Waziri Saada Salum Mkuya: Tanzania Kupunguza umasikini, kushirikisha kinamama na elimu ya kujiajiri

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,319
24,219
12 October 2023
Marrakech, Morocco

Waziri wa nchi fedha na mipango wa Zanzibar Mh. Saada Mkuya Salum aikaribisha IDA

View: https://m.youtube.com/watch?v=dthlTxsLjFw
December 2023 Benki ya Dunia kupitia taasisi yake ya IDA International Development Association inayohusika kusaidia nchi masikini zaidi itakutana mjini Zanzibar kupitia ripoti ya matokeo ya nusu mwaka .

Tanzania ipo katika njia ya kuhakikisha Chakula cha kutosha kinapatikana, miundo-mbinu, afya elimu huku pia kuwapatia ujuzi raia wake ambao wengi ni umri kati ya miaka 15 - 35 kuweza kujiajiri katika nyanja nyingi rasmi kama kilimo cha kisasa, uvuvi, ufugaji na biashara.

Zanzibar pia nchi yenye idadi ya watu milioni mbili imelenga kunufaika na Uchumi wa buluu, kilimo cha mwani wa baharini kama moja ya shughuli muhimu pamoja na zao la karafuu.

Sera za uchumi na fedha Tanzania zinalenga pia kumwinua mwanamke kwa kumshirikisha kiuchumi, elimu na katika kushiriki ndani ya ngazi za maamuzi.

12 October 2023​

Marrakesh, Morocco

Poverty Alleviation, Women’s Empowerment and Education: Saada Salum, Zanzibar’s Minister of Finance

Zanzibar, Tanzania, has made strides in women’s empowerment and education. Within the framework of the 2023 Annual Meetings, Saada Salum, the Minister of State for Finance and Planning, speaks about how the island achieved these successes and it’s preparations to host the International Development Association (IDA) 20 Mid-term review.
Source : World Bank
 
Tanzania ipo katika njia ya kuhakikisha Chakula cha kutosha kinapatikana, miundo-mbinu, afya elimu huku pia kuwapatia ujuzi raia wake ambao wengi ni umri kati ya miaka 15 - 35 kuweza kujiajiri katika nyanja nyingi rasmi kama kilimo cha kisasa, uvuvi, ufugaji na biashara.

Zanzibar pia nchi yenye idadi ya watu milioni mbili imelenga kunufaika na Uchumi wa buluu, kilimo cha mwani wa baharini kama moja ya shughuli muhimu pamoja na zao la karafuu.

Sera za uchumi na fedha Tanzania zinalenga pia kumwinua mwanamke kwa kumshirikisha kiuchumi, elimu na katika kushiriki ndani ya ngazi za maamuzi.
Haya ndio maendeleo tunayoyataka!
P
 
12 October 2023
Marrakech, Morocco

Waziri wa nchi fedha na mipango wa Zanzibar Mh. Saada Mkuya Salum aikaribisha IDA

December 2023 Benki ya Dunia kupitia taasisi yake ya IDA International Development Association inayohusika kusaidia nchi masikini zaidi itakutana mjini Zanzibar kupitia ripoti ya matokeo ya nusu mwaka .

Tanzania ipo katika njia ya kuhakikisha Chakula cha kutosha kinapatikana, miundo-mbinu, afya elimu huku pia kuwapatia ujuzi raia wake ambao wengi ni umri kati ya miaka 15 - 35 kuweza kujiajiri katika nyanja nyingi rasmi kama kilimo cha kisasa, uvuvi, ufugaji na biashara.

Zanzibar pia nchi yenye idadi ya watu milioni mbili imelenga kunufaika na Uchumi wa buluu, kilimo cha mwani wa baharini kama moja ya shughuli muhimu pamoja na zao la karafuu.

Sera za uchumi na fedha Tanzania zinalenga pia kumwinua mwanamke kwa kumshirikisha kiuchumi, elimu na katika kushiriki ndani ya ngazi za maamuzi.

