twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
Bado kuna baadhi ya watu wanaendeleza rushwa ya ngono hasa maofisini.
Mbunge wa Kawe Halima Mdee amewataka Wasichana kujiamini na kutokutegemea kutoa Rushwa ya Ngono ndipo watimize ndoto zao za kimaisha. Mdee aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na Wanafunzi wa Chuo cha Mwenge wakati akizindua Tawi la Chadema la Chuoni hapo.
Alisema na kuendelea kuwasisitiza hasa wale wahitimu ambao wakimaliza na kuanza kutafuta ajira na kuambiwa kutoa Rushwa ya ngono ndio apate ajira,Mjifunze kuwa wasomi tumia elimu yako kutimiza ndoto zako,jiamini mtoto wa kike
Mbunge wa Kawe Halima Mdee amewataka Wasichana kujiamini na kutokutegemea kutoa Rushwa ya Ngono ndipo watimize ndoto zao za kimaisha. Mdee aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na Wanafunzi wa Chuo cha Mwenge wakati akizindua Tawi la Chadema la Chuoni hapo.
Alisema na kuendelea kuwasisitiza hasa wale wahitimu ambao wakimaliza na kuanza kutafuta ajira na kuambiwa kutoa Rushwa ya ngono ndio apate ajira,Mjifunze kuwa wasomi tumia elimu yako kutimiza ndoto zako,jiamini mtoto wa kike