla ya Muda wa Kampeni kuanza na TUME ya Uchaguzi ambayo SIO HURU ipo kimya na MSAJILI wa VYAMA nae yupo Kimya Kama vile hayupo Nchini.

DEMOKRASIA ya kweli ni Uwepo ya KATIBA ya WANANCHI TUME HURU YA UCHAGUZI na Uchaguzi Wa HAKI.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Ngoja nikusaidie Mjumbe uzinduke naona umejaa tongotongo za wapinzani, yaani Wasaliti wetu Katiba yetu ya 1977 iliyorudiwa 1992 kuingiza vyama vingi ni nzuri mno.

Ngoja nikupe mafanikio.

Mosi, Katiba imetupa umoja, hatufuati ukabila kama CHADEMA. Hapo zamani maendeleo yote yalienda huko kwa vile Waziri Mkuu, Wa Fedha, wa Viwanda, wa Elimu, wote walitoka huko ndiyo maana kumeendelea.

Kwao wana airports 4, University 5, referral hospital 5, huku idadi yao hawazidi milioni 5 mikoa miwili, lami hadi mlimani. Linganisha na Chato kwa Magufuli au Lindi kwa Kassim Majaliwa waziri mkuu - hawana kitu hata tawi la CRDB ni nongwa. Juzi Chato ikajenga airport MOJA ihudumie mikoa 6 watu milioni 8 wakapiga kelele eti upendeleo. Lindi wakapelekewa Hospitali ya rufaa ikawa nongwa. Tabia ya sasa iko sawa, haya ya nyuma Mama Samia yuko mbioni kuyatekebisha. CHADEMA wanataka serkali ya majimbo wajitegemee Kikabila hatukubali.

Ni Rais pekee (wanadai eti ana madaraka yapunguzwe awe figurehead wamuyumbishe kama wafanyavyo Lucas Malema na Raila) ndiyo anaweza kusawazisha utofauti huu. Ukiwaachia madiwani itakuwaje huku KIA ilishajenga na Moshi Airport ipo na Arusha Airport ipo?

Pili, Katiba hii hii imegomboa South Africa, Namibia, Zimbabwe, Msumbiji, Bosnia, Palestina: inatosha, dunia nzima wanatuheshimu. Linganisha na manyangau wa Kenya au ukabila wa CHADEMA hata Vitimaalum halali wanawaita Covid kwa vile tu si kabila lao.

Tatu, mwaka 1978 tulivamia na Nduli Iddi Amin akateka Mkoa wa Kagera akidai Nyerere ni Mkristo akisaidiwa na PLO. Kenya hawakufungua hata mdomo kumlaani au kutusaidia damu. Umoja wetu ukatuwezesha kujishindia, wa kwanza kufa walikuwa mashujaa wa KMKM kupinga mbizi kuvuka Mto Kagera kumng'oa adui. Sie hatuhitaji Katiba mpya, hii inatosha.

Mwaka 2015 kwa kutumia mamluki wa Lowassa kwa misingi ukabila CHADEMA ilishinda 42% ya kura na Wabunge 200. Kaja tundulissu na matusi yake kawatapanya wabunge kabaki mmoja kama wa dawa, tena si kabila lao wakokosa raha; wakasusia matokeo (hawajui kuwa matokeo huwa hayasusiwi yakishatangazwa) hadi leo wanataka "maridhiano" wapewe viti vya bure. Hatukubali.

Nendeni Kenya huko ndiyo kuna tumehuru na ukabila tele. Raila alitaka kila kitu akapewa kila kitu lakini hatridhiki. Alitaka Rais ashitakiwe ili Nchi iwe dhoofu kwa maadui na wasaliti, akamshitaki, akashindwa

Hatuma muda wa kupiga porojo. Kama mnataka viti vya chee au serkali ya ukabila majimbo, wekeni kwenye Ilani tupige kura, kamwe hatutokubali kuwapa chee. Iweje vitimaalum wanawake wachaguliwe na wanaume?

I repeat hatuhitaji Katiba tuliyonayo yatosha. Kama unataka Katiba, weka kwenye Ilani uone kama Wananchi wanataka, ukishinda tekeleza Ilani atakupinga nani?

Mashoga sasa wanaongelea kila mahali, CHADEMA iko kimya na kada wao Father Kitima yuko kimya kwa vile ni sera rasmi ya CHADEMA. Yuko kimya! hadi Maaskofu waanza kujitokeza mmoja - sisi twasema Katiba yetu inatosha, thank you.
 
Naunga mkono HOJA

Judge Warioba majuzi amerudia kuwa muda uliopo unatosha kutupatia Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wowote.

Waache waendelee kushupaza shingo!!
Jaji Warioba anataka Serkali 3, anamwakilisha nani? Hivi aliteuliwa na nani? Tume ya sasa na Jaji Mkuu na IGP wanateuliwa na Rais mnapna vibaya, kwani Warioba aliteuliwa na nani? Au mnataka watoke Kenya au mbinguni? Kwa kifupi tuache Mwaka 2025 tutumie Katiba iliyopo ila CHADEMA tuwaombe waweke Katiba kwenye Ilani yao tuipigie kura, wakishindwa ndiyo tuwe na Katiba mpya 2030 ikiruhusu mashoga na utawale wa Kikabila. Haya ni mambo muhimu sana Bro, hakuna atakayewapa chee, eti kwa "maridhiano"!!
 