12 October 2023​

Marrakesh, Morocco

Poverty Alleviation, Women’s Empowerment and Education: Saada Salum, Zanzibar’s Minister of Finance

Zanzibar, Tanzania, has made strides in women’s empowerment and education. Within the framework of the 2023 Annual Meetings, Saada Salum, the Minister of State for Finance and Planning, speaks about how the island achieved these successes and it’s preparations to host the International Development Association (IDA) 20 Mid-term review.
Source : World Bank
Wazir wa Zanzibar hana mamlaka ya kutuwakilisha au kutusemea kwenye majukwaa ya kimataifa,ccm ndo imetufiikisha hapa,siku nchi ikikombolewa kutoka mikononi mwao yatafanyika mabadiliko makubwa na heshima ya Tanganyika itarudi
 
Mh. waziri Dr. Saada Mkuya Salum katika 2023 Korea Africa Summit mjini Seoul South Korea 13 September 2023 anatuwakilisha vyema

1697291100083.png

Deputy Prime Minister Kyungho Choo had bilateral talks with his Tanzanian counterpart Saada Mkuya Salum .... Source : Ministry of Economy and Finance
 
Huyu si alikuwa na shida ya vyeti?. Naona bado anajiita Dr. Halafu Waziri wa Zanzibar anawakilishaje mambo ya Muungano Kama sio ujinga. Yupo Waziri wa fedha na Naibu wake.
 
12 October 2023
Marrakech, Morocco

Waziri wa nchi fedha na mipango wa Zanzibar Mh. Saada Mkuya Salum aikaribisha IDA

View: https://m.youtube.com/watch?v=dthlTxsLjFw
December 2023 Benki ya Dunia kupitia taasisi yake ya IDA International Development Association inayohusika kusaidia nchi masikini zaidi itakutana mjini Zanzibar kupitia ripoti ya matokeo ya nusu mwaka .

Tanzania ipo katika njia ya kuhakikisha Chakula cha kutosha kinapatikana, miundo-mbinu, afya elimu huku pia kuwapatia ujuzi raia wake ambao wengi ni umri kati ya miaka 15 - 35 kuweza kujiajiri katika nyanja nyingi rasmi kama kilimo cha kisasa, uvuvi, ufugaji na biashara.

Zanzibar pia nchi yenye idadi ya watu milioni mbili imelenga kunufaika na Uchumi wa buluu, kilimo cha mwani wa baharini kama moja ya shughuli muhimu pamoja na zao la karafuu.

Sera za uchumi na fedha Tanzania zinalenga pia kumwinua mwanamke kwa kumshirikisha kiuchumi, elimu na katika kushiriki ndani ya ngazi za maamuzi.

12 October 2023​

Marrakesh, Morocco

Poverty Alleviation, Women’s Empowerment and Education: Saada Salum, Zanzibar’s Minister of Finance

Zanzibar, Tanzania, has made strides in women’s empowerment and education. Within the framework of the 2023 Annual Meetings, Saada Salum, the Minister of State for Finance and Planning, speaks about how the island achieved these successes and it’s preparations to host the International Development Association (IDA) 20 Mid-term review.
Source : World Bank

hili galasa bora walilipeleka tu nchini kwake. ati na huyu alikuwa waziri wa fedha wa nchi ya maana kama Tanzania. ajabu sana.
 
12 October 2023
Marrakech, Morocco

Waziri wa nchi fedha na mipango wa Zanzibar Mh. Saada Mkuya Salum aikaribisha IDA

View: https://m.youtube.com/watch?v=dthlTxsLjFw
December 2023 Benki ya Dunia kupitia taasisi yake ya IDA International Development Association inayohusika kusaidia nchi masikini zaidi itakutana mjini Zanzibar kupitia ripoti ya matokeo ya nusu mwaka .

Tanzania ipo katika njia ya kuhakikisha Chakula cha kutosha kinapatikana, miundo-mbinu, afya elimu huku pia kuwapatia ujuzi raia wake ambao wengi ni umri kati ya miaka 15 - 35 kuweza kujiajiri katika nyanja nyingi rasmi kama kilimo cha kisasa, uvuvi, ufugaji na biashara.

Zanzibar pia nchi yenye idadi ya watu milioni mbili imelenga kunufaika na Uchumi wa buluu, kilimo cha mwani wa baharini kama moja ya shughuli muhimu pamoja na zao la karafuu.

Sera za uchumi na fedha Tanzania zinalenga pia kumwinua mwanamke kwa kumshirikisha kiuchumi, elimu na katika kushiriki ndani ya ngazi za maamuzi.

12 October 2023​

Marrakesh, Morocco

Poverty Alleviation, Women’s Empowerment and Education: Saada Salum, Zanzibar’s Minister of Finance

Zanzibar, Tanzania, has made strides in women’s empowerment and education. Within the framework of the 2023 Annual Meetings, Saada Salum, the Minister of State for Finance and Planning, speaks about how the island achieved these successes and it’s preparations to host the International Development Association (IDA) 20 Mid-term review.
Source : World Bank

Kwi Kwi Kwi
 
u

unatetea sana wapalestina, ila unajua walichoifanya Lebanon nchi ya KIkristo walipokaribishwa kama wakimbizi (PLO), hawa wache tu wapate haki yao, hakuna mwema hapo mtoto hadi mzee.
Unajazwa ujinga sana na wanaokusomesha ujinga.

Mwaga yaliyomo kwenye kikombe chako yana uchafu, uchote mengine mapya, kidogo kidogo huku unayachuja.
 
12 October 2023
Marrakech, Morocco

Waziri wa nchi fedha na mipango wa Zanzibar Mh. Saada Mkuya Salum aikaribisha IDA

View: https://m.youtube.com/watch?v=dthlTxsLjFw
December 2023 Benki ya Dunia kupitia taasisi yake ya IDA International Development Association inayohusika kusaidia nchi masikini zaidi itakutana mjini Zanzibar kupitia ripoti ya matokeo ya nusu mwaka .

Tanzania ipo katika njia ya kuhakikisha Chakula cha kutosha kinapatikana, miundo-mbinu, afya elimu huku pia kuwapatia ujuzi raia wake ambao wengi ni umri kati ya miaka 15 - 35 kuweza kujiajiri katika nyanja nyingi rasmi kama kilimo cha kisasa, uvuvi, ufugaji na biashara.

Zanzibar pia nchi yenye idadi ya watu milioni mbili imelenga kunufaika na Uchumi wa buluu, kilimo cha mwani wa baharini kama moja ya shughuli muhimu pamoja na zao la karafuu.

Sera za uchumi na fedha Tanzania zinalenga pia kumwinua mwanamke kwa kumshirikisha kiuchumi, elimu na katika kushiriki ndani ya ngazi za maamuzi.

12 October 2023​

Marrakesh, Morocco

Poverty Alleviation, Women’s Empowerment and Education: Saada Salum, Zanzibar’s Minister of Finance

Zanzibar, Tanzania, has made strides in women’s empowerment and education. Within the framework of the 2023 Annual Meetings, Saada Salum, the Minister of State for Finance and Planning, speaks about how the island achieved these successes and it’s preparations to host the International Development Association (IDA) 20 Mid-term review.
Source : World Bank

Huu ni muungano wa hovyo. Nimetokea kuuchukia na kufikiria 90s nilipata nafasi ya kufanya mazungumzo na Mtikila kuhusu hili jambo na nikampinga. Alikuwa sahii Nyerere alikosea sana.
 
Kuna tatizo gani?. Mara ngapi Dr. Mwinyi anamuwakilisha rais Samia nje ya nchi?. Kila Mzanzibari pia ni Mtanzania na ana haki zote za Utanzania!.
P
Waziri wa Zanzibar hana mamlaka wala haki ya kuzungumzia mambo ya Muungano. Ndio maana tunahitaji Serikali ya Tanganyika. Naomba niweke clear, sawa kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini Mzanzibari siyo Mtanganyika.
 
