Saada Salum Mkuya v/s Ngozi Okonjo Iweala

SASA HAO WALIOMPIGIA DEBE SAADA HAWAKUWEZA KUFANYA HEADHUNTING NA KUMPATA MTU MWENYE CALIBER YA MAMA NGOZI?

HARVARD
MIT
FULL OF CONFIDENCE
CAREER WORLD BANK
MWANAMKE

naamini tanzania wapo. lakini hawajapewa nafasi wengine wako diaspora na kwingine.
This is so touching, the former Commissioner for budget was capable enough to the post. That lady knows her job and has enormous and wide exposure. Wauza sura ndiyo jadi yetu. Mungu ibariki JMT.
 
kwa uteuzi kama huu nawaunga mkono wakwepaji kodi na wabadhirifu wengine, ikiwa kiongozi/viongozi wenyewe ni wabadhirifu wa mamlaka waliopewa za uteuzi na utawala. huwezi ku in still confidence to industrialist, business people na foreign direct investment ukiwa wizara yako ya fedha inaongozwa na mtu kama huyu, ataburuzwa tu, hatakuwa na independent mind kwani hajui kitu kinacho itwa uchumi.
Lipumba kasema kuna wakati waziri wa fedha atatakiwa kutoa maelekezo kwa Governor, sasa sijui atawezaje kufanya hivyo ikiwa hajui jambo hilo, au atasubiri hadithi za kuambiwa. nafikiri ifike pahali katiba iseme wazi quality na qualification za waziri wa fedha angalau.
 
MKULO ALIKUWA NA DEGREE FEKI

HUYU MEDIOCRE na hafai hata kuwa headmaster wa shule ya msingi ya Vikokotoni let alone Mzumbe

Hii ni aibu sana kwa wanawake wa Tanzania na zaidi wanawake wa Zanzibar, Pwani na waswahili

Is this the best you can come up with?

JAMANI LETENI MAJINA YA CANDIDATES WANAWAKE ambao wangeweza kumreplace huyu mediocre
 
mkulo alikuwa na degree feki

huyu mediocre na hafai hata kuwa headmaster wa shule ya msingi ya vikokotoni let alone mzumbe

hii ni aibu sana kwa wanawake wa tanzania na zaidi wanawake wa zanzibar, pwani na waswahili

is this the best you can come up with?

Jamani leteni majina ya candidates wanawake ambao wangeweza kumreplace huyu mediocre

you are entitled to your own stupid opinions.
 
Ni kweli Tanzania inahitaji viongozi wanawake lakini wawe wanawake viongozi bora na sio bora wanawake. Hapo ndio kuna tatizo. Kwenye nafasi ya spika wa bunge ndio hayo hayo - bora mwanamke!
 
Mmmmh! Kama Maji na mafuta mkuu...huwezi kufanya any comparison zaidi ya wao ni wanawake na wote wanaongoza wizara za fedha kwenye nchi zao.
 
Inasikitisha sana. Mtoa mada kamvua nguo zote huyu mama wa watu. Hii ni very unfair comparison. Wanafanana jinsia na wizara zao tu. Kwa mara nyingine tumepoteza opportunity nzuri ya kuwatumikia vema wananchi.
 
Hata Hitler alionekana hodari/bora na baadhi ya wananchi wake hata kama hakuwa na PhD!

Are you serious?Hitler was the worst lunatic this world have ever witnessed to-date!If not Americans sacrifice to stop this lunatic the whole world would have been under his rule.We would have been speaking in German language and even singing Germany's national andhem today!!Is that what you wanted?
 
MKULO ALIKUWA NA DEGREE FEKI

HUYU MEDIOCRE na hafai hata kuwa headmaster wa shule ya msingi ya Vikokotoni let alone Mzumbe

Hii ni aibu sana kwa wanawake wa Tanzania na zaidi wanawake wa Zanzibar, Pwani na waswahili

Is this the best you can come up with?

JAMANI LETENI MAJINA YA CANDIDATES WANAWAKE ambao wangeweza kumreplace huyu mediocre

Candidate wapo kibao sema si wanasiasa! Cheki huyu mama ambaye ni Associate Professor anaitwa Dr.S.S. Temu, B.Com (Dar), MBA (Berlin West), Ph.D. (Bremen), CPA(T)

Wapo akina mama vichwa wengi tu angewapa ubunge kama Asha Migiro then wakamate fursa.Pale MOF hapataki siasa.
 
Huyu binti, kama tu ni upendeleo kwa vile "msichana", basi at least angepewa naibu waziri wa Wizara ya Biashara na viwanda. Waziri wa Fedha na Uchumi? Hapana! Atawezaje kutuwakilisha kny International Monetary bodies with the level of education she posseses!!??
Inanikumbuasha kipindi cha Alli Hassan Mwinyi alipomteua Hawa Ngulume, aliyekuwa mpika chai ofisini, kuwa Area Commissioner, akim- replace na msomi Generali Twaha Ulimwengu! Maajabu. Only in Tanzania
Inaonekana kuna tatizo la uelewa. Hivi ili mtu awe msomi anatakiwa asome nini na katika kiwango gani? Kama ni usoma kasoma na kama utendaji tungoje tuone. Tusiandikie mate wakati wino upo.
 
Na Uchumi wa Nigeria ukoje? Uchumi wote uko mikononi mwa majangili ya Kinaigeria. Ila yote ni yote, Ngozi ni namba nyingine kwenye shule jamani. Tusilete mapambanisho ya namna hiyo. Haya mambo tuyaache tu.
 
Mi namshangaa Sefue Ombeni alishindwa kabisa kimshauri jk. Hakuna asiyejua kuwa jk anajipigia huyu demu lakini washauri wake walitakiwa wadhibiti weakness ya jk kwa mahaba aliyo nayo kwa Saada.
Huyu demu hajui kwa nini paundi ya uingiereza ina thamani kubwa kuliko dola ya marekani wakati demand yake iko chini kwenye soko la fedha.
 
Back
Top Bottom