Ngoja nikusaidie Mjumbe uzinduke naona umejaa tongotongo za wapinzani, yaani Wasaliti wetu Katiba yetu ya 1977 iliyorudiwa 1992 kuingiza vyama vingi ni nzuri mno.

Ngoja nikupe mafanikio.

Mosi, Katiba imetupa umoja, hatufuati ukabila kama CHADEMA. Hapo zamani maendeleo yote yalienda huko kwa vile Waziri Mkuu, Wa Fedha, wa Viwanda, wa Elimu, wote walitoka huko ndiyo maana kumeendelea.

Kwao wana airports 4, University 5, referral hospital 5, huku idadi yao hawazidi milioni 5 mikoa miwili, lami hadi mlimani. Linganisha na Chato kwa Magufuli au Lindi kwa Kassim Majaliwa waziri mkuu - hawana kitu hata tawi la CRDB ni nongwa. Juzi Chato ikajenga airport MOJA ihudumie mikoa 6 watu milioni 8 wakapiga kelele eti upendeleo. Lindi wakapelekewa Hospitali ya rufaa ikawa nongwa. Tabia ya sasa iko sawa, haya ya nyuma Mama Samia yuko mbioni kuyatekebisha. CHADEMA wanataka serkali ya majimbo wajitegemee Kikabila hatukubali.

Ni Rais pekee (wanadai eti ana madaraka yapunguzwe awe figurehead wamuyumbishe kama wafanyavyo Lucas Malema na Raila) ndiyo anaweza kusawazisha utofauti huu. Ukiwaachia madiwani itakuwaje huku KIA ilishajenga na Moshi Airport ipo na Arusha Airport ipo?

Pili, Katiba hii hii imegomboa South Africa, Namibia, Zimbabwe, Msumbiji, Bosnia, Palestina: inatosha, dunia nzima wanatuheshimu. Linganisha na manyangau wa Kenya au ukabila wa CHADEMA hata Vitimaalum halali wanawaita Covid kwa vile tu si kabila lao.

Tatu, mwaka 1978 tulivamia na Nduli Iddi Amin akateka Mkoa wa Kagera akidai Nyerere ni Mkristo akisaidiwa na PLO. Kenya hawakufungua hata mdomo kumlaani au kutusaidia damu. Umoja wetu ukatuwezesha kujishindia, wa kwanza kufa walikuwa mashujaa wa KMKM kupinga mbizi kuvuka Mto Kagera kumng'oa adui. Sie hatuhitaji Katiba mpya, hii inatosha.

Mwaka 2015 kwa kutumia mamluki wa Lowassa kwa misingi ukabila CHADEMA ilishinda 42% ya kura na Wabunge 200. Kaja tundulissu na matusi yake kawatapanya wabunge kabaki mmoja kama wa dawa, tena si kabila lao wakokosa raha; wakasusia matokeo (hawajui kuwa matokeo huwa hayasusiwi yakishatangazwa) hadi leo wanataka "maridhiano" wapewe viti vya bure. Hatukubali.

Nendeni Kenya huko ndiyo kuna tumehuru na ukabila tele. Raila alitaka kila kitu akapewa kila kitu lakini hatridhiki. Alitaka Rais ashitakiwe ili Nchi iwe dhoofu kwa maadui na wasaliti, akamshitaki, akashindwa

Hatuma muda wa kupiga porojo. Kama mnataka viti vya chee au serkali ya ukabila majimbo, wekeni kwenye Ilani tupige kura, kamwe hatutokubali kuwapa chee. Iweje vitimaalum wanawake wachaguliwe na wanaume?

I repeat hatuhitaji Katiba tuliyonayo yatosha. Kama unataka Katiba, weka kwenye Ilani uone kama Wananchi wanataka, ukishinda tekeleza Ilani atakupinga nani?

Mashoga sasa wanaongelea kila mahali, CHADEMA iko kimya na kada wao Father Kitima yuko kimya kwa vile ni sera rasmi ya CHADEMA. Yuko kimya! hadi Maaskofu waanza kujitokeza mmoja - sisi twasema Katiba yetu inatosha, thank you.
Jaji Warioba anataka Serkali 3, anamwakilisha nani? Hivi aliteuliwa na nani? Tume ya sasa na Jaji Mkuu na IGP wanateuliwa na Rais mnapna vibaya, kwani Warioba aliteuliwa na nani? Au mnataka watoke Kenya au mbinguni? Kwa kifupi tuache Mwaka 2025 tutumie Katiba iliyopo ila CHADEMA tuwaombe waweke Katiba kwenye Ilani yao tuipigie kura, wakishindwa ndiyo tuwe na Katiba mpya 2030 ikiruhusu mashoga na utawale wa Kikabila. Haya ni mambo muhimu sana Bro, hakuna atakayewapa chee, eti kwa "maridhiano"!!
Kazi bado ipo kubwa sana.
Kwa akili za namna hii, nchi ya Tz kupiga hatua za kusonga mbele inahitaji miaka mingi sana, labda baada ya miaka 3,000 ijayo.
 