Unajazwa ujinga sana na wanaokusomesha ujinga.

Mwaga yaliyomo kwenye kikombe chako yana uchafu, uchote mengine mapya, kidogo kidogo huku unayachuja.
Faiza, Wapalestina waliopokelewa Lebanon kwa huruma za wakristo wa Lebanon, ndio hao hao waliogeuka wakachinja walebanon na kugeuza ile nchi kuwa ya kiislam hadi leo. hao wamelaaniwa na damu za walebanon. jaribu hata kugoogle tu historia ya machafuko yaliyosambaratisha Lebanon iliyokuwa PARIS ya middle east, iliyokuwa imeendelea sana, ikawa kama ilivyo. ni PLO ambao awali walikaribishwa kama wakimbizi kuomba hifadhi, wakamgeuka aliyewapokea. wanavyojiliza utafikiri wasafi. huu ni ukweli mchungu kwako.
 
Faiza, Wapalestina waliopokelewa Lebanon kwa huruma za wakristo wa Lebanon, ndio hao hao waliogeuka wakachinja walebanon na kugeuza ile nchi kuwa ya kiislam hadi leo. hao wamelaaniwa na damu za walebanon. jaribu hata kugoogle tu historia ya machafuko yaliyosambaratisha Lebanon iliyokuwa PARIS ya middle east, iliyokuwa imeendelea sana, ikawa kama ilivyo. ni PLO ambao awali walikaribishwa kama wakimbizi kuomba hifadhi, wakamgeuka aliyewapokea. wanavyojiliza utafikiri wasafi. huu ni ukweli mchungu kwako.
Hizo porojo zako, peleka hukohiuko.

Hapa tupo na wayahudi ambao hawaamini kabisa huyo myahudi mwenzao walikuaminisha wewe kuwa ni mungu wako. Wao hawamatambui wala kumwamini.
 
Hizo porojo zako, peleka hukohiuko.

Hapa tupo na wayahudi ambao hawaamini kabisa huyo myahudi mwenzao walikuaminisha wewe kuwa ni mungu wako. Wao hawamatambui wala kumwamini.
vita vilivyoharibu Lebanon, vilikuwa vya PLO waliokaribishwa kama wakimbizi, na ndio waliochinja wenyeji waliowapokea. dunia nzima inajua hilo. wapalestina wanavuna damu za wakristo wa lebanon walizomwaga.
 
The Lebanese Civil War (Arabic: الحرب الأهلية اللبنانية, romanized: Al-Ḥarb al-Ahliyyah al-Libnāniyyah) was a multifaceted armed conflict that took place from 1975 to 1990. It resulted in an estimated 120,000 fatalities[6] and an exodus of almost one million people from Lebanon.[7]

Fighting between Maronite-Christian and Palestinian forces (mainly from the Palestine Liberation Organization) began in 1975; leftist, Muslim, and pan-Arabist Lebanese groups formed an alliance with the Palestinians in Lebanon.[11] Over the course of the fighting, alliances shifted rapidly and unpredictably. Furthermore, foreign powers, such as Israel and Syria, became involved in the war and fought alongside different factions. Various peacekeeping forces, such as the Multinational Force in Lebanon and the United Nations Interim Force in Lebanon, were also stationed in the country during the conflict.

The Taif Agreement of 1989 marked the beginning of the end of the war. In January 1989, a committee appointed by the Arab League began to formulate solutions to the conflict. In March 1991, the Lebanese parliament passed an amnesty law that pardoned all political crimes prior to its enactment.[12] In May 1991, all of the militias in Lebanon were dissolved, with the exception of Hezbollah, while the Lebanese Armed Forces began to slowly rebuild as Lebanon's only major non-sectarian institution.[13] Religious tensions between Sunnis and Shias remained after the war.[14]
 
Back
Top Bottom