Hakika naona Mambo si Shwari juu ya Suala la KATIBA MPYA.Ukimya wa SERIKALI Unaadmshuria UGUMU wa Suala hilo.Binafsi niliamini Suala hili kwa kuwa sio geni kwa Watanzania kutokana na UZOEFU tulioupata wakati wa TUME ya WARIOBA ingekuwa ni kuyapitia MAPUNGUFU yaliyojitokea wakati ule na Kuyarekebisha na pia Kuwapitia Wananchi Ambao hawakupata nafasi ya kutoa MAONI na MAPENDEKEZO yao.

Mara ya Mwisho kusikia Kauli juu ya KATIBA MPYA ni kuwa Mchakato unatakiwa uanze upya kwa wananchi kupewa Elimu ya Katiba Elimu ambayo TUME ya Jaji WARIOBA iliifanya kwa Kugawa Nakala za Katiba iliyopo na VIPEPERUSHI vyake kwa Wananchi wote.

Baada ya hiyo Kauli hakuna kinachoendelea badala yake ni KUANZA kwa KAMPENI za kumwombea KURA kiongozi wa CCM kabla ya Muda wa Kampeni kuanza na TUME ya Uchaguzi ambayo SIO HURU ipo kimya na MSAJILI wa VYAMA nae yupo Kimya Kama vile hayupo Nchini.

DEMOKRASIA ya kweli ni Uwepo ya KATIBA ya WANANCHI TUME HURU YA UCHAGUZI na Uchaguzi Wa HAKI.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
KATIBA MPYA NI FUPA GUMU SANA KWA CCM.

1. Katiba iliyopo ni bora mno kwa chama tawala na viongozi wa ccm.

Kuteua viongozi karibu 15,000 sio mchezo Mzee unakuwa very powerful sasa kubadili hapa ni kipengele.

2. Kubadili katiba kwenye term yako ya kwanza ya urais ni kujinyonga hadharani hilo hakuna anayetaka.

Hata kikwete hapo alipakwepa Alitaka abadili mwishoni mwa term yake 2014 ili amwachie mzigo mwenzake.

3. Marais wanataka kubadili baadhi ya vipengele tu kwenye katiba vingine vibaki kama vilivyo kitu ambacho wanasiasa hawataki.

4. ZANZIBAR NA TANGANYIKA.

HAPA NDIO BALAA KUBWA ZAIDI

Mwisho Katiba ni ya wananchi hivyo wananchi inatakiwa waamke na kuipambania katiba yao.
 
Hakika naona Mambo si Shwari juu ya Suala la KATIBA MPYA.Ukimya wa SERIKALI Unaadmshuria UGUMU wa Suala hilo.Binafsi niliamini Suala hili kwa kuwa sio geni kwa Watanzania kutokana na UZOEFU tulioupata wakati wa TUME ya WARIOBA ingekuwa ni kuyapitia MAPUNGUFU yaliyojitokea wakati ule na Kuyarekebisha na pia Kuwapitia Wananchi Ambao hawakupata nafasi ya kutoa MAONI na MAPENDEKEZO yao.

Mara ya Mwisho kusikia Kauli juu ya KATIBA MPYA ni kuwa Mchakato unatakiwa uanze upya kwa wananchi kupewa Elimu ya Katiba Elimu ambayo TUME ya Jaji WARIOBA iliifanya kwa Kugawa Nakala za Katiba iliyopo na VIPEPERUSHI vyake kwa Wananchi wote.
Kumbukeni kuwa katika mchakato wa maendeleo wananchi wengi bado wapo kwenye hatua za kutafuta chakula, mavazi na makazi.
Haya ya Katiba Mpya wanaona ni agenda za kisiasa!
 
Katiba mpya ni takwa la wananchi, wapeni Katiba yao wanayoitaka wakiwa bado wanaiomba Kwa amani. Jajji Warioba alishamaliza kazi mapema kabisa, kaeni mkijua wananchi wanawasubiria mtanasa kwenye mdomo wa mamba.
 
Suala la katiba mpya limetudhihirishia ni kwa kiwango gani huyu mtu tuliye naye ni mnafiki. Kwa nje anataka aonekane ni mtu mzuri lakini moyoni amejaa ulaghai na dhamira mbaya. Anafikiria zaidi namna ya kubakia kwenye urais wake kuliko ustawi waTaifa.

Rais Samia, Serikali ya CCM na CCM yenyewe hakuna aliye na dhamira ya kuona nchi inakuwa na katiba nzuri mpya. Wote wanafikiria matumbo yao na ya maswahiba zao, na siyo ustawi wa nchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom